Let me adress the unadressable: Jesuits & mapadri

Let me adress the unadressable: Jesuits & mapadri

Kumbe Mshana ulikula "utawa" miaka 5 , utakuwa na mengi ya kusimulia . Ndio maana nyuzi zako zina falsafa ya kufa mtu . Hivi nidokezee !ni kweli kuna Mungu anaesema usioe ili ufanye kazi yake vizuri ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana ni conspiracy theories tu.lakini shida inakuja ni kwanini kuwe na 'point of no return' kwanini kuwe na tahadhari kubwa kiasi hicho wakati wanajua fika hata Hugo anayetaka kuwa padri ni binadamu tu kama wanadamu wengine na huenda siku moja akakosea na akakengeuka miiko ya imani hiyo!?
Nadhani ingekuwa tu onyo la kawaida kwamba ukifanya hili na hili unatoka katika imani hii,nadhani pengine kuna madhara makubwa humfika mtu endapo atatoka katika imani zao,na hapo ndo nnapoamini hili andiko.
Point of no return haipo kwenye upadre tu, ipo kwenye Sakramenti nyingine zote.

Kwa mfano, ndoa ya Kikatoliki haifunguliwi popote. Mkishafunga ndio imetoka, mpaka kifo kiwatenganishe.

Maana yake, the moment mnapofunga ndoa, mnakuwa mmeingia kwenye point of no return.
 
Wakuu,

Confidence ya huu uzi sina, naogopa kuandika hapa, ninatetemeka, maana hii taasisi inatisha kuliko hata amateur jihad fighters.

So I'll keep it short and sweet ila Jesuits, I'm sorry in advance. Msinitafute please.

UPADRI:
Iko hivi: Upadri ukiusomea kuna stage inafika inaitwa no return stage, in that stage unaambiwa kabisa...wait kwanza.

Quick Analogy: Kama unavyoingia Freemason, mwanzoni si wanakuambia hiki ni chama tu kama vicoba? Yani hakihusishi dini wala imani yoyote, hakina mambo ya kafara wala nini, ni kwa ajili ya kusaidia jamii kuondokana na umasikini. Lakini si ukishaingia ukazidi kuusoma na kupanda degree, kuna ile degree inafika unaambiwa sasa hapa there is no return.

Hapo ndipo utaanza kufundishwa true intention ya FM na kuhusu ibada za shetani n.k. At that stage wanakuambia ukiacha tu tunakuua.

Turudi kwenye mada sasa.

Hivyo hivyo inakuwaga upadri. Ukienda kusoma unapopanda madegree mpaka Vatican huwa kuna stage. Sasa inafika unaambiwa the true face of Catholicism na unaambiwa kabisa who is our god, our plans for this world, who are our enemies na mambo mengine kedekede. At that stage inakuwa too late huwezi tena kuacha.

Hii ipo true na ni fact kuwa huwezi kuacha upadri, hata uzini, uue, uibe unaweza ukafukuzwa kazi lakini utaendelea kukaa sehemu malumu ukichungwa na kuendelea kulipwa, lakini siyo kurudi mtaani na kuanza mishe za boda boda, hata ukirudi mtaani watakua wanakuchunga sana.

Hata ivo watakuwa wanakuamini sana mpaka wakuruhusu urudi mtaan (kama mfungwa wa nje)

Huwezi kubadili dini maana wanajua utaenda umwage siri za Vatican, personally niliambiwa hizi mambo na padri fulani alizini akataka kubadili dini wakathreat kumuua. Hii ishu baadhi ya wajuvi watakuwa wanajua ngoja niishie hapa.

JESUITS: Hii organization ipo ndani ya dini na ni far, far, far, far worse zaidi ya upadri maana kazi ya padri ni kuhakikisha anashika raia wengi kanisani lakini hawa CIA kazi yao ni kudeal na affairs za kikanisa nje ya kanisa. Hawa ndo wanakuwa marais, mashehe, wachungaji, wanasiasa, wanamziki, wafanyabiashara wakubwa n.k n.k n.k.

Hawa kukupoteza ni dakika sifuri. Kuna kiongozi wa dini fulani (kapuni) isiyo RC alifukuzwa baada ya kugundulika ni Jesuit.

Hawa ndiyo mimi nawaogopa na ninajua nimeshawakosea kwa kuvujisha siri hapo juu.

With that being said wajameni Jesuits nilikua natania tu hapo juu msichukulie serious (I'm serious)
Nilidhani umekuja na kipya zaidi ya yale ambayo yamejadiliwa sana humu kuhusu hao Jesuits. Kumbe hujagusa hata robo ya mambo ambayo yamejadiliwa humu kuwahusu hao Jesuits. Tumejadili mengi sana na hamna hata mmoja aliyetishwa au kuuawa, nakushangaa wewe kutaja tu Jina Jesuits eti unatetemeka.

Inaonekana wewe ni mgeni hapa JF, jaribu kupitia nyuzi za miaka ya nyuma utapata nondo nyingi na nzuri kuwahusu hao humuhumu......
 
Point of no return haipo kwenye upadre tu, ipo kwenye Sakramenti nyingine zote.

Kwa mfano, ndoa ya Kikatoliki haifunguliwi popote. Mkishafunga ndio imetoka, mpaka kifo kiwatenganishe.

Maana yake, the moment mnapofunga ndoa, mnakuwa mmeingia kwenye point of no return.
Kuhusu ndo kuna exceptions, sio kila ndoa haiwezi kuvunjwa,,,,,,,,,zipo zinazovunjwa...
 
Aliyebariki UTUME wa Muhamadi ni padre, abishe Faiza ili tulete ushahidi. RC ni noumer, they are the one running this world

yap.
mnestory (syriac Christian Hawa ni eastern Christians ambao walikuwa hawaripoti Kwa askofu wa Roma ) mzee waraqa. ameelezea vzr hii story hadithi ya Buhari.
 
Umeona swali nililouliza au hujaliona unajitutumua tu?

Kama umeliona nnakushauri kalisome t na kisha ujibu swali. Kama hujaliona nnakushauri isome post uoiyoijibu kwanza kabla hujakurupuka. Sikiliza...


Swali lilikuwa nje ya mada, nilikuwa nakurudisha madani. Asante pia Kwa pachiko la picha mtembeo zisizohusiana na mada.
 
Umeona swali nililouliza au hujaliona unajitutumua tu?

Kama umeliona nnakushauri kalisome t na kisha ujibu swali. Kama hujaliona nnakushauri isome post uoiyoijibu kwanza kabla hujakurupuka. Sikiliza...


sijibu kila kitu ninamipaka mkuu.
najibu yanayohusiana na kinachojadiliwa na nilichokoment.
oanisha swali na mada ili nikujibu Maana havihusiani. ulitakiwa utoe ufafanuzi wa comments zangu kuhusu padri shehe sio kuleta clips na mambo mengine.

nashukuru Kwa kuelewa ustaadhat
 
sijibu kila kitu ninamipaka mkuu.
najibu yanayohusiana na kinachojadiliwa na nilichokoment.
oanisha swali na mada ili nikujibu Maana havihusiani. ulitakiwa utoe ufafanuzi wa comments zangu kuhusu padri shehe sio kuleta clips na mambo mengine.

nashukuru Kwa kuelewa ustaadhat
Video clip ni ya aliyekuwa padri kawa Sheikh. Si ndicho unachokitaka?

Cha ushoga na kulawitianq na was on o wadogo umekikwepa.na ambacho kimezungumzwa.mpaka na Umoja wa Mataifa (UN) sikushangai inawezekana nawe ni "victim of circumstances"
 
Upadre ni alama isiyofutika. Ukishakuwa Padre, wewe ni Padre milele. Hivyohivyo kwa Sakramenti nyingine zote ikiwemo ndoa na upadre.

Alichokifanya Kalugendo ni kuondolewa mamlaka ya kutoa huduma za Kipadre. Kuna utaratibu lazima uufuate, lakini sio lazima utumie miaka ishirini. Mbona Padre Wilbroad Slaa ilimchukua chini ya miaka mitano?

Hiyo haipo kwa upadre tu; ni kwa Sakramenti zote za Kanisa Katoliki. Shida mnajadili mambo msiyoyajua. Na nimeshangaaa kugundua kuwa Mshana Jr naye huwa anatudanganya tu kumbe.
Uliisha wahi kusikia au kuona au hata kusoma kwenye maandishi ya Dr. Wilbrod Slaa akijitambulisha kama Padree/askofu etc? Sio kama sikubaliani na ulicho kiandika but Napata mashaka kidogo cause binafsi sijawahi kuona, na watu wa kwanza kunizindua kuhusu upadree wa katibu mkku yule wa Chadema ni Waislamu Enzi hizo ile vita ya ufisadi imepamba moto na hasa hasa baada ya yeye kugombea uraisi kwa uchaguzi mkuu wa 2010, before nimesoma sana maandishi yake kama ambavyo nilikua nayasoma maandishi ya Kalugendo but sikuwahi kuona akijitambulisha hivyo Dr. Slaa but Kalugendo alikua akifanya hivyo; Bahati mbaya sasa hvi sio msomaji sana wa magazeti (kipindi ambacho Privatus Kalugendo kaoa ) so sina hakika kama bado padre Kalugendo bado anaandika na kama bado anaandika, sijui kama bado anatumia hicho cheo chake cha upadree, sina hakika kwa kweli
 
Nimejifunza na kuishi utawa kwa miaka 5 na kukamilisha hatua mbili muhimu... Hatua ya tatu ndio ingekuwa a point of no return! Ningeifanya ile sijui leo hii ningekuwa wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hmmm. We umefanya mambo mengi ati...Mara mochwari..coz hizi za upadrii.duuh
Na kilingeni.thou upande wangu I ana nimemuamini mtoa mada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaota..hujui chochote. Kaa kimya
Wakuu,

Confidence ya huu uzi sina, naogopa kuandika hapa, ninatetemeka, maana hii taasisi inatisha kuliko hata amateur jihad fighters.

So I'll keep it short and sweet ila Jesuits, I'm sorry in advance. Msinitafute please.

UPADRI:
Iko hivi: Upadri ukiusomea kuna stage inafika inaitwa no return stage, in that stage unaambiwa kabisa...wait kwanza.

Quick Analogy: Kama unavyoingia Freemason, mwanzoni si wanakuambia hiki ni chama tu kama vicoba? Yani hakihusishi dini wala imani yoyote, hakina mambo ya kafara wala nini, ni kwa ajili ya kusaidia jamii kuondokana na umasikini. Lakini si ukishaingia ukazidi kuusoma na kupanda degree, kuna ile degree inafika unaambiwa sasa hapa there is no return.

Hapo ndipo utaanza kufundishwa true intention ya FM na kuhusu ibada za shetani n.k. At that stage wanakuambia ukiacha tu tunakuua.

Turudi kwenye mada sasa.

Hivyo hivyo inakuwaga upadri. Ukienda kusoma unapopanda madegree mpaka Vatican huwa kuna stage. Sasa inafika unaambiwa the true face of Catholicism na unaambiwa kabisa who is our god, our plans for this world, who are our enemies na mambo mengine kedekede. At that stage inakuwa too late huwezi tena kuacha.

Hii ipo true na ni fact kuwa huwezi kuacha upadri, hata uzini, uue, uibe unaweza ukafukuzwa kazi lakini utaendelea kukaa sehemu malumu ukichungwa na kuendelea kulipwa, lakini siyo kurudi mtaani na kuanza mishe za boda boda, hata ukirudi mtaani watakua wanakuchunga sana.

Hata ivo watakuwa wanakuamini sana mpaka wakuruhusu urudi mtaan (kama mfungwa wa nje)

Huwezi kubadili dini maana wanajua utaenda umwage siri za Vatican, personally niliambiwa hizi mambo na padri fulani alizini akataka kubadili dini wakathreat kumuua. Hii ishu baadhi ya wajuvi watakuwa wanajua ngoja niishie hapa.

JESUITS: Hii organization ipo ndani ya dini na ni far, far, far, far worse zaidi ya upadri maana kazi ya padri ni kuhakikisha anashika raia wengi kanisani lakini hawa CIA kazi yao ni kudeal na affairs za kikanisa nje ya kanisa. Hawa ndo wanakuwa marais, mashehe, wachungaji, wanasiasa, wanamziki, wafanyabiashara wakubwa n.k n.k n.k.

Hawa kukupoteza ni dakika sifuri. Kuna kiongozi wa dini fulani (kapuni) isiyo RC alifukuzwa baada ya kugundulika ni Jesuit.

Hawa ndiyo mimi nawaogopa na ninajua nimeshawakosea kwa kuvujisha siri hapo juu.

With that being said wajameni Jesuits nilikua natania tu hapo juu msichukulie serious (I'm serious)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thanks kwa kunifafanulia....
Ndoa zinazofanywa kuwa batili ni zile ambazo zinakuwa hazijahusisha tendo la ndoa baada ya kuwa mambo mengine yote yametimia.

Mambo mengine kama kulazimishwa, shida za magonjwa, uzazi, ndugu, jamaa na marafiki, n.k. hutatuliwa kabla ya kufungwa kwa ndoa Kanisani.

Sakramenti haiondolewi kwa dhambi. Padri akifungiwa kutoa huduma haondolewi upadre, bado anaruhusa ya kutoa huduma, kama padri, kwenye mazingira fulani fulani.

Once a priest, forever a priest.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom