Kwanini CHADEMA wanataka Tanzania inyimwe misaada?

Kwanini CHADEMA wanataka Tanzania inyimwe misaada?

Tanzania kama nchi nyingine za Afrika zinahitaji misaada ili kutoa huduma kwa wananchi. Unapozouia misaada maana yake unadhamiria kuwanyima watoto huduma za chanjo, matibabu na elimu. Unawanyima wananchi huduma za barabara, madaraja na pembejeo. Hasara kubwa sana kwa wananchi kuliko kwa viongozi. Je, Lisu ana thamani hiyo?

Nijuavyo mimi kuinyima serikali misaada kutoka kwa wahisani kunasababisha yafuaatayo:
1. Watanzania kuichukia chadema kwa shida zitakazojitokeza. Watanzania wana akili.
2. Huduma kwa wananchi zitapungua idadi, ukubwa na ubora.
3. Watanufaika zaidi majeshi kuliko watu wengine (kipaumbele kitakuwa hawa kwanza)
4. Kodi zinaongezeka ili kuziba pengo la ukosefu wa misaada
5. Miradi ya kimkakati ichachelewa kumalizika.

Jiulize, kwanini Zimbabwe imewekewa vikwazo lakini bado serikali ipo? Je, Shivangilai na chama chake wapo vilevile?, Iran je? Urusi je?

Kifupi kupiga debe nchi inyimwe misaada haimsaidii mpiga debe na wala hawaumizi watawala, bali wananchi wenye vyama na wasiokuwa na vyama.
Kumbe huelewi wewe.kodi za wananchi pekee haziwezi kukidhi kuhudumia bajeti ya nchi.ni kweli watapandisha kodi ,hii italeta hasira kwa wananchi .kwa hiyo kukiwa na TUME HURU YA uchaguzi CCM inaondolewa madrakani mapema asubuhi.Mzungu anatumiaka akili siyo kutumia manguvu ya bunduki.akitumia akili nawe tumiua akili,ukitumia nguvu naye atatumia nguvu
 
Tanzania kama nchi nyingine za Afrika zinahitaji misaada ili kutoa huduma kwa wananchi. Unapozouia misaada maana yake unadhamiria kuwanyima watoto huduma za chanjo, matibabu na elimu. Unawanyima wananchi huduma za barabara, madaraja na pembejeo. Hasara kubwa sana kwa wananchi kuliko kwa viongozi.
Wanafiki kweli nyie..

Kumbe sio mabeberu tena ila ni wahisani wa kuwapa misaada?
Je, Lisu ana thamani hiyo?
Absolutely, Yes...
Nijuavyo mimi kuinyima serikali misaada kutoka kwa wahisani kunasababisha yafuaatayo:
Mpaka hapa uko sahihi kabisa...

Kwamba inayokatwa miguu na mikono kwa kukatiwa misaada ni serikali na sio wananchi...

Kumbuka kuwa serikali ni kikundi kidogo tu cha watu chenye mamlaka ya kufanya maamuzi ya uendeshaji wa mambo ya nchi/taifa kwa niaba ya wananchi wote...

Kuna serikali halali zilizotwaa madaraka kwa ridhaa ya wananchi kupitia chaguzi huru, wazi na za haki...

Lakini pia zipo serikali dhalimu na za kidikteta zilizojiweka madarakani kwa nguvu ya mtutu wa bunduki, Mapinduzi ya kijeshi or through manipulated elections...

Serikali dhalimu zilizojiweka madarakani ndizo ambazo hupigwa vita ndani na nje ya nchi. Hizi ndizo huwekewa vikwazo vya kiuchumi kama njia ya kuzikata miguu na mikono Ili zikose uwezo wa kuendelea kuvunja haki za binadamu, kuteka, kutesa na kuua watu, kuiba na kufisadi rasrimali za umma ikiwemo misaada ya kifedha toka washirika wa maendeleo na udhalimu mwingine...

Itasaidia nini kuipacmisaada ya kifedha serikali dhalimu na ovu yenye viongozi wezi na mafisadi ambapo fedha badala ziende kwenye kuhudumia watu wapate barabara, maji, umeme, madawa nk wao wanaiba na kuzitumia kujilinda kwa kufadhili vikundi vya viongozi hawa vya utekaji, utesaji na mauaji ya raia wanaowakosoa..??

Ni kweli kwa kuwekewa vikwazo hivi, madhara yake yatatukuta sote kwa sababu:
👉 Serikali iliyoko madarakani itakosa uwezo wa kutoa huduma za kijamii kwa wananchi wake kama vile maji, madawa hospitalini, ujenzi wa barabara, miradi kama SGR kukwama kuendelea nk

Hii ikitokea, wananchi wataanza kuilalamikia na kuishutumu CCM na serikali na serikali yao na sio CHADEMA kwa sababu CHADEMA hawaongozi serikali...

Kwa hiyo ni ujinga uliopindukia kwako wewe kavulata kudhani kuwa wananchi ni wajinga kama ulivyo wewe na wenzako huko CCM kwamba mambo yanapokwenda mrama ktk nchi hawajui wamlaumu nani...!!

Hali hii mbaya ikizidi, ndipo hapo wananchi hukasirika na kufanya direct confrontation njia mbalimbali ikiwemo maandamano, migomo na sehemu zingine physical confrontation (mapigano) lengo likiwa ni kuifurusha serikali iliyoko madarakani kwa kushindwa kutekeleza wajibu wake kuhudumia wananchi wake...

Serikali yenye viongozi wenye akili huwa haisubiri hali hii itokee. Bali husikiliza wananchi wanasema nini, wanatoka nini kifanyike na Kisha kuchukua hatua before it's too late...

Lakini hii ya Samia Suluhu Hassan, akili ni kisoda. Ni serikali iliyo chini ya washenzi, wasioelewa kitu na wako tayari kufa kama inzi kufia kwenye kidonda...!
 
Tanzania kama nchi nyingine za Afrika zinahitaji misaada ili kutoa huduma kwa wananchi. Unapozouia misaada maana yake unadhamiria kuwanyima watoto huduma za chanjo, matibabu na elimu. Unawanyima wananchi huduma za barabara, madaraja na pembejeo. Hasara kubwa sana kwa wananchi kuliko kwa viongozi. Je, Lisu ana thamani hiyo?

Nijuavyo mimi kuinyima serikali misaada kutoka kwa wahisani kunasababisha yafuaatayo:
1. Watanzania kuichukia chadema kwa shida zitakazojitokeza. Watanzania wana akili.
2. Huduma kwa wananchi zitapungua idadi, ukubwa na ubora.
3. Watanufaika zaidi majeshi kuliko watu wengine (kipaumbele kitakuwa hawa kwanza)
4. Kodi zinaongezeka ili kuziba pengo la ukosefu wa misaada
5. Miradi ya kimkakati ichachelewa kumalizika.

Jiulize, kwanini Zimbabwe imewekewa vikwazo lakini bado serikali ipo? Je, Shivangilai na chama chake wapo vilevile?, Iran je? Urusi je?

Kifupi kupiga debe nchi inyimwe misaada haimsaidii mpiga debe na wala hawaumizi watawala, bali wananchi wenye vyama na wasiokuwa na vyama.


Unajidanganya Chadema walaumiwe kwa mauaji ya Mama😂😂
 
Kunyimwa misaada hakuwaumizi wananchi kwa sababu haiwasaidii. Ingekuwa inawasaidia wasingekuwa wanapiga kelele za kukosa maji safi ya kunywa au dawa hospitalini. Inawaumiza viongozi kwasababu hela za kuiba zinapungua.
kwa upende mmoja ni sawa .kwa upande mwingine siyo kweli .sema hatuna uhuru wa kuongea.kuna mambo ukiyasikia unasikia hasira .Ccm Ni chama changu lakini kuziba masikio kutaigharimu sana labda tukatae katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.lakini niwape tahadhari tu tukiendelea kutetea uovu ,uovu huo hautatusaidia.Hakuna mwenye uwezo juu ya roho aizuie roho; Wala hana mamlaka juu ya siku ya kufa; Wala hakuna kuponyoka katika vita vile; Wala uovu hautamwokoa yule aliyeuzoea. Mambo hayo yote nimeyaona, nikatia moyo wangu katika kila kazi iliyofanyika chini ya jua(mithali 8:8-14)
 
Tanzania kama nchi nyingine za Afrika zinahitaji misaada ili kutoa huduma kwa wananchi. Unapozouia misaada maana yake unadhamiria kuwanyima watoto huduma za chanjo, matibabu na elimu. Unawanyima wananchi huduma za barabara, madaraja na pembejeo. Hasara kubwa sana kwa wananchi kuliko kwa viongozi. Je, Lisu ana thamani hiyo?

Nijuavyo mimi kuinyima serikali misaada kutoka kwa wahisani kunasababisha yafuaatayo:
1. Watanzania kuichukia chadema kwa shida zitakazojitokeza. Watanzania wana akili.
2. Huduma kwa wananchi zitapungua idadi, ukubwa na ubora.
3. Watanufaika zaidi majeshi kuliko watu wengine (kipaumbele kitakuwa hawa kwanza)
4. Kodi zinaongezeka ili kuziba pengo la ukosefu wa misaada
5. Miradi ya kimkakati ichachelewa kumalizika.

Jiulize, kwanini Zimbabwe imewekewa vikwazo lakini bado serikali ipo? Je, Shivangilai na chama chake wapo vilevile?, Iran je? Urusi je?

Kifupi kupiga debe nchi inyimwe misaada haimsaidii mpiga debe na wala hawaumizi watawala, bali wananchi wenye vyama na wasiokuwa na vyama.

Chadema hawana uwezo wa kushawishi wahisani watuyime misaada kama nyumba yetu iko safi na ina utaratibu unaoeleweka.

Unajua mbaazi ikikosa maua, huwa inasingizia jua. Kumbe tatizo sio jua. Ni ukosefu wa viatilifu sahihi ili maua yaweze kutoka.

Hizi siasa za uongo uongo hazina tena nafasi. Tuanze kuwajibika na kurekebisha mambo, ili tujenge nchi.

Inakera sana kuwasingizia CDM kwenye mambo ambayo wala hawahusiki
 
Tanzania kama nchi nyingine za Afrika zinahitaji misaada ili kutoa huduma kwa wananchi. Unapozouia misaada maana yake unadhamiria kuwanyima watoto huduma za chanjo, matibabu na elimu. Unawanyima wananchi huduma za barabara, madaraja na pembejeo. Hasara kubwa sana kwa wananchi kuliko kwa viongozi. Je, Lisu ana thamani hiyo?

Nijuavyo mimi kuinyima serikali misaada kutoka kwa wahisani kunasababisha yafuaatayo:
1. Watanzania kuichukia chadema kwa shida zitakazojitokeza. Watanzania wana akili.
2. Huduma kwa wananchi zitapungua idadi, ukubwa na ubora.
3. Watanufaika zaidi majeshi kuliko watu wengine (kipaumbele kitakuwa hawa kwanza)
4. Kodi zinaongezeka ili kuziba pengo la ukosefu wa misaada
5. Miradi ya kimkakati ichachelewa kumalizika.

Jiulize, kwanini Zimbabwe imewekewa vikwazo lakini bado serikali ipo? Je, Shivangilai na chama chake wapo vilevile?, Iran je? Urusi je?

Kifupi kupiga debe nchi inyimwe misaada haimsaidii mpiga debe na wala hawaumizi watawala, bali wananchi wenye vyama na wasiokuwa na vyama.
Tanzania kama nchi nyingine za Afrika zinahitaji misaada ili kutoa huduma kwa wananchi. Unapozouia misaada maana yake unadhamiria kuwanyima watoto huduma za chanjo, matibabu na elimu. Unawanyima wananchi huduma za barabara, madaraja na pembejeo. Hasara kubwa sana kwa wananchi kuliko kwa viongozi. Je, Lisu ana thamani hiyo?

Nijuavyo mimi kuinyima serikali misaada kutoka kwa wahisani kunasababisha yafuaatayo:
1. Watanzania kuichukia chadema kwa shida zitakazojitokeza. Watanzania wana akili.
2. Huduma kwa wananchi zitapungua idadi, ukubwa na ubora.
3. Watanufaika zaidi majeshi kuliko watu wengine (kipaumbele kitakuwa hawa kwanza)
4. Kodi zinaongezeka ili kuziba pengo la ukosefu wa misaada
5. Miradi ya kimkakati ichachelewa kumalizika.

Jiulize, kwanini Zimbabwe imewekewa vikwazo lakini bado serikali ipo? Je, Shivangilai na chama chake wapo vilevile?, Iran je? Urusi je?

Kifupi kupiga debe nchi inyimwe misaada haimsaidii mpiga debe na wala hawaumizi watawala, bali wananchi wenye vyama na wasiokuwa na vyama.
Wauaji watambue Tz nisehemu ya dunia na sii pori wanaloishi mafisi pekee
 
Tanzania kama nchi nyingine za Afrika zinahitaji misaada ili kutoa huduma kwa wananchi. Unapozouia misaada maana yake unadhamiria kuwanyima watoto huduma za chanjo, matibabu na elimu. Unawanyima wananchi huduma za barabara, madaraja na pembejeo. Hasara kubwa sana kwa wananchi kuliko kwa viongozi. Je, Lisu ana thamani hiyo?

Nijuavyo mimi kuinyima serikali misaada kutoka kwa wahisani kunasababisha yafuaatayo:
1. Watanzania kuichukia chadema kwa shida zitakazojitokeza. Watanzania wana akili.
2. Huduma kwa wananchi zitapungua idadi, ukubwa na ubora.
3. Watanufaika zaidi majeshi kuliko watu wengine (kipaumbele kitakuwa hawa kwanza)
4. Kodi zinaongezeka ili kuziba pengo la ukosefu wa misaada
5. Miradi ya kimkakati ichachelewa kumalizika.

Jiulize, kwanini Zimbabwe imewekewa vikwazo lakini bado serikali ipo? Je, Shivangilai na chama chake wapo vilevile?, Iran je? Urusi je?

Kifupi kupiga debe nchi inyimwe misaada haimsaidii mpiga debe na wala hawaumizi watawala, bali wananchi wenye vyama na wasiokuwa na vyama.
Madilu kasema ni uzamani
 
Tanzania kama nchi nyingine za Afrika zinahitaji misaada ili kutoa huduma kwa wananchi. Unapozouia misaada maana yake unadhamiria kuwanyima watoto huduma za chanjo, matibabu na elimu. Unawanyima wananchi huduma za barabara, madaraja na pembejeo. Hasara kubwa sana kwa wananchi kuliko kwa viongozi. Je, Lisu ana thamani hiyo?

Nijuavyo mimi kuinyima serikali misaada kutoka kwa wahisani kunasababisha yafuaatayo:
1. Watanzania kuichukia chadema kwa shida zitakazojitokeza. Watanzania wana akili.
2. Huduma kwa wananchi zitapungua idadi, ukubwa na ubora.
3. Watanufaika zaidi majeshi kuliko watu wengine (kipaumbele kitakuwa hawa kwanza)
4. Kodi zinaongezeka ili kuziba pengo la ukosefu wa misaada
5. Miradi ya kimkakati ichachelewa kumalizika.

Jiulize, kwanini Zimbabwe imewekewa vikwazo lakini bado serikali ipo? Je, Shivangilai na chama chake wapo vilevile?, Iran je? Urusi je?

Kifupi kupiga debe nchi inyimwe misaada haimsaidii mpiga debe na wala hawaumizi watawala, bali wananchi wenye vyama na wasiokuwa na vyama.
Kwa sababu inatumika kupoteza wapendwa wao
 
Mazuzu tu na Uzwazwa unawasumbua👈

Fikiria aya majitu wanataka tuwekewe Vikwazo ‼️

lkn hawatosheki bado wanataka kuandamana kwenda kuchoma Miundombinu yetu tunayojenga kwa pesa zetu Watanzania 🫎🫎

ndiomana Police wamewaambia wasithubutu kama kuvunja kavunjeni ya uko uko kwa Mazungu yenu 👈.
waliowatuma pengine watawasamee wao 👈
 
CCM -DOLA NA CHADEMA- WANANCHI VINAPAMBANA NA KUIPASUA NCHI

Chadema wananchi kakudanganya nani

Uwezi kumtumikia BEBERU na bado ukaungwa mkono na Wananchi

Hangekuwa na mtagi wa Wananchi kwanini kakimbia Sanduku la kura🫎🫎‼️
 
Utoke Ulaya uje kutupangia lazima kwenye Uchaguzi huu Sheria iwe ile na ile !!!!

Umesikia wapi upumbavu kama huu

Hoooo kama utaki chama changu kinajitoa Uchaguzi🫎🫎🫎🫎🫎🫎

kwaiyo na Wapinzani wengine mana kuna vyama 17 nawao waje na wazo lao gafra!!!

Je kutakuwa na Uchaguzi tena.

Katoke Ulaya kuja kutupangia Uchaguzi uweje uweje kama Hamtaki nazuiya Uchaguzi 🫎🫎
 
Unajua ni kiasi gani cha misaada huwa kinapotea kwenye mianya ya rushwa na miradi isiyo na tija?
 
Chadema hakuna chawa kwa sababu Chadema hailipi watu hela bali wanachadema ndiyo wanaichangia Chadema yao. CCM kuna hela ya bure bure ndiyo maana kuna chawa.
wanalipa watu wakaandamane.

Eti tuandamane sisi Tundu Lissu atoke jela!! wanatuona sisi maboya. Yaani tumtoe Lissu tu wakati huko jela kuna watu wengine pia ambao walisingiziwa kesi, mbona hawasemi lolote kuhusu wafungwa wengine wa aina hiyo watoke pia?

IWatoto wao wako Ulaya wanakula bata eti sisi ndio tukaandamane tumtoe Lisu bila watoto wao kuweko mstari wa mbele kwenye maandamano, nyeti zao hazina akili.

Hawa jamaa wanatoa mifano ya serikali zilizoangushwa kama Somalia, Sudani, Iraq, Libya... lakini hawasemi baada ya serikali hizo kuangushwa nini kilitokea maisha ya wananchi yaliboreka au yalididimia. Wanadhani sisi hatujui dunia anakwendaje.
 
Heche piga Hawa nguruwe wa kizimkazi bado wanatoa vichwa mapangoni.
Nani chadema ana hadhi ya kuwa Rais wa nchi, Lissu, Heche, Mnyika< Nshala au wanasubiri atoke CCM kama wanavyofanyaga?

chadema ya sasa imepoteza dira na uelekeo, ni madalali na wanaharakati. Hawana sera zaidi ya kutaja kero. Sasa hivi hawana sera ya maana zaidi ya Lissu awe huru, akishakuwa huru si atakamatwa tena kesho yake au kuumizwa kabisa? bora huko aliko yuko salama zaidi kuliko akiwa nje. Hata kule Uganda wapo akina Dr. Kiza Besije.

Baada ya Lissu kuumizwa sana hakupa ushauri nasaha, anajiona hana thamani tena na hana cha kupoteza. Ndiyo maana hasikitiki kuona TRA, Mabenki, sheli, mwendokasi, mahakama, hospitali, maduka, vituo vya polisi na ofisi za serikali zinawaka moto zote; ikibidi tukose wote, hasa pale anapogundua kuwa familia yake haiko tz. Sisi wa Mbagala tuliishangaa chadema hii kuona inachoma mwendokasi usafiri tuliousubiri kwa miaka mingi sana kuondokana na kero ya kupitia madirishani kwenye madaladala.
 
Unajua ni kiasi gani cha misaada huwa kinapotea kwenye mianya ya rushwa na miradi isiyo na tija?
Huna data hata kidogo. Misaada ndiyo ilifanikisha kupatikana dawa za ukimwi, chanjo, reli, baadhi ya vifaa tiba, majengo ya shule, zahanati, mafunzo ya wataalam mbalimbali na hata vifaa yva ulinzi. Wewe unaposhadidia nchi kunyimwa misaada maana yake hupaswi kuwa miongoni mwetu hata kidogo. Misaada hii mingi inatokana na rasilimali zetu walizotuibia na wanazotuibia na wanazotudhulumu hata sasa, kupiga debe isiletwe ni kutokosea watanzania wote.
 
Tanzania kama nchi nyingine za Afrika zinahitaji misaada ili kutoa huduma kwa wananchi. Unapozouia misaada maana yake unadhamiria kuwanyima watoto huduma za chanjo, matibabu na elimu. Unawanyima wananchi huduma za barabara, madaraja na pembejeo. Hasara kubwa sana kwa wananchi kuliko kwa viongozi. Je, Lisu ana thamani hiyo?

Nijuavyo mimi kuinyima serikali misaada kutoka kwa wahisani kunasababisha yafuaatayo:
1. Watanzania kuichukia chadema kwa shida zitakazojitokeza. Watanzania wana akili.
2. Huduma kwa wananchi zitapungua idadi, ukubwa na ubora.
3. Watanufaika zaidi majeshi kuliko watu wengine (kipaumbele kitakuwa hawa kwanza)
4. Kodi zinaongezeka ili kuziba pengo la ukosefu wa misaada
5. Miradi ya kimkakati ichachelewa kumalizika.

Jiulize, kwanini Zimbabwe imewekewa vikwazo lakini bado serikali ipo? Je, Shivangilai na chama chake wapo vilevile?, Iran je? Urusi je?

Kifupi kupiga debe nchi inyimwe misaada haimsaidii mpiga debe na wala hawaumizi watawala, bali wananchi wenye vyama na wasiokuwa na vyama.
Mnataka misaada tena kwa hao wazungu wakati mnahadaa umma kila siku kuwa tuna raslimali kibao hado hao wazungu wanatuonea wivu? Au mnajicontradict na kila mnachosema kila siku majukwaani? Mnpora uchaguzi hadi kufanya mauaji, kumbe uwezo wa kuongoza hamna ila mnategemea misaada ya wanaotuonea wivu kwa raslimali tulizo nazo.
 
wanalipa watu wakaandamane.

Eti tuandamane sisi Tundu Lissu atoke jela!! wanatuona sisi maboya. Yaani tumtoe Lissu tu wakati huko jela kuna watu wengine pia ambao walisingiziwa kesi, mbona hawasemi lolote kuhusu wafungwa wengine wa aina hiyo watoke pia?

IWatoto wao wako Ulaya wanakula bata eti sisi ndio tukaandamane tumtoe Lisu bila watoto wao kuweko mstari wa mbele kwenye maandamano, nyeti zao hazina akili.

Hawa jamaa wanatoa mifano ya serikali zilizoangushwa kama Somalia, Sudani, Iraq, Libya... lakini hawasemi baada ya serikali hizo kuangushwa nini kilitokea maisha ya wananchi yaliboreka au yalididimia. Wanadhani sisi hatujui dunia anakwendaje.
Hicho kilevi unachotumia kiache mkuu, unapwaya, andiko lako hili siyo mikato yako kabisa.
 
Back
Top Bottom