Mbaneingoma Zom
JF-Expert Member
- Feb 23, 2011
- 201
- 14
Ndugu Donyongijape, hiyo Television station ipo njiani kuja unachotakiwa kufanya ni kutunza hiyo pesa ili tukiihitaji iwe karibu mimi ni mdau namba moja hivyo hauna haja ya kuona imechelewa.Jamani kwa nini wasiiweke hewani hii CHADEMA TV..(CTV)..??? Mimi niko Tayari Kuichangia na nadhani kuna wadau wengi wataunga mkono . Tumechoka na uchakachuaji wa TBCCM. Wadau wa CTV tupeni mikakati yenu jamani.