Hakuna palipo.salama mkuu hata huko ataliwa tu. Kuna siku ataenda sokoni kufata mahitaji watapiata nae, au ataenda kwao msibani, harusini au kusalimia wahuni wataruka nae tu
Wkt maduro ananyakuliwa kama kifaranga na mwewe chiná yupo bize kutangaza magari ya Howo na mrusi kapewa mfupa mgumu ahangaike nao kule iran khamenei moja na mbili hazikai
Beberu linajua kuchanga karata vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.