Boyfriend wangu ni mchafu sana

Boyfriend wangu ni mchafu sana

Hapo hata miezi sita hujafika nae tayari ushamchoka....
Ndio maana hatuwaoi ni mwendo wa kuwazalisha tu
Najua mtanitukana na kunisema eti ni kazi ya mwanamke kumuweka mwanaume sawa lakini hapa nimenyanyua mikono, isiwe kesi bora tuachane tu.
Nimekua katika haya mahusiano mwezi wa 8 sasa, mwanzoni nilikua sijamuelewa sana huyu jamaa na tabia yake lakini yamenifika kooni.
I'm not the cleanest person lakini huyu mwanaume ni mchafu jaman. Akioga usiku kabla ya kulala asubuhi haogi. Hata kama nikimsema yani analala na mwanamke usiku asubuhi anaenda kazini hivyo hivyo. Chumba chake ndo kichafu usiseme. Kuna wakati nilisafiri nikaenda mkoa mwingine kama mwezi hivi kurudi chumba hakitamaniki. Nikaona isiwe shida nikamsafishia. Ikawa kila weekend nikienda nasafisha. Nilipata ugeni sikuweza kwenda kwake kwa takribani wiki mbili, mungu wangu siku nilioenda ni kama pamepigwa bomu! Sahani aliolia chakula siku kama 3 zilizopita zipo humo, machupa ya maji, maganda ya ndizi. Hapo kitandani ndo usiseme. Ana jiko na sebule lakini viombo vimejaa chumbani. Yani nikaona hii ni tabia yake.

I can't do this anymore. I'm like his house girl.hata mama hamlei mtoto wake hivi.Mwanaume haambiliki. Nikishauri ajitahidi usafi anasema nampanda kichwani( Male ego).
Sijaenda kwake wiki sasa I know nikienda huko huo uchafu ntakaokutana nao sina hamu.
He's a good guy lakini hii tabia yake imenishinda. Bora yaishe tu.

Kina dada mnaishije na hawa viumbe?. Huyu kanishinda
 
Kumpenda mtu ni kuwa na utayari wa kumkubali pamoja na udhaifu wake kisha kumsaidia ktk udhaifu wake ili kumuimarisha!
Ah wapi! Aende for psychotherapy na rehabilitation. Kama huwezi badili Tabia zako mbaya ukisubiri mtu akupende na akubadilishe you are nothing but a manipulator and abuser.

Uchafu ni sign ya uvivu na uvivu ni indicator ya underdevelopment. Wako binadamu wanaoishi maisha ya shida wanaohitaji upendo na nguvu zangu zaidi ya mwanaume mchafu.
 
Miaka ya nyuma nilikuwa kama huyo jamaa yako nadhan kitu kilicho changia sana nikusoma shule za boyz toka o hadi A level kuna maisha nilizoea kuyaishi nikiona nisahihi kumbe nakosea

Chuo nikapanga geto ikawa hivyo hivy nilipata mwanadada mmoja nikadate nae kiukwel alitumia busara kunielewesha na ilifika kipind akija akifanya usafi ananiomba tufanye wote basi na mm nikawa nafanya mpaka nikawa naona ni vitu vya kawaida naweza kusema alinifundisha sana mambo ya kuoga inabid hata ukaoge nae mbembeleze mwambie twende tukaoge hawez kataa tumia uwanamke wako kumconvice naamin atabadilika
 
Hivi siku hizi na hivi vitu vinavunja mahusiano [emoji848][emoji848]
Hahaha simaanishi usafi uzidi hapana. Zile normal ettiques kama kutoa sahani ukila, kutupa uchafu kwenye Dustin, yani vile vitu vya kawaida navyo ni tatizo.
 
C unajua hakuna aliekamilika, so we umepanga kumvumilia mtu mwenye mapungufu gani, muongo?, mzinzi?, mlevi?, mshirikina? Mvivu? Kuna jran yangu aliachana na mchumba ake kisa yuko rough cjui ananuka mdomo akaenda kwa tozi kilicho mkuta... ilifka point akataman kurud aliko toka bahati mbaya jamaa akawa ameshaingia kwenye mahusiano mengine afu kabadlika smart n hakuna. usione vya elea mjfunze kuunda. Changamoto n nyepes sana hyo kuvunja uhusiano ambao huko serious afu unawez kuta ata sio mchafu inawezekana akawa ana kuzoom tu ajue kiwango chako cha uvumilivu sasa kama ume shindwa hlo utavumilia nn kwenye ndoa, choose wise
 
Uchafu hauvumiliki... In bora mchoyo kuliko mchafu. Both men n women.

Sema huwezi muacha kabla hujapata Wa kuziba gap.. Ukipata nyege utaenda tu gongwa... So anza mchakato Wa kupata mwingine kwanza. Ukifanikiwa achana na huyo mchaphuu..
 
Miaka ya nyuma nilikuwa kama huyo jamaa yako nadhan kitu kilicho changia sana nikusoma shule za boyz toka o hadi A level kuna maisha nilizoea kuyaishi nikiona nisahihi kumbe nakosea
Chuo nikapanga geto ikawa hivyo hivy nilipata mwanadada mmoja nikadate nae kiukwel alitumia busara kunielewesha na ilifika kipind akija akifanya usafi ananiomba tufanye wote basi na mm nikawa nafanya mpaka nikawa naona ni vitu vya kawaida naweza kusema alinifundisha sana mambo ya kuoga inabid hata ukaoge nae mbembeleze mwambie twende tukaoge hawez kataa tumia uwanamke wako kumconvice naamin atabadilika
Hatari hii..

Yani ulikua hujui hata kuoga!!??
 
wewe endelea kujimbwambafy kuolewa utasikia redioni. Ukifikia umri wa kuolewa badilisha fikra za kishule, za kisherehesherehe, za club , za kujirusha...unapoukubali umama basi yafaa uukane usichana na maisha sii maigizo uyaonayo kwa watu. Watu wanavumiliana kwa mengi ndio maana wanadumu kwenye mahusiano. Unaweza ukampata msafi kweli kweli shughuli ya jeshi haiwezi vizuri lakini kwani sisi wanaume tunavuilia mangapi kwenu? kama sio kastarehe ka muda na kutafuta watoto unadhanmi hali ingekuwaje kwa mfano???
Uchafu hauvumuliki....

Usimtishe Dada Wa watu .
 
Back
Top Bottom