Omba omba wa Leo kanishangaza

Omba omba wa Leo kanishangaza

hapo sijaona cha kushangaza mpaka ufikie kuleta uzi humu...labda ulitaka watu tujue kuwa nawe ni miongoni mwa watanzania wachache wenye kumiliki magari
Hapo uwezo wako wakufikiria ulipoishia.
 
Mtu akiwa na shida ya siku moja unamdhalilisha kuwa ni omba omba dah

Ungesema kuna jamaa alipungukiwa nauli nikamsaidia

Mtoa thread umezingua
 
Mtu akiwa na shida ya siku moja unamdhalilisha kuwa ni omba omba dah

Ungesema kuna jamaa alipungukiwa nauli nikamsaidia

Mtoa thread umezingua
Wazo zuri kibaya thread ukishatunga huwezi kuedit
 
Sasa kuna chuma ulete,,ukimpa tu imekula kwako,,juzi nimekutana na mmoja mikocheni anatiambia anaomba nauli katoka mlimani city kwa mguu mpka mikochen so nimpe aende kkoo,nikamwambia sikupi naogopa


Hivi kwann wanaonaga rahis kuomba mtu nauli kwann wasiende kwa daldala wamuombe kinda,,kuna tofauti gani, hapo ndo wananitiaga mashaka
Wengi wanaogopa shombo za makonda na kudhalilishana ndani ya gari
 
Tukio lako linataka kufanana na kisa alicho kiimba Kendrick Lamar katika wimbo wake uitwao How much a dollar cost
 
Tatizo ni lenu na ushamba wenu, sasa akisema amepaki gari wewe unawaza anajionyesha yani show off kumbe sio... Wakati sahivi magari ni mengi usipokua na hata vitz basi acha kufanya hiyo kazi unayoifanya acheni ushamba, elewa content vingine achana navyo
mshamba ni wewe ndezi.... usikute unakaa kwa shemegi unasubiri ugali wa shkamoo mnakuja kujinasifu mtandaoni..... kila mtu aweke anachomiliki hapa si tutakimbiana.... hii ibaki kuwa mitandao tu, mambo ya personal life sijui unamiliki nn vibakie huko, kiazi wewe
 
Ahh mi kuna siku siku jamaa aliomba hela ya kula nikampa bk 2 nimetembea nageuka nyuma nikakuta anaomba tena watu wengine.. Nilirudi nikamwambia anipe hela yangu
 
mshamba ni wewe ndezi.... usikute unakaa kwa shemegi unasubiri ugali wa shkamoo mnakuja kujinasifu mtandaoni..... kila mtu aweke anachomiliki hapa si tutakimbiana.... hii ibaki kuwa mitandao tu, mambo ya personal life sijui unamiliki nn vibakie huko, kiazi wewe
Wewe tumbili unamiliki makalio tu. Kama si dada yako kua mchepuko wa yule fala bado ungekua unachimba dhahabu. Nakujua fika....
 
Huyo alikuwa ni muhitaji ...na alitumia kama alivyohitaji na ziada uliyomzidishia akawapa wale omba omba..... watu kama wewe na yeye kumbe wapo bado duniani ingawa ni wachache sana.... nakushukuru tena kwa niaba yake na wale wengine!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom