Uchaguzi 2020 Ndugu yetu Tundu Lissu, KUBALI matokeo na ujipange safari ijayo

Tanzania hakuna Amani bali Tanzania ni kisiwa cha Uvumilivu tu hakuna Amani kabsa cheki Zanzibar na baadhi ya sehemu za Tanganyika kuna Polisiccm wameua wamejeruhi watu ni uvunjifu wa Amani huo lakini watu wanaendelea kuvulia
Wewe nae bado kichwa ngumu ndugu yangu, kweli you believe kuwa hivyo ndo Mambo yanavyofanyika. Hata Kama ungekua ww unataka kuharibu kitu at same time unataka kulinda reputation yako Unaweza kufanya matukio Kama hayo, mbona ni logic ya kawaida zana na maswali simple Sana yanakuonesha a bit of a picture
 
hao wanafunzi, walimu na wafanyakazi wengine wa serikali walioshiriki kwenye udhalimu ni ndugu zetu na marafiki zetu, wanaongea kila kitu,siku zote siri huwa ya mtu mmoja, ukishamshirikisha mtu wa pili sio siri tena,so kawadanganyeni vijijini ila sio mjini kwa watu wenye elimu zao na akili zao timamu, una bahati mods wanafuta maneno yangu mengine
Ata wasingefuta maneno yako ndugu huwezi kuandika au kusema kitu ukaniumiza, na mtu wa kuumia kwa maneno au matusi basi anatakiwa kujichunguza those words should be a motivation and by the way ukiona unaongea na mtu anaanza matusi ujue hanajipya. So Aurora acha kijitia msomi sana watu wasomi sana humu ila wako kimya na kuendeleza midala. More to that, kunawatu wako vijini ni waelewa sana kulikoni weye wamjini.
 
Angalia hii fupi tu ya kawe


Kawe:
Waliojiandikisha 412,180
Waliopiga kura 233,518
Kura Halali ni 231,186
Kura zilizoharibika 1653

Matokeo:
Ubunge:

UDP - 72
UMD-51
UPDP-44
TLP-67
SAU-53
NLP-43
NCCR-279
DEMOKRASIA MAKINI -39
DP-60
CUF-461
CHAUMA-426
CCK-1422
ACT-585
AFR-374
CHADEMA-32,524
CCM-194,833

Tupige hesabu vzur sasa..

Tukijumlisha hizo idadi ya kura za hao wabunge unapata jumla 231,333. Kwenye takwimu hii figure haipo

Tukichukua kura zilizoharibika tukijumlisha kura halali si tunatakiwa tupate jumla ya kura zote zilizopigwa mbona figure inakuja tofauti?

i.e

233,186 +1,653= 234,839
Hii figure pia haipo kwenye takwimu,au mie nakosea sehem ndugu zangu embu nisaidieni basi

Bado kura za alizopata raisi kwa kawe ni zaidi ya idadi ya waliopiga kura KAWE
Umecopy na kumanipulate figures uatuletea eti tufanye hesabu
 
Maoni yangu chadema wasikubali haya matokeo.. wasiende kwenye maandamano maana wananchi bado hawana ujasiri huo..

Wajipange namna ya kupambana nje ya uwanja.

Watumie zaidi mataifa ya nje kushinikiza uchaguzi kurudiwa.

Marekeni amesha sema uchaguzi ulikua sio huru.
Hana uhakika Kama ulikua fair sio katamka Kama wanahakika so you how it goes wale washenzi Kama washenzi wengine pia
 
Hii inaitwa Jaribu kuingia Barabarani utatukuta walinda amani tunawasubiri ninyi msiopenda ugali

Mbona ni rahisi Sana, Ingia barabarani nasi tufanye yetu
Sasa andaeni na makaburi yenu kabisa. Maana hatuji kiboya. Mabomu ya petroli kama yote, visu vilivyosheheni makali.

Waageni wake na waume zenu kabisa. Maana kurudi mkiwa hai ni majaaliwa.
 
Sasa andaeni na makaburi yenu kabisa. Maana hatuji kiboya. Mabomu ya petroli kama yote, visu vilivyosheheni makali.

Waageni wake na waume zenu kabisa. Maana kurudi mkiwa hai ni majaaliwa.
we uko mkoa gani? kwasaabu watu wako busy na Mambo yao kama hakuna linaloendelea hapa jijini dsm.
 
30 OKTOBA 2020

Tumekuwa wafuatiliaji wakubwa wa kampeni zako tukiwa na matarajio ya kupata mengi mazuri baada ya kurudi kutoka Ubelgiji ukionyesha hali ya kushiriki vema katika kampeni zako.

Na kwa kweli ulianza vema ufunguzi wa kampeni zako kupitia CHADEMA yetu, ila tulianza kupata shaka baada ya kuona kauli zilizoanza kutoka muda mfupi baadaye ambazo zilitukumbusha msemo wa wahenga 'Asiyekubali kushindwa si mshindani.'

Hii ni kwa sababu ulituonyesha kuwa hukuja kushindana bali ulikuja kushinda kwa njia yoyote ile. Kauli zako zilionyesha hamasa za kuleta vurugu kati ya jamii na ndugu zetu Watanzania ili kuiangusha CCM hata kwa kumwaga damu ili wewe ukae katika kiti cha urais.

Leo tumesikiliza taarifa yako ya kukataa matokeo yanayoendelea kutolewa ukishinikiza jamii ya kimataifa kukataa uchaguzi huu. Tunadhani mshtuko mkubwa ulioupata wewe na viongozi wetu wa CHADEMA ni kuangushwa kwa Mgombea Freeman Mbowe ambaye amekuwa ni mbunge kwa miaka mingi na wabunge wengi mashuhuri hali ambayo hukufikiria.

Pengine ni kutoijua vizuri nchi yako kwa kipindi ulichokuwa ughaibuni. Ila tungependa kukujulisha yafuatayo kwa faida yako na viongozi wengine wa CHADEMA tukijibu mazungumzo yako ya leo.

1. UCHAGUZI NI HURU NA WA HAKI
Hakuna Mtanzania hata mmoja aliyekataliwa kupiga kura ikiwa na vigezo vinazohitajika. Mawakala wetu wa CHADEMA wametujulisha kuwa walikuwepo na wameshuhudia zoezi isipokuwa wanashangaa video zilizosambaa mtaani zikionyesha uzushi wa kutengeneza kuwa kura zimekamatwa.

Jamii za kimataifa zimefika na kuangalia zoezi zima. Hivyo, unachosema ni kujaribu kutafuta sababu ikiwa hali halisi unaijua. Tukubali tu tulizoea ubabaishaji ila sasa hivi tujipange upya kwa ajili ya uchaguzi ujao. Pia suala la mawakala kutopewa nakala za matokeo ni uzushi kwani chama chetu hadi kufikia usiku wa tarehe 28/10/2020 tulishajua upepo si mzuri.

2. HATUKUONEWA
Wanachadema tunajiuliza swali; Kama mawakala walikuwepo na hakuna aliyetoa ushahidi wa kukataliwa kuingia kituoni kwa nini hatusikii malalamiko hayo toka kwa mawakala na matokeo yake malalamiko yapo kwa wagombea walioshindwa ukiwemo wewe?

Tulisimamisha wagombea 244 lakini hatukuwawezesha fedha wagombea wetu wa ubunge kutokana na ukata katika chama. Fedha zipo lakini mwenyekiti na sekretarieti yake walikataa kutoa fedha hizo ili zikatusaidie na badala yake zimeendelea kupelekwa kwenye miradi binafsi ya viongozi.

Wabunge wetu walichangishwa kwa muda wa miaka mitano kwa sababu ya kuandaa fedha za kampeni lakini muda ulipofika hawakurudishiwa fedha zile hivyo kushindwa kuzunguka na kuomba kura.

Tujitafakari Wanachadema na viongozi wetu wametuangusha. Tunaamini walijua hawawezi kushinda ndio sababu.

3. HATUKO TAYARI KUANDAMANA WALA KUGOMA
Kura tumepiga tukimchagua kiongozi ambaye kwa miaka mitano amejinyima na kukaa na sisi Watanzania kwa kuijenga nchi yetu iweze kujitegemea. Tukitegemea uje na sera nzuri za kuboresha maendeleo ya uchumi wa nchi yetu na kuendelea kupunguza utegemezi ila muda mwingi wa kampeni zako ulitumia kuisema CCM kwa kusema unataka maendeleo ya watu na si vitu ili kuenda kinyume na mengi makubwa yaliyofanywa na CCM kuboresha barabara, shule, zahanati. Hali hii ilitufanya tujiulize maswali mengi juu ya uwezo wako.

Pia ulitumia muda mwingi kueleza ulivyoshambuliwa lakini sisi wafuasi wako tulitaka kujua utafanya nini ukichaguawa au kwanini tukupe dhama ya uongozi wa nchi? Ulishindwa kujibu maswali hayo na badala yake ulitumia muda mwingi kuonyesha umma wa wanachadema na Watanzania kuwa unaonewa. KWA MAELEZO HAYA HATUWEZI KUANDAMANA KABISA KWA AJILI YAKO.

4. CHAMA HAKIKUJIANDAA KUHUSU WEWE
Sisi Wanachadema tumechoshwa na maandalizi duni ya chama hasa kipindi hiki cha uchaguzi. Pamoja na malalamiko ya kutokuwa na fedha. Zipo taarifa kuwa wewe haukuandaliwa kugombea na ujio wako hakukubalika katika chama hadi kufikia kukataa kutoa fedha kwa ajili ya kampeni zako.

Pia, ushirikiano wako na viongozi wa juu wa chama haukuwepo na hawakuonekana katika mikutano yako. Kwetu sisi kama wanachadema tuliona ni tatizo kubwa sana. Taarifa tulizopata zilionyesha kuna mgogoro mkubwa wa maslahi ndani ya chama na mwenyekiti hakukukubali ndio maana hakuweza kukusaidia kampeni zako.

5. UNATUMIKA NA MATAIFA MAKUBWA KUHATARISHA AMANI YA NCHI
Tunafahamu wewe ni mwanasheria mzuri wa kimataifa. Kwa nini umlete Robert Amsterdam aje kama mwanasheria wako? Je, kuna maslahi gani amekuja kuyasimamia? Tumekuwa tukipinga sana ushoga na zipo taarifa kuwa umedhaminiwa na mataifa makuwa ili ukipata uongozi uidhinishe ushoga na kuuza madini yetu nje ya nch na ukishindwa uanzishe hata vurugu kwa mgongo wa demokrasia ili kutufikisha kama Libya ambako wanapigana vita vya wenyewe kwa wenyewe hadi sasa. Leo, Robert Amsterdam yupo Uturuki akisubiri Watanzania tupigane kwa uchochezai aliouandaa kupitia wewe. Tunakushauri kaungane naye tu muendelee na maisha yenu.

HITIMISHO

Tanzania itabaki kuwa nchi ya amani na maendeleo yataletwa na sisi wenyewe kamwe hatutakubali kununuliwa kwa bei yeyote tupo macho.

NI SISI WANACHADEMA KANDA YA KASKAZINI
Mataga bhana.. kamwambie polepole kuwa janja yao inajulikana
 
No opposition candidate has ever lost an election and graciously conceded. Not one, since 1995 when the first multiparty general election was held!
The elections that have been organised and supervised by the ruling party puppets cannot be accepted as free, fair and credible by all standards.
 
30 OKTOBA 2020

Tumekuwa wafuatiliaji wakubwa wa kampeni zako tukiwa na matarajio ya kupata mengi mazuri baada ya kurudi kutoka Ubelgiji ukionyesha hali ya kushiriki vema katika kampeni zako.

Na kwa kweli ulianza vema ufunguzi wa kampeni zako kupitia CHADEMA yetu, ila tulianza kupata shaka baada ya kuona kauli zilizoanza kutoka muda mfupi baadaye ambazo zilitukumbusha msemo wa wahenga 'Asiyekubali kushindwa si mshindani.'

Hii ni kwa sababu ulituonyesha kuwa hukuja kushindana bali ulikuja kushinda kwa njia yoyote ile. Kauli zako zilionyesha hamasa za kuleta vurugu kati ya jamii na ndugu zetu Watanzania ili kuiangusha CCM hata kwa kumwaga damu ili wewe ukae katika kiti cha urais.

Leo tumesikiliza taarifa yako ya kukataa matokeo yanayoendelea kutolewa ukishinikiza jamii ya kimataifa kukataa uchaguzi huu. Tunadhani mshtuko mkubwa ulioupata wewe na viongozi wetu wa CHADEMA ni kuangushwa kwa Mgombea Freeman Mbowe ambaye amekuwa ni mbunge kwa miaka mingi na wabunge wengi mashuhuri hali ambayo hukufikiria.

Pengine ni kutoijua vizuri nchi yako kwa kipindi ulichokuwa ughaibuni. Ila tungependa kukujulisha yafuatayo kwa faida yako na viongozi wengine wa CHADEMA tukijibu mazungumzo yako ya leo.

1. UCHAGUZI NI HURU NA WA HAKI
Hakuna Mtanzania hata mmoja aliyekataliwa kupiga kura ikiwa na vigezo vinazohitajika. Mawakala wetu wa CHADEMA wametujulisha kuwa walikuwepo na wameshuhudia zoezi isipokuwa wanashangaa video zilizosambaa mtaani zikionyesha uzushi wa kutengeneza kuwa kura zimekamatwa.

Jamii za kimataifa zimefika na kuangalia zoezi zima. Hivyo, unachosema ni kujaribu kutafuta sababu ikiwa hali halisi unaijua. Tukubali tu tulizoea ubabaishaji ila sasa hivi tujipange upya kwa ajili ya uchaguzi ujao. Pia suala la mawakala kutopewa nakala za matokeo ni uzushi kwani chama chetu hadi kufikia usiku wa tarehe 28/10/2020 tulishajua upepo si mzuri.

2. HATUKUONEWA
Wanachadema tunajiuliza swali; Kama mawakala walikuwepo na hakuna aliyetoa ushahidi wa kukataliwa kuingia kituoni kwa nini hatusikii malalamiko hayo toka kwa mawakala na matokeo yake malalamiko yapo kwa wagombea walioshindwa ukiwemo wewe?

Tulisimamisha wagombea 244 lakini hatukuwawezesha fedha wagombea wetu wa ubunge kutokana na ukata katika chama. Fedha zipo lakini mwenyekiti na sekretarieti yake walikataa kutoa fedha hizo ili zikatusaidie na badala yake zimeendelea kupelekwa kwenye miradi binafsi ya viongozi.

Wabunge wetu walichangishwa kwa muda wa miaka mitano kwa sababu ya kuandaa fedha za kampeni lakini muda ulipofika hawakurudishiwa fedha zile hivyo kushindwa kuzunguka na kuomba kura.

Tujitafakari Wanachadema na viongozi wetu wametuangusha. Tunaamini walijua hawawezi kushinda ndio sababu.

3. HATUKO TAYARI KUANDAMANA WALA KUGOMA
Kura tumepiga tukimchagua kiongozi ambaye kwa miaka mitano amejinyima na kukaa na sisi Watanzania kwa kuijenga nchi yetu iweze kujitegemea. Tukitegemea uje na sera nzuri za kuboresha maendeleo ya uchumi wa nchi yetu na kuendelea kupunguza utegemezi ila muda mwingi wa kampeni zako ulitumia kuisema CCM kwa kusema unataka maendeleo ya watu na si vitu ili kuenda kinyume na mengi makubwa yaliyofanywa na CCM kuboresha barabara, shule, zahanati. Hali hii ilitufanya tujiulize maswali mengi juu ya uwezo wako.

Pia ulitumia muda mwingi kueleza ulivyoshambuliwa lakini sisi wafuasi wako tulitaka kujua utafanya nini ukichaguawa au kwanini tukupe dhama ya uongozi wa nchi? Ulishindwa kujibu maswali hayo na badala yake ulitumia muda mwingi kuonyesha umma wa wanachadema na Watanzania kuwa unaonewa. KWA MAELEZO HAYA HATUWEZI KUANDAMANA KABISA KWA AJILI YAKO.

4. CHAMA HAKIKUJIANDAA KUHUSU WEWE
Sisi Wanachadema tumechoshwa na maandalizi duni ya chama hasa kipindi hiki cha uchaguzi. Pamoja na malalamiko ya kutokuwa na fedha. Zipo taarifa kuwa wewe haukuandaliwa kugombea na ujio wako hakukubalika katika chama hadi kufikia kukataa kutoa fedha kwa ajili ya kampeni zako.

Pia, ushirikiano wako na viongozi wa juu wa chama haukuwepo na hawakuonekana katika mikutano yako. Kwetu sisi kama wanachadema tuliona ni tatizo kubwa sana. Taarifa tulizopata zilionyesha kuna mgogoro mkubwa wa maslahi ndani ya chama na mwenyekiti hakukukubali ndio maana hakuweza kukusaidia kampeni zako.

5. UNATUMIKA NA MATAIFA MAKUBWA KUHATARISHA AMANI YA NCHI
Tunafahamu wewe ni mwanasheria mzuri wa kimataifa. Kwa nini umlete Robert Amsterdam aje kama mwanasheria wako? Je, kuna maslahi gani amekuja kuyasimamia? Tumekuwa tukipinga sana ushoga na zipo taarifa kuwa umedhaminiwa na mataifa makuwa ili ukipata uongozi uidhinishe ushoga na kuuza madini yetu nje ya nch na ukishindwa uanzishe hata vurugu kwa mgongo wa demokrasia ili kutufikisha kama Libya ambako wanapigana vita vya wenyewe kwa wenyewe hadi sasa. Leo, Robert Amsterdam yupo Uturuki akisubiri Watanzania tupigane kwa uchochezai aliouandaa kupitia wewe. Tunakushauri kaungane naye tu muendelee na maisha yenu.

HITIMISHO

Tanzania itabaki kuwa nchi ya amani na maendeleo yataletwa na sisi wenyewe kamwe hatutakubali kununuliwa kwa bei yeyote tupo macho.

NI SISI WANACHAANDA YA KASKAZINI
Tundu Lisu usikubali
Kampeni uliifanya kisomi, na ulionyesha uelewa wa hali ya juu sana. “Zing” zote ulizokuwa unamtolea Bwana Yule aliItaka yeye. ulimjibu vizuri sana. Watu wa nchi hii wengi hawajui sias. Agility yako ni ya hali ya juu sana, na uko very intelligent!

wamekuibia haki yako. CCM wake commit Uhaini, yaani treason, watakuja kujibu siku moja! Be happy because you won it
 
Tundu Lisu usikubali
Kampeni uliifanya kisomi, na ulionyesha uelewa wa hali ya juu sana. “Zing” zote ulizokuwa unamtolea Bwana Yule aliItaka yeye. ulimjibu vizuri sana. Watu wa nchi hii wengi hawajui sias. Agility yako ni ya hali ya juu sana, na uko very intelligent!

wamekuibia haki yako. CCM wake commit Uhaini, yaani treason, watakuja kujibu siku moja! Be happy because you won it
Ngoja tuone iyo J3 inakuaje. Je vijana mtaingia barabarani au mtakua nyuma ya keyboard?
 
The elections that have been organised and supervised by the ruling party puppets cannot be accepted as free, fair and credible by all standards.
Let's see what will happen by Monday as of Kamanda Lissu has required and asked all those in his favor to have a peaceful protest in streets. The question is are you among the people to be at frontline or you will just hide behind your keyboard and make some mockery comments to tanzanians?.
 
#Mitaani Wasimamizi Wanasema Kila kitu: Wewe ni shahidi muhimu sana katika hili unalodai na bahati nzuri IP yako inakusoma vizuri; Kama umeropoka kufurahisha jukwaa ni bora ukiri na kurekebisha.

Lakini kama una uhakika kuna msimamizi wa kura alikuthibitishia alilazimishwa kupokea kura ghushi akanyamaza kwa madai ya hofu yake, lakini baada ya kutoka akakutumia wewe kuropoka uzushi huu hapo ni kosa la jinai.

Hakuna msimamizi atakuja kwako kukuambia eti alilazimishwa kushiriki wizi wakati akijua aliapa na alikuwa na uwezo wa yeye akatumia feki ID akaweka ujumbe huo hapa jukwaani au kutoa taarifa kwenye tume.
Kaka acha uwongo huo. Halafu kwanini kutishana? Hakuna mtu mwenye haki zaidi na hii nchi. Wote tunafanana haki zetu.
 
Maoni yangu chadema wasikubali haya matokeo.. wasiende kwenye maandamano maana wananchi bado hawana ujasiri huo..

Wajipange namna ya kupambana nje ya uwanja.

Watumie zaidi mataifa ya nje kushinikiza uchaguzi kurudiwa.

Marekeni amesha sema uchaguzi ulikua sio huru.
Kama kawaida yako tulikwambia tangu mwanzo hii ni Tanzania na ni ya Watanzania wote hakuna kimburu yoyote yule ambaye ataamua mambo yetu, finito!
 
dhambi ya kuiba kura ukiianza iko siku utaiba waziwazi dunia nzima itajua. ccm mjiandae kutolewa madarakani kwa nguvu ya umma.
 
Back
Top Bottom