Recent content by Omuzirambogo

  1. Omuzirambogo

    Dereva wa basi la shule adaiwa kumnajisi Mtoto wa miaka 5

    Utakuta wazazi wanawahamisha watoto. Huo sio uamuzi sahihi keani dreva hakutumwa na shule kufanya hayo
  2. Omuzirambogo

    Je, hawa "Tanzania One" wamewahi kuifanya jambo gani la kipekee zaidi ya kufaulu vizuri darasani?

    Sio kila anayefaulu darasani anaweza kufaulu maishani. Nyingine ni nyota ya mtu tu....
  3. Omuzirambogo

    Makosa 4 aliyoyafanya Harmonize mpaka sasa

    Acha atafute maisha yake bwana...
  4. Omuzirambogo

    Kukamatwa kwa Ndege ya ATCL huko SA: Serikali imkamate mtoto wa Herman Steyn kwa kufanya udukuzi hapa nchini

    Sawa ila imetekwa ndege kwa amri ya mahakama kwa kosa gani?
  5. Omuzirambogo

    Tetesi: Hizi tuhuma ni nzito sana, kama ni kweli, hii ‘chain’ itapeleka wengi gerezani kwani ni sawa na uhaini

    Unafahamu Kabendera Shinani baba wa Erick kabendera au umezinduka usingizini ukawaza tu kama beberu?? Na baba yake yalimkumba yapi hadi kujitupa ziwani?
  6. Omuzirambogo

    Wanaume nao hunyanyaswa kingono na Wanawake.

    mtoa mada bila shaka alikuw mpenzi wa vitabu vya Nyangwine
  7. Omuzirambogo

    Kwenu madada ambao hamjaolewa.

    Wee! Kuitwa "Mke wa Muzirambogo" ni cheo kikubwa. Utasikia "Sijui ana tatizo gani? Hajaolewa mpaka sasa"
  8. Omuzirambogo

    Kwenu madada ambao hamjaolewa.

    Kwasababu Mungu sio wa matukio ni wa muda wote. Mtafute Mungu tangu ukiwa mdogo ili uolewe kwa wakati
  9. Omuzirambogo

    Mambo Haya Kumi (10) Usiyojua Kuhusu Fedha Ndiyo Yanakufanya Uendelee Kuwa Masikini.

    nimeudhuria semina nyingi za aina hii, nimesoma makala nyingi za aina hii nimeona kama Mungu hajakufungulia ni kazi bure. Ni sawa na kuhudhuria semina za ndoa wakati wewe ni hanisi!
Back
Top Bottom