Kushuka kwa bei ya vitu haimaanishi kuwa uchumi umeimarika.Ina maanisha mahitaji yako chini ilhali bidhaa husika imefurika masoko.Wanauchumi wana sema "demand is low and supply is high". Ni hali ya kawaida kwa mazao ya kilimo kupanda na kushuka bei.
Kumbuka kwamba,bei hizi zikishuka mkulima...
Mweke wazi.Mwambie kwamba humpi chochote.Akitaka afungue kesi mahakamani.Inashangaza sana kuskia mtu anatumia ajali aliyoisababisha kuwa kitega uchumi.
Mimi kama mwana CCM nahimiza wanachama wenzangu tuwe wapinzani ndani ya chama.Kwa hili namaanisha tusipoikosoa chama chetu hiki tukufu, itazidi kuchafuliwa na viongozi wachache ambao sasa wamekuwa miungu watu.
Ombi langu ni tuikashifu makosa yanayo fanywa kama tunavyo pongeza mema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.