resistor colour code
Member
- May 20, 2015
- 74
- 44
Umetisha mzeeHata ukikataa hapa ndotoni nitakufanya tuu. Kubali yaishe.
Umetisha mzeeHata ukikataa hapa ndotoni nitakufanya tuu. Kubali yaishe.
NotedNimevutiwa na kufurahishwa na haiba yako ya kimalkia,unaonekana u mwanamke unaejiheshimu na kujali,kujitambua kwako kunakupa thamani zaid na tunu ya kuheshimiwa,nimeona unavyowajali wale watoto nikapata hisia je wangekua wakwako ungekuaje?unafaa kua mke,nahis kila MTU anataman kua na mke anaejal kama wewe,maadamu ktk nafs yangu naheshimu watu wiwili tu ktk hii dunia,mama mzaz alkenibeba na mke atakaekuja kua kama mama yang kwa upendo alionionyesha,wewe unakila dalili ya kua kama yeye,naomba hyo nafss nawe nikufanye malkia ktk ulimwengu huu...
Asee Leo tuna miaka tano ya ndoa....
Ashindwe mwenyewe tu AskariLazima mtaani kwao awe mfaume wa mistari
Jameni wanaume Na wanawake tumeumbiwa kupendana!
Andika sentensi kali ya mtongozo ambayo haijawahi kukuangusha!
Mwanaume ambayo mwanamke ngumu kuchomoa!
Wanawake ni sentensi ipi uliwahi kuambiwa Na mwanaume ukanyong'onyea!! Au ukampa maksi za juu!
Unatoa hutoi