Huyo jamaa planet sijui anaishi dunia gani, demand ni kubwa kuliko uzalishaji kuna order zimewekwa baada ya miezi ndio watapata mpaka leo WHO wamezishutumu nchi tajiri kununua in advance nakuacha nchi maskini bila chanjo.Punguza ushamba
Astro Zeneca wamewapa kandarasi viwanda vya India kuzalisha chanjo kutokana na mahitaji makubwa kuliko uzalishaji wao
We baki Chatto ukijifukuza vitunguu na Joseph Kasheku Musukuma 😫
Kubwa zaidi nchi zetu tutanunuliwa na haohao tunaowatukana tutapewa bure tu. Kwanza pesa yenyewe hatuna ya kununua.