Recent content by Omuzirambogo

  1. Omuzirambogo

    JamiiForums Tanzania Dereva wa basi la shule adaiwa kumnajisi Mtoto wa miaka 5

    Utakuta wazazi wanawahamisha watoto. Huo sio uamuzi sahihi keani dreva hakutumwa na shule kufanya hayo
  2. Omuzirambogo

    JamiiForums Tanzania Je, hawa "Tanzania One" wamewahi kuifanya jambo gani la kipekee zaidi ya kufaulu vizuri darasani?

    Sio kila anayefaulu darasani anaweza kufaulu maishani. Nyingine ni nyota ya mtu tu....
  3. Omuzirambogo

    JamiiForums Tanzania Tumaini la kupata dawa ya UKIMWI laongezeka baada ya 4% ya watu kugundulika kuwa na kinga ya asili nchini DRC

    Mungu asaidie dawa ipatikane wengi wanakufa bila hatia
  4. Omuzirambogo

    JamiiForums Tanzania Makosa 4 aliyoyafanya Harmonize mpaka sasa

    Acha atafute maisha yake bwana...
  5. Omuzirambogo

    JamiiForums Tanzania Je, Umewahi kudanganywa na mpenzi wako kama alivyonidanganya hapa?

    Nawewe ni kiwembe. Wote hao wanini?
  6. Omuzirambogo

    JamiiForums Tanzania Kukamatwa kwa Ndege ya ATCL huko SA: Serikali imkamate mtoto wa Herman Steyn kwa kufanya udukuzi hapa nchini

    Sawa ila imetekwa ndege kwa amri ya mahakama kwa kosa gani?
  7. Omuzirambogo

    JamiiForums Tanzania Korogwe: Jamaa anasa akichepuka na mke wa mtu kinyume na maumbile. Mgoni adai hawataachiana mpaka apewe Milioni 8 !

    hvi hiz dawa zinapatikana wapi? Nami naitaka nahisi kuibiwa
  8. Omuzirambogo

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Hizi tuhuma ni nzito sana, kama ni kweli, hii ‘chain’ itapeleka wengi gerezani kwani ni sawa na uhaini

    Unafahamu Kabendera Shinani baba wa Erick kabendera au umezinduka usingizini ukawaza tu kama beberu?? Na baba yake yalimkumba yapi hadi kujitupa ziwani?
  9. Omuzirambogo

    JamiiForums Tanzania Semina za kisasa za ndoa zinavyochangia kuharibu ndoa

    Hawapatikani labda uoe U10
  10. Omuzirambogo

    JamiiForums Tanzania Wanaume nao hunyanyaswa kingono na Wanawake.

    mtoa mada bila shaka alikuw mpenzi wa vitabu vya Nyangwine
  11. Omuzirambogo

    JamiiForums Tanzania Kwenu madada ambao hamjaolewa.

    Wee! Kuitwa "Mke wa Muzirambogo" ni cheo kikubwa. Utasikia "Sijui ana tatizo gani? Hajaolewa mpaka sasa"
  12. Omuzirambogo

    JamiiForums Tanzania Jinsi ndege ya Israel F-35 ilivyoingia na kutoka anga la Iran bila kuonwa na yeyote na kupiga maeneo nyeti kadri ilivyopenda

    Isirael ni taifa teule la Mungu wanaweza kufanya watakacho
  13. Omuzirambogo

    JamiiForums Tanzania Kwenu madada ambao hamjaolewa.

    Kwasababu Mungu sio wa matukio ni wa muda wote. Mtafute Mungu tangu ukiwa mdogo ili uolewe kwa wakati
  14. Omuzirambogo

    JamiiForums Tanzania Mambo Haya Kumi (10) Usiyojua Kuhusu Fedha Ndiyo Yanakufanya Uendelee Kuwa Masikini.

    nimeudhuria semina nyingi za aina hii, nimesoma makala nyingi za aina hii nimeona kama Mungu hajakufungulia ni kazi bure. Ni sawa na kuhudhuria semina za ndoa wakati wewe ni hanisi!
Back
Top Bottom