Recent content by Onehour

  1. O

    Elimu ndio kila kitu.....!!!

    Pessa kwanza mzee
  2. O

    Nahitaji mawazo ya watanzania wenzangu!

    inawezekana wako kikazi zaidi hawa.
  3. O

    Wapi kazi?

    M-Pesa huku haingii cjui kwa nini? Mm nimekuwa wakwanza kuiona
  4. O

    Haijawahi kutokea hapa bongo!!!

    Eti ndetichia, unawajua hawo jamaa? Wanapatikanaje manually?
  5. O

    Wapi nitapata tovuti nyingi kwa ajili ya matangazo???

    nasikia kuna kitu kinaitwa tanzaniakwetu, umewahi kukisikia? Km ww ni muudhuriaji mzuri wa humu ndani utakuwa umewaona jamaa wanaojiita jigambeads, mara jigambe.com au muulize M-PESA inawezekana akawa anawajua hawo watu kwa undani zaidi.
  6. O

    Matangazo biashara au ni Biashara Matangazo?

    Maana halisi naipata ila cha kufanya ni nn kama wafanya biashara kwa matangazo bila mafanikio? Au ww watangaza biashara yako wapi na kukupa faida ya juu?
  7. O

    Kazi zote ni hapa sasa

    Hawa jamaa wanamaanisha nini wanaposema jigambe? Kwa kiswahili ni > kujisifia, kujitapa nk Kwa nn wanajiita jigambe?
  8. O

    Kila kitu wanaume tuuu, bado wanadai haki sawa.

    E-bwana, waambie sii kung'ang'ania kwenye madaraka tuu.
  9. O

    Matangazo biashara au ni Biashara Matangazo?

    Ni kutaka kujua tuu juu ya hilli. Kwani wapo waliopoteza hela zao kwa kutangaza biashara zao, na wapo waliofaidika pia. Je? Njia rahisi ya kufanya hili na likatambulika kwa haraka ni ipi?
  10. O

    HESLB (BODI) na EQUIVALENT

    Yaap, nmpita kwenye site hizo ni kweli kabisa, ila inawezekanaje barua za chuo kizima zisifike?
  11. O

    HESLB (BODI) na EQUIVALENT

    Hapana, huwa yanarudishwa kwenye address ambayo uliiweka.
  12. O

    website za tanzania zenye nafasi za kuweka matangazo (ad spaces)

    Eeee bwana, hiyo ni kazi ya watanzania au laah? Kama nyinyi ni watanzania, hongereni sana na kazeni buti. Mko juu.
Back
Top Bottom