Recent content by OMOSACHA ILISACHA

  1. O

    Umaskini wetu ni zao la familia zetu

    Mkuu nime-note something big up!
  2. O

    Tarime yote ni Chadema tuu??

    Mo Ghati oghiti etana moholo, wiki etalingele nyuma!
  3. O

    Mwanamke wangu hataki nione nyeti zake

    Ni nzuri kuiona hujakojoa ila ukishakitupia na hasa yeye amwage afu awe kachoka kwenda kuisafi HAIFAI KUTIZAMWA bora huyo aifiche mpaka muachane
  4. O

    Jamaa awadunga visu watalii kule Zanzibar kwenye mfungo wa ramadhan

    Mi nilisikia eti hakuna mtu kula hadharani nkashangaa sana, imani flani hainihusu nifate walichoamua wao kula nsile hadharani na shughuli zangu nazifanyia hadharani si ni ku swali kumebaki ntaambiwa niende msikitini muda wa sala nsifanye shughuli zangu? Ok hao wageni waso wa imani hiyo...
  5. O

    Onyo: Usikubali kwenda mikoa hii. Mke usiruhusu mumeo aende. Mimi Tanga na Tabora siendi tena

    Wacha wakwende wenye wanaenda iko kitu watajifunza mi sijawahi fika huko ila huu ushari kwangu si kitu
  6. O

    DAR: Polisi wadaiwa kumuua Mwanafunzi kwa kumpiga risasi tumboni wakimtuhumu kuwa ni jambazi

    Mmh INASIKITISHA SANA, mbaya zaidi mzazi kakopa ada mtoto labda ndo huyu ulojaliwa na Muumba afu unakuja kuambiwa pole hayo ni ya dunia! Mi bado huwa naamini upanga kwa upanga au jino kwa jino hii huleta HESHIMA na kufuata taratibu sio kulirupuka.
  7. O

    Kwanini watu wengi wa Kanda ya ziwa hasa Wakurya ni Wasabato?

    Sijui ila mi nae ni miongoni mwao hao wasabato
  8. O

    Amekuoa lakini lazima asote kupata tendo la ndoa

    Aende tu sio yeye peke'ake duniani
  9. O

    Amekuoa lakini lazima asote kupata tendo la ndoa

    Huo ushauri sijui iweje umfikie mke wangu nimnyoshe akuletee majibu, manina. Mke mke tu kujishusha kwangu ndo heshima kwake sio huo uchafu unaoeleza hapo juu. Tena we wapaswa kutengwa na jamii uhumiwe kama mgonjwa wa ebora Liberia
  10. O

    Wakina mama mnatisha kwa kuficha hela chumbani

    Yaani unafanya usafi kisa master kisa?
Back
Top Bottom