Kupatwa kwa mwezi January 10 2020 usiku

Jamani lunar eclipse iko on (imeshaanza) tatizo ni kuwa labda wengi hamjui kuwa ina stages na sio kitendo cha dakika sifuri. Ikifikiwa kwenye penumbral stage ni ngumu ku observe angalau ikiwa kwenye partial eclipse unaanza kuona na ikiwa kwenye total eclipse ndio unaona sasa vizuri.


 
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza kutatokea tukio la kupatwa kwa mwezi Januari 10, 2020 saa 2:07 usiku hadi saa 6:17 usiku wa kuamkia Januari 11, 2020 na tukio hilo litaonekana sehemu yote ya Tanzania.

Taarifa iliyotolewa na TMA jana Alhamisi Januari 9, 2020 imeeleza kutokea kwa tukio hilo hakuna athari zozote kubwa zinazotarajiwa kutokana na hali hiyo.

Hata hivyo, mamlaka hiyo imeeleza upo uwezekano wa kuongezeka kwa kina cha maji katika bahari wakati maji kujaa, hali hii ikiwa inasababishwa na mvutano kati ya mwezi na maji katika bahari.

TMA imesema hali ya anga inatarajiwa kuwa yenye mawingu kidogo hali ambayo itatoa nafasi nzuri ya kuonekana kwa tukio hilo kwa macho.

Tukio hili hutokea au kujirudia mara chache sana katika eneo husika, hii ndio sababu kwa watu wa eneo husika na wanasayansi limekuwa ni tukio muhimu na la kipekee

Hali ya kupatwa kwa mwezi ni tukio la aina yake linatokea pale ambapo dunia inapita kati ya Jua na Mwezi, hivyo dunia husababisha kivuli katika uso wa mwezi.

Muda wa kufunikwa kabisa ni dakika chache tu katika eneo husika.View attachment 1318248

Jr
Hii ni kati ya saa 2:07 na 6:17.....

Hebu weka vizuri hapo bwana Mshana Jr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupatwa kwa mwesi sio dunia hupita katikati ya jua na mwezi,bali hizo njia za ununurishaji wa uhai,hufanyiwa marekebisho na viumbe waliotuzidi maarifa(miungu),endapo dunia ingekuwa tufe na ingepita katikati ya jua na mwezi kwa kuwa vyote vina asili ya miale basi vingetumulika vyote na usingeona tofauti yeyote eiza weusi au wekundu mbele ya jua ama mwezi,.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupatwa kwa mwesi sio dunia hupita katikati ya jua na mwezi,bali hizo njia za ununurishaji wa uhai,hufanyiwa marekebisho na viumbe waliotuzidi maarifa(miungu),endapo dunia ingekuwa tufe na ingepita katikati ya jua na mwezi kwa kuwa vyote vina asili ya miale basi vingetumulika vyote na usingeona tofauti yeyote eiza weusi au wekundu mbele ya jua ama mwezi,.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii yako ni mpya mzee.
 
Jamani lunar eclipse iko on (imeshaanza) tatizo ni kuwa labda wengi hamjui kuwa ina stages na sio kitendo cha dakika sifuri. Ikifikiwa kwenye penumbral stage ni ngumu ku observe angalau ikiwa kwenye partial eclipse unaanza kuona na ikiwa kwenye total eclipse ndio unaona sasa vizuri.




Hivi, huwa inaweza ikaishia kwenye penumbra eclipse isifike total eclipse?, maana nilikua naskia redioni wanasema tunaweza tusiobserve kwa kuangalia kwa macho eti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi, huwa inaweza ikaishia kwenye penumbra eclipse isifike total eclipse?, maana nilikua naskia redioni wanasema tunaweza tusiobserve kwa kuangalia kwa macho eti.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima ifike total eclipse. Stage ya mwanzo ndio hiyo penumbra as dunia inaanza taratibu ku cover uso wa mwezi, hii stage sio rahisi kuona kwa naked eyes.

At total eclipse the earth's umbra completely ina cover mwezi ndio ile unaona bloody moon.
 
Lazima ifike total eclipse. Stage ya mwanzo ndio hiyo penumbra as dunia inaanza taratibu ku cover uso wa mwezi, hii stage sio rahisi kuona kwa naked eyes.

At total eclipse the earth's umbra completely ina cover mwezi ndio ile unaona bloody moon.
Ok, I wish nione hiyo total eclipse, ila saa 8 duh nasinzia vibaya hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok huku liko hivi... Hii picha ni ya saa tatu usiku
It's on mkuu ila haijafikia total eclipse. Nipo Arusha hapa kuna mvua mda huu. Alieko Arusha anaweza kuwa shahidi wangu.
IMG_20200110_213846_616.jpeg


Jr
 
Back
Top Bottom