Recent content by omutimbasafi

  1. omutimbasafi

    Kuna gari za Kahama kwenda Bukoba?

    Arusha express,the jungle.
  2. omutimbasafi

    Wenye connection biashara ya dhahabu wadau

    Kumbuka matapeli ni wengi Geita, usije ukaingiza miguu yote kwenye biashara hii, tafuta mtu muingie partnership.
  3. omutimbasafi

    Moshi: International School of UWCEA yasitisha masomo Baada ya Wanafunzi 2 kupatwa na Corona

    Korona haijatokea kabla ya wazazi kulipa ada juzi tu,matapeli hii dunia hawataisha.
  4. omutimbasafi

    Wanaume tujifunze ni Vitu gani viwepo Geto vya kumdatisha Mdada ili arudi tena?

    Siku ukija kutoka kwenye mishe mishe zako ukakutana na kapeti tu ndani ndo akili itakuingia, demu aliwe na atembee na akitaka kuja aje kwa appointment na si vinginevyo.Be an alpha man.
  5. omutimbasafi

    Kabla ya kufunga mwaka, kwa anaejua huyu msanii aliko anijuze

    K ZIPO ZAKUTOSHA ILA ZINAUZWA.NI PESA YAKO TU.
  6. omutimbasafi

    Kabla ya kufunga mwaka, kwa anaejua huyu msanii aliko anijuze

    tulikuwa nae tunakula bia,ni mzaliwa wa huku na nimekula nae bia eneo moja linaitwa usbon club
  7. omutimbasafi

    Niliamini kwamba karatasi ya kupigia kura ni moja ya confidential documents

    Hata icho ulichokiona sio uchaguzi uliisha toka tarehe 14 Septemba.
  8. omutimbasafi

    Biden atashinda, Trump is done

    Kumbuka kuna kura za walio wachache.
  9. omutimbasafi

    GE2020 TV na Redio hazitangazi ujio wa Lissu, lakini mbona watu ni wengi?

    Wananchi wote ndo nini, unataka kumaanisha Wananchi wote wana vichinjio,yaani hata watoto nao wana vichinjio.
Back
Top Bottom