Recent content by othuman dan fodio

  1. othuman dan fodio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sawa Umemuoa mzazi mwenzangu (Single mother) Na ukakubali kumlea mtoto wangu; sasa ni kwanini unipangie namna ya Kumuona mtoto na mzazi mwezangu?

    For a while tu mkuu, kuna mda mnazoeana kupita kiasi penzi linachuja, nyani lazima au miss msitu wake wa zamani bro. Me nashauri msiwe serious sn kwenye issue za kuchapa na kuchapiwa mjitahidi msijue tu kuwa mnachapiwa unless ni tough sn ku handle
  2. othuman dan fodio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sawa Umemuoa mzazi mwenzangu (Single mother) Na ukakubali kumlea mtoto wangu; sasa ni kwanini unipangie namna ya Kumuona mtoto na mzazi mwezangu?

    Mbona jambo dogo sn hilo una complicate? Hata huyo unayemuona sio single maza ashatoa mimba kibao za washkaj zake wa zamani na wanakutana mara kibao tu pasipo wewe kujua. Oya usiwe serious sn kwenye hizo issue swala la kuchapa na kuchapiwa ni siri za kimahusiano jitahidi usijue kama unachapiwa.
  3. othuman dan fodio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka Mwanume wa kunihudumia Na Mimi Nimpe Penzi, Amani na Heshima

    Km. Zinasomaje kwenye dashboard?
  4. othuman dan fodio

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wenje: CHADEMA waje kwenye Meza ya Mazungumzo na wajue nchi ina Vyama 19, wakikataa ni jeuri yao

    Hata asilimia 20% haijapatikana vp hiyo 100%
  5. othuman dan fodio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni mafanikio gani ambayo umeyapata kupitia mwanamke?

    Hakunaaaaa
  6. othuman dan fodio

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Kuna vyama wapo tayari kuumiza watu ili wawe viongozi

    Ameamua kukikosoa chama chake
  7. othuman dan fodio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukimfungulia Biashara Mke Wako,Atachepuka Na Wateja Wake

    Hakuna palipo.salama mkuu hata huko ataliwa tu. Kuna siku ataenda sokoni kufata mahitaji watapiata nae, au ataenda kwao msibani, harusini au kusalimia wahuni wataruka nae tu
  8. othuman dan fodio

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Picha hii ni mke wa Maduro akiwa amepigwa na wamarekani

    Hata angekuwa yeye apigwe tu wao walikuwa wanaua na kufira raia
  9. othuman dan fodio

    JamiiForums Tanzania Inashangaza kuona China anayeikalia Taiwan na Russia aliyevamia Ukraine anailaumu USA kuivamia Venezuela

    Ndio.mana usa hana habari nao anawachora tu
  10. othuman dan fodio

    JamiiForums Tanzania Rais wa mpito aapishwa Venezueala

    Ila wanataka yachukuliwe na urusi na.china sio?
  11. othuman dan fodio

    JamiiForums Tanzania Rais wa mpito aapishwa Venezueala

    Huyo mama yupo hapo kama karatasi tu hawezi kuendesha hiyo nchi bila usa tayari mafuta ya venezuela hayauziki duniani mpaka kibali cha usa
  12. othuman dan fodio

    JamiiForums Tanzania Mwaka 2026 Trump na harakati zake za MAKE AMERICA GREAT AGAIN na kufubaza ushawishi wa RUSSIA na CHINA

    Haku Hakuna paka yeyote atakayemzuia trump kufanya anayoyafanya
Back
Top Bottom