Orril
Member
- Oct 10, 2019
- 13
- 26
Kwa kiasi fulani unaongea point mkuu.
Ndo maana nchi yetu haendelei; anamaliza form 4 anaomba ushauri cha kusoma mbeleni adi anaetaka kusoma masters nae anaomba ushauri. kusoma masters siyo lazima; unaweza kuchukua ata masters ya kuchekesha kama unaona ipo kwenye plan yako ya mbeleni.
Tupunguze kushusha usomi wetu; badala ya kutulea uchambuzi wa faida na hasara kwa kila kozi.