Hmmm. We umefanya mambo mengi ati...Mara mochwari..coz hizi za upadrii.duuh
Na kilingeni.thou upande wangu I ana nimemuamini mtoa mada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha duh.shule yangu hii.
Pwahahaha ata Mimi niliwahi kula ada.10000 nilimalizia asubui siku ya kwanza ya mtihani wa form 4.mkuu itakua ulimaliza 2005 bila shaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahio umeona wasabato tu??mbona u Uzi wako umegusia kua Anglican ilianzishwa na Huyo mfalme wa uingereza baada ya wakatoliki kumkatalia kumuacha mkewe ambae hajampa mtoto wa kiume???kumbe madhebu ndo yalianza hiv??
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikutana nao kisumu usiku wa SAA nane nikiwa naelekea kazini.nipata konekshni na Jamaa Fulani alikua engineer wa kplc yani Tanesco ya kenya.sa tulikua tunapelekaga UMEME vijijini kama REA(rural electrification authority).sa inabidi kuanza safari ya kutoka kisumu kwenda vijijini usiku wa SAA...
Yule mama aliefungiwa Huduma mfalme Zumaridi kwa mbwembwe nyingi za vyombo vya ulinzi mbona mmemruhusu sasa kufanya Huduma pasipo manjonjo kama mlivyofanya pindi ile? Alikuwa kakosea nini?
Tofauti yake na hawa mitume na manabii wanaouza maji na chumvi kama yeye iko wapi??mbona hamuwakamati nao...
Kaka yangu nae kama wewe.anaamka anakimbilia mlango huku anapiga kelele.mshana wanasaidiwaje kwenye hali ya namna hii
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.