Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 14,104
- 39,773
Ronaldo ameisha
Kinachofuata ni kujinyea tuHuku ni kulazimisha kujamba hali ya kuwa unaharisha
Mbona wako hana? Anazidiwa na huyo uliyemtajahattrick ya lonya wako haiwezi kumzuia tembo kunywa maji,hattrick hata Pape Nd' aw wa simba anayo
Tulia wewe. Kazi bado mbichi hii
Mwanaume uyo kaingiza mara mbili Argentina kombe la dunia fainal mara moja wamechukua
Leo ashindwe yeye lawama zote anazowatupia vijana dhambi atazibeba yeye leo.CR7 hatari huko,chuma cha pili.