Mkuu naomba kujua training zimefika Mkoa gani na mie nihudhurie, mi nimeuona huu uzi leo na hii forex ndo nimejua kama wiki imepita. Naombeni msaada wa training, vitabu nina soma ninavyo kadhaa, kama kuna training yoyote naomba mnijuze
Leo nimeanza kusoma baadhi ya vitabu vilivyowekwa hapa na members, nataka nisome vitabu 3, naanza na "17 Proven Currency Trading Strategies by Mario Sigh" pamoja na vingine 2, kufikia mwishoni mwa Januari nitakua nimevimaliza, then wiki 2 za mwezi February nitajifunza kupitia videos za YouTube...
Utaalamu wa kuua? Vyombo vya sheria vipo na vina kazi hiyo ya kutoa haki. Kama ushahidi umejitosheleza aende mahakama lakini ukimuua utajuaje kama kweli ni mhalifu.Usiongee hivyo kwakua sio Ndugu yako au mwanao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.