Hadhi gani ndugu yangu wengi wanaingia kwa porojo tu hebu vuta hisia kazi ngumu tunazofanya viwango Vya mshahara wanayotupitishia bungeni na wengi wao hawana elimu yoyote zaidi ya kupitisha chochote kinachokuja mbele yake inauma sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Je dereva angekufa pale upelelezi usinge fanyika jaribuni kubadilika sisi wengine sio wanasiasa wala hatuna mahaba ya chama chochote kubali lile ni tukio baya sana na linatakiwa upelelezi wa kina sio polojo tunazopewa na wafia matumbo yao
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.