Nahitaji kufanya kazi na M-PESSA, tiGO PESSA, Zan PESSA na Zap PESSA

Mkillindy

Member
Sep 14, 2011
37
4
Wadau ni njia zipi nifuate ili kufanya kazi na haya makampuni???
Pls kwa anayejua na aliyefanya nao naomba anaeleze.
N:B Pia mapungufu ya kazi hiyo mniambie wadau.
Kwa urahisi waweza ni sms a.rashid@jigambe.com
 
uko mbali sana?? wapi huko??
hii business inataka uwaone wahusika na utakamilisha taratibu zote, huwezi kamilisha hukohuko ulipo. pia kila mkoa kuna shops zao(vodashop, tigo, zap ect) uende ukawatembelee.

kama ni kuhusu biashara, ipo safi. tafuta sehemu yenye mzunguko wa watu eg stand, sokoni, etc. inalipa ndugu.
 
uko mbali sana?? wapi huko??
hii business inataka uwaone wahusika na utakamilisha taratibu zote, huwezi kamilisha hukohuko ulipo. pia kila mkoa kuna shops zao(vodashop, tigo, zap ect) uende ukawatembelee.

kama ni kuhusu biashara, ipo safi. tafuta sehemu yenye mzunguko wa watu eg stand, sokoni, etc. inalipa ndugu.


Asante ndg yangu, itabidi nitoke huku nilipo niwafuate huko.
 
Mkuu angalia hii kutoka kwenye site ya vodacom procedure za kujiunga nadhani na wengine watakuwa kama voda..

Become an Agent

How to become a Vodacom M-PESA Agent?


A Vodacom M-PESA Agent is a retailer who has been appointed by Vodacom as an authorised provider of M-PESA services. As a business opportunity, M-PESA is typically suited to various types of retail business operators with one or more outlets, preferably located across the country. M-PESA agents earn attractive incentives and commissions from Vodacom.

In order to become an M-PESA Agent you would need to meet certain criteria and sign a contract with Vodacom Tanzania. Three options are available to prospective M-agents.

M-PESA Standard Agent


~ A Standard M-PESA Agent must be a registered company or equivalent with a minimum of 5 outlets ready to offer M-PESA under the company name, of which 2 must be in rural areas.
~ Must be willing and able to comply with Vodacom's Anti-Money Laundering Policy which will be made available during the course of the application.
~ Must be willing and able to provide information required that will enable Vodacom to complete a full due diligence on the company.
~ Must indicate ability to service M-PESA customers with specific attention to availability of cash to support cash withdrawals and staff to manage high customer volumes.
~ A minimum deposit of Tsh 2,000,000 per outlet will be required.

M-PESA Independent Agent


~ An Independent agent should have at least 1 established retail outlet. Example: Hotels, Super-markets, etc.
~ A minimum float balance of Tsh 5,000,000 will be required.

M-PESA Special Agent


~ A Special Agent would be a retailer or shop owner with a strong presence in remote or rural areas.
~ Minimum of 1 outlet
~ A minimum float of Tsh 3,500,000 will be required.

Documentation


Applications to become a Standard, Independent or Special Agent must be accompanied with the following documentation in order to enable Vodacom to properly evaluate the qualifying criteria:
1. Brief profile of the prospective agent (Including shareholders details)
2. List and location of outlets
3. Business Permit (License)
4. Certified Copy of Certificate of incorporation or equivalent (Company or sole proprietorship)
5. Copy of Memorandum and Articles of Association (For private companies)
6. Certified Copy of TIN and VAT certificates (as applicable)
7. Copies of IDs or Passport and passport size photos of Directors or persons playing equivalent role.
Contact Vodacom
Should you have any further questions or would like to submit your application, kindly email M-PESA@vodacom.co.tz

Pia kuhusu tigo cheki hapa ::: Tigo :::Kuhusu
 
Wadau ni njia zipi nifuate ili kufanya kazi na haya makampuni???
Pls kwa anayejua na aliyefanya nao naomba anaeleze.
N:B Pia mapungufu ya kazi hiyo mniambie wadau.
Kwa urahisi waweza ni sms a.rashid@jigambe.com

Inamaanisha unawebsite au unawebmail tu peke hiyo site ya jigambe haipo maanake nahitaji system ambayo itanisidia kwenye biashara zangu.
 
Thanks kaka, umenifungua macho nikakutana na website kibao za tanzania.
Ila hiyo site ya JigambeAds nimeipenda sana. Hv inafanyaje kazi ?

Mkuu sidhani kama hii itakusaidia hususan kwenye issue yako..., hawa jamaa hiyo site yao ni platform ya kuwakutanisha watu wanaotangaza biashara zao na watu ambao wanaweza kuwatangazia (yaani watu wenye websites au blogs)

Mfano kama wewe una website unajisajili pale alafu wenyewe wanakuunganisha na watu wenye matangazo ambao wanawalipa wenyewe alafu wewe wanakupa commission...

Sounds easy ila bila traffic kwenye website yako au blog huwezi kupata pesa (sababu matangazo mengi huwa ni Pay Per Click) hivyo basi kama unayo website tayari na ina traffic ya nguvu ndio unaweza kupata pesa tena hapo nadhani unaweza hata kuwafata watangazaji direct na kutumia hata google adwords n.k.
 
labda mimi nipo nyuma sana kimaendeleo, kwani
[h=2]M-PESSA, tiGO PESSA, Zan PESSA na Zap PESSA ni nini?[/h]
 
Lakini kama ni biashara ambazo zipo chini ya mamlaka ya watu au shirika fulani, ni lazima na ni busara zaidi kuwaona hao watu ili ufanye biashara ya halali na yenye uhuru
 
Mkuu sidhani kama hii itakusaidia hususan kwenye issue yako..., hawa jamaa hiyo site yao ni platform ya kuwakutanisha watu wanaotangaza biashara zao na watu ambao wanaweza kuwatangazia (yaani watu wenye websites au blogs)

Mfano kama wewe una website unajisajili pale alafu wenyewe wanakuunganisha na watu wenye matangazo ambao wanawalipa wenyewe alafu wewe wanakupa commission...

Sounds easy ila bila traffic kwenye website yako au blog huwezi kupata pesa (sababu matangazo mengi huwa ni Pay Per Click) hivyo basi kama unayo website tayari na ina traffic ya nguvu ndio unaweza kupata pesa tena hapo nadhani unaweza hata kuwafata watangazaji direct na kutumia hata google adwords n.k.
hongera saharavoice kwa ushauri makini na wenye tija kubwa
 
labda mimi nipo nyuma sana kimaendeleo, kwani
M-PESSA, tiGO PESSA, Zan PESSA na Zap PESSA ni nini?
Kutuma na Kupokea pesa kwa kutumia simu za mitandao ya Vodacom; Tigo; Airtel na Zantel.....

Inabidi ujiunge na hii service; ambapo mtu yoyote anaweza akakutumia na wewe kwenda kuchukua hizo pesa kwa mawakala (kwahiyo kutuma na kupokea ni kupitia hawa mawakala..) Kwahiyo Mkilindy anataka kuwa wakala wa hii huduma kupitia hayo makampuni
 
nenda ukapige pesa, zipo za brerere kimsingi uwe na mtaji tu wa kuanzia kama milion 4 hivi kwa makampuni yote yaani TIGO, voda na zain
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom