For a while tu mkuu, kuna mda mnazoeana kupita kiasi penzi linachuja, nyani lazima au miss msitu wake wa zamani bro.
Me nashauri msiwe serious sn kwenye issue za kuchapa na kuchapiwa mjitahidi msijue tu kuwa mnachapiwa unless ni tough sn ku handle
Mbona jambo dogo sn hilo una complicate?
Hata huyo unayemuona sio single maza ashatoa mimba kibao za washkaj zake wa zamani na wanakutana mara kibao tu pasipo wewe kujua.
Oya usiwe serious sn kwenye hizo issue swala la kuchapa na kuchapiwa ni siri za kimahusiano jitahidi usijue kama unachapiwa.
Hakuna palipo.salama mkuu hata huko ataliwa tu. Kuna siku ataenda sokoni kufata mahitaji watapiata nae, au ataenda kwao msibani, harusini au kusalimia wahuni wataruka nae tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.