the locksman
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 1,101
- 350
Nipo Dar,
nauliza kama naweza kupata smart card bila decoder StarTimes Tanzania
nauliza kama naweza kupata smart card bila decoder StarTimes Tanzania
Wajinga kabisa. Mode watoe kwenye sticky noteeHuu Uzi bora ufutwe! Maana hautusaidii kitu, wahusika wameingia mitini!
TBC 1Jamani channel gani unaweza kuiangalia endapo ujalipia king 'amuzi cha star times?
Mimi ni mkazi wa CHANIKA dar, naomba ushauri ni nunue kisimbuzi kipi ambacho kinaendana na mazingira haya ya chanika kati ya hicho cha dishi na hicho kisicho na dishi? Naomba ushauri wenu kwanza!habari yako
tunaving'amuzi vya aina mbili, vinavyotumia antenna na vinavyotumia Dish
vinavyotumia Antena viko vya aina mbili
kuna vile ukinunua unafurahia chanel zaidi ya 75 mwezi mmoja kinauzwa tshs 59000
na kuna vile ukinunua unapata chanel 17 kwa muda wa miezi 7.5 vinauzwa tsh 34000 (kingamuzi na malipo humo humo)
vingamuzi vinavyotumia Dish
hivi vinauzwa TSHS 139000 pamoja na ufundi unapata na dishi lake
kama unadishi kinauzwa Tshs 96000
Ahsante
Mimi ni mkazi wa CHANIKA dar, naomba ushauri ni nunue kisimbuzi kipi ambacho kinaendana na mazingira haya ya chanika kati ya hicho cha dishi na hicho kisicho na dishi? Naomba ushauri wenu kwanza!
Hakuna channel za UEFA hata moja mkuuUEFA champions ipo katika station gani