Mi nilisikia eti hakuna mtu kula hadharani nkashangaa sana, imani flani hainihusu nifate walichoamua wao kula nsile hadharani na shughuli zangu nazifanyia hadharani si ni ku swali kumebaki ntaambiwa niende msikitini muda wa sala nsifanye shughuli zangu? Ok hao wageni waso wa imani hiyo...
Mmh INASIKITISHA SANA, mbaya zaidi mzazi kakopa ada mtoto labda ndo huyu ulojaliwa na Muumba afu unakuja kuambiwa pole hayo ni ya dunia! Mi bado huwa naamini upanga kwa upanga au jino kwa jino hii huleta HESHIMA na kufuata taratibu sio kulirupuka.
Huo ushauri sijui iweje umfikie mke wangu nimnyoshe akuletee majibu, manina. Mke mke tu kujishusha kwangu ndo heshima kwake sio huo uchafu unaoeleza hapo juu. Tena we wapaswa kutengwa na jamii uhumiwe kama mgonjwa wa ebora Liberia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.