Ni mkopo ati na wala sio Msaada!!! Kwa kanuni za mkopo yule mwenye nazo ndo ana Sifa zaidi za kukopeshwa mana ana uwezo wa kurejesha. Pili shule za private zipo kuisaidia kutoa Huduma hii ya kijamii iitwayo elimu. Serikali pekee kimsingi isingeweza kutoa kwa wote na kwa ubora unaotakiwa. Swala...
Kila mtu anahusika apo kati ya hao wanaume saba na uwezekano wa kuzaa watoto 7 ni mkubwa sana. Pole sana na hongera kwa wito wako wa ugawaji.subiri kombeeeee
Mtoa mada usitake kuwashawishi watu waendelee na maisha ya anasa. Vitabu hivi vya dini si tu vinasaidia kwa maisha ya baadae ya peponi/mbinguni bali pia vinatusaidia katika maisha yetu ya kila siku hapa duniani. Kiujumla vimejaa hekima isopimika na vinaleta uadilifu katika jamii. In short wee...
Usipendelee wa migodini aisee,,, anza kuhudhuria ibada utakutana nao uko lkn kumbuka hao hutowakagua mpaka utakapo kabidhiwa rasmi mbele ya mashahidi[emoji16]
Tumsaidien maadam ameweka tatizo lake wazi na siyo kumponda tena. Huyu angekuwa anakaa tu peke yake hata kwenye hili jukwaa asingekuja. Kumbukeni hii dunia ina watu wa kila ainaaaaa
Kuna kitu umemtenda siyo bure! Jaribu kusoma hiyo meseji anayojaribu kukutumia maana inovoonyesha mwanzoni hakuwa ivo labda ulianza wewe sasa ye anamalizia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.