Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,762
- 4,576
Nimeona orodha ya vituo vya televisheni vitakavyorusha live mkutano mkuu wa CCM kutoka Dodoma, vituo hivyo ni TBC1, Clouds Tv, ZBC, Star Tv na Azam.
Katika orodha hii sijaona ITV, swali langu ni hili, Je, vituo hivi hurusha shughuli hizi bure au vinalipwa? Kama ni bure kwanini ITV wasituletee uhondo kama kawaida yao? kama vinalipwa kwanini CCM wasingeilipa Super Brand ili tupate uhondo? nadhani ITV nao wangekuwa hewani tukio lingenoga zaidi.
Katika orodha hii sijaona ITV, swali langu ni hili, Je, vituo hivi hurusha shughuli hizi bure au vinalipwa? Kama ni bure kwanini ITV wasituletee uhondo kama kawaida yao? kama vinalipwa kwanini CCM wasingeilipa Super Brand ili tupate uhondo? nadhani ITV nao wangekuwa hewani tukio lingenoga zaidi.