hata hivo pesa ni ndogo unayoingia nayo, mfano laki na nusu au kiwango cha juu ni laki tano na 40 sio pesa ya kukuumiza ukilinganisha na betting inavo pura pesa za walala hoi
ungekuwa umejiunga imagine toka mwezi wa nov 2014 mpaka sasa still operating si ungekuwa umepiga hatua?
kuna wakati uoga wetuu maskini wetu pia, hivi unaogopa lbl huku unaweka mzigo kwa kanji kwenye betting still unachoma mtaji vilevile
anayesema MRI milion 500 ajipange kisaikolojia ama kutafuta maarifa zaidi MRI zilizofungwa na serikali ni latest version bei yake ina range kati ya bilion 3. 5-5,
Kwa wale tunaopanga nyumba za watu,. kuna wakati hata hizo nyumba zinaweza kuwa na influence na maisha na shughuli zako zinginr ni balaa tupu kila ukipanga mipango hutoboi ukiona hivo hama haraka hiyo nyumba
kwa case ya account 2, kuna. jamaa juzi kati amekula milioni 38, 22bet wakamzingua kwa kigezo hicho waka mzima pesa yake nafikiri tuachane. na kampuni za Kiswahili hizi zimejaa uhuni, yaani milion 3 wanakuzima wajinga sana hao
watu wakiambiwa warudi kwa mizimu. ya mababu zao wanapuuza, endeleeni kuabudu miungu. ya watu wengine, kabla ya hizi dini Babu na bibi zetu waliishi na ibada zao walikuwa wakiomba na kujibiwa maombi yao hasa ya kijamii kama vile mvua na mambo mengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.