Recent content by Oscar Kimaro

  1. Oscar Kimaro

    Arusha - Je tunaridhika na utendaji wa Godbless Lema?

    we una lako jambo, mbona ulianza kwa kuponda au unajichanganya kubali kuwa uko biased!!
  2. Oscar Kimaro

    Hatimaye Jerry Muro ashinda kesi yake

    hatimae!!! hii inadhihirisha nchi isiyo na uhuru wa vyombo vya habari na wanahabari!!
  3. Oscar Kimaro

    CTV - CHADEMA TV: Karibuni hewani

    hapo umenena ndugu yangu.... ikiwa mtu hajui asikurupuke kuchangia!! kwan lazima utoe mawazo yako uchwara!??
  4. Oscar Kimaro

    Hii ndiyo siri ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)

    nimesoma kwa makini ndugu na kugundua kuna logic hapo! ccm hawapendi kabisaaaaa wananchi wajue kuwa kuna mambo wameshindwa kutokana na "ulegelege wao" unaozaa viongozi na serikali legelege au kwa msamiati mzuri "serikali rojorojo"!
  5. Oscar Kimaro

    kwa wanawake wa kichaga na kirangi, mnatamani sana usafiri huu.

    mnawaonea tuuuu hao si ndo wanashikilia chati siku hizi??? warembo na wamefungasha kwelikweli!!:mmph:
  6. Oscar Kimaro

    Nafasi za kazi nchini Botswana

    kila mahali kazi kazi kazi kazi hivi hamuyaoni haya maisha bora kwa kila mtanzania????
  7. Oscar Kimaro

    Lady Jay Dee ajibu hoja ya Wakurya!

    mwambie sister
  8. Oscar Kimaro

    Kama Christopher Ole Sendeka angekuwa Mwalimu...

    ebwanaee! walimu wanaonewa kweli kwasababu; 1.waliwahi kumfundisha na akapata ujauzito pengine ilikuwa mida iliyosogea (si kigezo) 2.huenda kweli mzazi aalikosa ada ya tuisheni hivyo akasingizia 3.walimu wanasingiziwa kwasababu ndio pekee wenye muelekeo mtaani kwao hivyo mzazi anataka anufaike...
  9. Oscar Kimaro

    Muzee wa Kiraracha choka mbaya ama?

    mzee wetu tunampenda sana kwani ni mtetezi kweli yuko tayari kukosa yeye kwa manufaa ya wanyonge MUNGU ambariki na ampe nguvu 2010 aweze kutwakilisha vyema mjengoni... namuaminia!
  10. Oscar Kimaro

    Muzee wa Kiraracha choka mbaya ama?

    si alishasema yeye usalama wa taifa! vunjo tutampa...
  11. Oscar Kimaro

    Hivi ni sahihi Rais kuusema wanaomuandama wana chuki binafsi na yeye?

    haa! ni mara yangu ya kwanza lakini imenigusa... kimsingi hapaswi kuwalaumu wanaomkosoa kwani aliwahi kusema kuwa anapenda kusikiliza maoni ya watu. Jambo linalonishangaza ni kuwa anapoambiwa baadhi ya mambo yanayomgusa yanamuumiza ukweli ni kwamba ile nguvu aliyoingia nayo mheshimiwa imepungua...
Back
Top Bottom