Yaan mambo mengi aise! sasa sijui tukusifie , tukushauri au tucomment nn kwenye hilo bandiko lako hebu weka picha ya huyo demu wako kwanza labda tutapata pa kuanzia
unaweza ukawa na mkosi tu,. waone jamaa waotumaga msg kuwa wao ni waganga et wamemsaidi summry kuwa na mabasi yake watakusaidia kupunza mkosi siku ukienda posta B utakuta mambo ni moto!
JAMAA wa TRITEL waliniuzia 12,500 aise hatari sana ukim beep mtu akapoke sekunde moj wamekata 600,
vocha ya bei ya chin 5,000 ikifika siku 30 inakata yenyewe kama vile umejiunga kifurushi jamaa walikuwa nuksi wale!
wabongo kwa mapenzi siwawezi yaani mnavyowapenda sumsang ,htc, nokia, sijui na kina nani basi mnataka na ss tuwapende hao hao kila mtu ana mapenzi yake bana
kimsingi mabadiliko yataleta ufanisi, ww unaongelea siasa kuwa anajilimbikia madaraka,
sisi watu wakawaida tunaona yana tija na yanapunguza urasimu na kuongeza uwajibikaji wa hawa ma Afsa mipango ambao wanajiona ardhi ni mali yao wanaweza kukunyanganya wapendavyo na kumpa wanayemtaka ila kwa...
clouds fm wabinafsi sana na wana njama mbaya sana kwa wasanii ila wanawatumia sana baadhi ya wasanii kujinufaisha nadhani watu wengi wanalijua kwa sasa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.