Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,480
Hhahahahahahaahha imepenya hiyoooooooooooo
Hatari sanaHhahahahahahaahha imepenya hiyoooooooooooo
Hhahahahahahaahha imepenya hiyoooooooooooo
Hatari sanaHhahahahahahaahha imepenya hiyoooooooooooo
Chombo kinachodaiwa kuwa ni ‘Ndege ya Wachawi’ kimeanguka katikati ya barabara wilayani Newala Mkoani Mtwara na kuzua taharuki miongoni mwa wakazi wa eneo hilo.![]()
![]()
Tukio hilo la aina yake limejiri hivi karibuni wakati chombo hicho maarufu kwa jina la ‘ungo’ kilipodondoka wakati kikikatiza angani
![]()
![]()
DuuhAu wewe unanitaka??
Sio Newala tu!!! Li-inji lote lipo kishirikina.hope ni ka
hope ni kama eneo wanaloliita shimo la Mungu karibu na Redio Newala FM
pale Newala Pamekaa vibaya kwa matukio ya ajabu ajabu
HahahahaHabari wanazozipenda watz ndo kama hizo.Hazina maendeleo yoyote zaidi ya ujinga tu.
Na huu ndio ukweli tutabaki hapa hapa bila kukombolewa kifikra moshi wa mwenge na haya mazindiko hatutoboiWatanzania hamna tukiwezacho Ila ushirikina Na uchawi. Taifa hili linejengwa kwenye misingi ya matambiko, mazindiko, makafara Na ibada za sanamu ikiwemo ibada za mwenge. Vyote hivi ni machukizo mbele ya Mungu aliye hai.
Tusipotubu, hatutatoboa kamwe
Na huu ndio ukweli tutabaki hapa hapa bila kukombolewa kifikra moshi wa mwenge na haya mazindiko hatutoboiWatanzania hamna tukiwezacho Ila ushirikina Na uchawi. Taifa hili linejengwa kwenye misingi ya matambiko, mazindiko, makafara Na ibada za sanamu ikiwemo ibada za mwenge. Vyote hivi ni machukizo mbele ya Mungu aliye hai.
Tusipotubu, hatutatoboa kamwe