Njaa haina masaa, kuna mtu atahisi njaa wakati wengine bado, kuna mwingine ameacha kula kuwahi treni akaona hawezi kukaa chini ale badala yake abebe atakula akikaa. Kwa kifupi safarini kuna kula hilo halina maswali labda kama ni magunia yanasafirishwa
Wananchi kubeba chakula ni lazima.
Usafiri siyo suala la kuzuia watu kula.
Wao waweke mazingira safi, me nadhani ni kwa sababu ni mwanzoni tu baadaye hadi kuku na mbuzi tutapanda nao
Kimsingi mifumo yetu iko hoi.
Wanaotuongoza hawana mwelekeo wowote ni kwenda tu mbele bila kujua ni wapi.
Tungekuwa na dira na mwelekeo wa kitaifa ingekuwa vyema.
Hawana maumivu na Tanzania kitoendelea
Mimi ni mtanzania, kipindi cha mfungo nikila mchana Dar au Dodoma siyo kosa.
Nikila Zanzibar ni kosa.
Na hii ni nchi moja, katiba moja.
Sijui huu ujinga umetoka wapi
Kwa mtazamo wangu vijana wanapatikana kitaani kwako, wewe huenda unajua wanaofaa kufanya nao kazi kwa sifa unazohitaji.
Humu sina hakika kupatikana [emoji2369][emoji2369]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.