Diesel generator
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 706
- 663
magufuli hakuwa onekana bungeni akipambana na mafisadi kama olesendeka. tatizo letu ni mafisadi! mheshimiwa alishasema aeakamatiki na akaomba waludishe pesa!!. tunataka mtu atakae wavalisha mafisadi kabtura mtaani anaweza? timu yake imewashindwa. ila timu ya ukawa ndio inamachungu na mafisadi adi mate yanawamwagika! timu ukawa yote ndio inawaweza na wao wanajua. ukawa ndio abali ya jiji. na taifa.