Mimi nina Imani sana na rahisi Magufuli ni mtu Mwenye msimamo na asiyeteteleka kutetea maslai ya nchi yeye ni tofauti na wengine wengine naamini katika hili Tanzania tuibuka kidedea. GOD BLESS OUR TANZANIA BLESS HER PRESIDENT DR.MAGUFURI.
Umenifanya niwaze kidogo na kugundua kuwa kunachembechembe za ukweli kwa ulichokisema maana hata Tanzania IQ level xinatofautiana kwa watu wa kaskazini kwa kina Joh Makini na watu wa kusini kwa kina harmo........ Utofauti upo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.