Watumishi wa umma sasa kwisha

Watumishi wa umma sasa kwisha

Itapofikia mahali mtu mmoja kujiona yeye ndio bora, mwenye akili na mchapa kazi kuliko watu wengine wote nchini ni janga la kitaifa. Hapa ndio tulipo
 
Ulifanyika utafiti kuweka muundo ulivyo sasa. Yeye kafanya utafiti Rwanda? UGATUZI ... walio na weledi wanafanya decentralization.
 
Ila madiwan waonevu sana,watumishi wilayan na kata mbona waliipata pata
 
Wakuuu natazama taarifa Ya habari hapa naona Rais Magufuli amebadilisha utaratibu wa wakuu wa planing Ardhi majengo na maji wa Halmashaur ya wilaya kuwa sasa watawajibika Kwa wizara moja Kwa moja.

Hiii ni hatari Sana kumbukeni kuwa alipoingia madarakani alibadilisha ule utaratibu wa kuwapata madasi yani makatibu tawala wa wilaya na wakurugenzi akawa anawateua yeye.

Kinachooonekana ni kuwa anataka watumishi wooote wawe chini yake, ndio maaana anabadilisha utaratibu wa kisheria yani anaposema mtu afukuzwe moja Kwa moja hiii si sawa ni ukandamizaji wa Hari Ya juuu maaaana mtu hataweza kujitetea popote.

Wakuu huyu baba anataka kila kitu kiwe chini yake na falsafa yake ni fukuza fukuza hili ni janga kubwa Sana tena Sana watumishi sasa wanaenda kufukuzwa Kama njugu.

Lakini pia madiwani wamenyang'anywa madaraka sasa maaana wakurugenzi hapo awali walikuwa wanawajibishwa na madiwani sasahivi Diwani hawezi kuthubutu ataaambiwa weeee Mimi nimeletwa hapa na rais na Mwisho had walimu watakuwa chini yake wakuu hili ni janga

Uzuri ni kuwa tunatambulika Duniani na sisi kuwa 50% na 50% anayo jamaa.
Cheki link hii:- https://planetrulers.com/current-dictators/
 
sio lazima ufanye madudu wewe. kumkuu wa idara ya fedha mafia amefukuzwa kazi kwa kumlatalia mkurugenzi ndugu erick mapunda aliyeteuliwa na MAGUFULI kufuata taratibu za pesa. umekaa hapo ulipo unabwabwaja tu kama kasuku


kimsingi mabadiliko yataleta ufanisi, ww unaongelea siasa kuwa anajilimbikia madaraka,
sisi watu wakawaida tunaona yana tija na yanapunguza urasimu na kuongeza uwajibikaji wa hawa ma Afsa mipango ambao wanajiona ardhi ni mali yao wanaweza kukunyanganya wapendavyo na kumpa wanayemtaka ila kwa ambaye anata kuzungumzia siasa ana uhuru. Magufuri wawekeke sawa wababaishaji
 
kimsingi mabadiliko yataleta ufanisi, ww unaongelea siasa kuwa anajilimbikia madaraka,
sisi watu wakawaida tunaona yana tija na yanapunguza urasimu na kuongeza uwajibikaji wa hawa ma Afsa mipango ambao wanajiona ardhi ni mali yao wanaweza kukunyanganya wapendavyo na kumpa wanayemtaka ila kwa ambaye anata kuzungumzia siasa ana uhuru. Magufuri wawekeke sawa wababaishaji
watu wa kawaida ni akina nani na wanaishi wapi? wanajishughulisha na nini
 
Back
Top Bottom