Recent content by One moment

  1. One moment

    Yanga: Musonye atuombe radhi

    Kwa kweli ametukosea sana sana...
  2. One moment

    Plot4Sale Nauza shamba ekari 20 kwa milioni 4

    Vipi Mkuu biashara bado inaendelea???
  3. One moment

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kilometa moja kutoka Mbande Magengeni sehemu inaitwa Tambani giza totoro cha ajabu mwanzo wa mji hakuna umeme, manguzo na umeme umewekwa mbele ya mji.. Hivi huu urasimu utaisha lini Tanesco?? Nusu ya nchi iko giza kwa urasimu na rushwa, haya mambo yataisha lini jamani???
  4. One moment

    Hospitali za serekali wanazopima vidonda vya tumbo

    Nenda Mnazi Mmoja, au Malawi Hospital iko Yombo Dovya
  5. One moment

    Wrong number

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  6. One moment

    Tuwatambue Wanamuziki wanaofanya muziki kwa hasara

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  7. One moment

    Biashara ya Kuonesha Mpira wa Miguu (Kibanda-umiza): Fahamu Kiasi cha Mtaji, Vifaa na Mbinu za Uendeshaji

    Azam wataonesha Kombe la dunia kupitia channel yao moja tu ZBC2.... Ukiweza nunua dikoda zote mbili Azam na Dstv..
  8. One moment

    Aibu, Mavazi yasiyofaa ya shemela Tunda

    Kizazi hiki cha "kidigital" ni kitu rahisi kuona maungo ya binti kushinda hats kitendo chakuokota embe....
  9. One moment

    Omba omba wa Leo kanishangaza

    Wengi wanaogopa shombo za makonda na kudhalilishana ndani ya gari
  10. One moment

    Nafsi inaniuma kwa kushindwa kumssidia asiibiwe

    Chuga si ndipo alipotokea mwanaume wa kwanza kufunga ndoa....???
Back
Top Bottom