Ushauri Wangu: Rais Magufuli achana na Zitto Zuberi Kabwe

Benmpo

JF-Expert Member
Mar 23, 2015
450
424
Siku za hivi karibuni tumeshuhudia hali isiyokuwa ya kawaida kwa Mbunge Zitto Kabwe. Amekuwa akiibuka na hoja za hapa na pale dhidi ya serikali ambazo mwisho wa siku vyombo mbalimbali vya serikali vimekuwa vikizikanusha kuwa hazina ukweli wowote bali ni uzushi tu unaolenga kuichafua serikali. Hata hivyo ZZK amekuwa akionesha hali kama ya kutaka “kutunishiana misuli” na serikali.

Kwa upande mwingine ZZK ni Kiongozi wa ngazi ya juu kabisa ndani ya chama cha ACT-Wazalendo. Tumeona chama hicho kikimeguka vipande vipande baada ya viongozi waandamizi ndani ya chama kukihama chama hicho, na wengine wakijiuzulu nafasi zao za uongozi kutokana sababu mbalimbali.

Katika hali hii ZZK hawezi kuwa salama kabisa kisakolojia, ni lazima tu atakuwa na muweweseko. Ni lazima tu atakuwa anamtafuta mchawi nje ya chama chake, bila kujitathmini ndani kwanza. Ni lazima ataibuka na hoja zinazovuta hisia za watu hata kama hazina ukweli ili mradi tu kukifanya chama hicho kiendelee kusikika masikioni mwa watu, licha ya kwamba kinaonekana kabisa kwamba kina-undogo “natural death”.

Hivyo ushauri wangu kwa Rais JPM ni kwamba ampotezee kabisa ZZK kwa hoja zake za uzushi, kwani kama ataonekana kubishana naye, ataendelea kumpa “kiki” na hivyo kumpa umaarufu asiostahili. Aidha, kwa kuwa ZZK anaoneka kabisa kwamba anataka ku-intensify mgogoro na serikali, kuna uwezekano mkubwa akawa anajiadaa kwa movie moja matata. ZZK anaweza kuwa anajiandaa kwa movie ya “kujiteka” ili mwisho wa siku watu waseme kwamba, kwa sababu ZZK alikuwa na mgogoro na serikali basi serikali inahusika na utekaji huo; na pindi arudipo uraiani atakuwa ashapata kiki za kutosha zitakazo mwongezea “political mileage” lakini pia akiwa ameichafua serikali. Ni wakati wake Rais JPM kuwajibu watu wa aina ya ZZK kwa vitendo katika kufanya mambo makubwa yanayogusa maisha ya Watanzania wengi, kwani watu wote wenye nia njema na nchi yetu, hawawezi kubeza juhudi zake za kutaka kuleta maendeleo ya kweli kwa wananchi wote.

Benmpo
 
Kama anaweza kujiteka kujitoa kucha, kujing'oa meno na kujipiga kama Ulimboka basi atafanikiwa. Ila kama atapotea kama yule shehe halafu aonekane nashauri siku akionekana ashughulikiwe ajue kujiteka siyo issue ndogo.
 
Siku za hivi karibuni tumeshuhudia hali isiyokuwa ya kawaida kwa Mbunge Zitto Kabwe. Amekuwa akiibuka na hoja za hapa na pale dhidi ya serikali ambazo mwisho wa siku vyombo mbalimbali vya serikali vimekuwa vikizikanusha kuwa hazina ukweli wowote bali ni uzushi tu unaolenga kuichafua serikali. Hata hivyo ZZK amekuwa akionesha hali kama ya kutaka “kutunishiana misuli” na serikali.

Kwa upande mwingine ZZK ni Kiongozi wa ngazi ya juu kabisa ndani ya chama cha ACT-Wazalendo. Tumeona chama hicho kikimeguka vipande vipande baada ya viongozi waandamizi ndani ya chama kukihama chama hicho, na wengine wakijiuzulu nafasi zao za uongozi kutokana sababu mbalimbali.

Katika hali hii ZZK hawezi kuwa salama kabisa kisakolojia, ni lazima tu atakuwa na muweweseko. Ni lazima tu atakuwa anamtafuta mchawi nje ya chama chake, bila kujitathmini ndani kwanza. Ni lazima ataibuka na hoja zinazovuta hisia za watu hata kama hazina ukweli ili mradi tu kukifanya chama hicho kiendelee kusikika masikioni mwa watu, licha ya kwamba kinaonekana kabisa kwamba kina-undogo “natural death”.

Hivyo ushauri wangu kwa Rais JPM ni kwamba ampotezee kabisa ZZK kwa hoja zake za uzushi, kwani kama ataonekana kubishana naye, ataendelea kumpa “kiki” na hivyo kumpa umaarufu asiostahili. Aidha, kwa kuwa ZZK anaoneka kabisa kwamba anataka ku-intensify mgogoro na serikali, kuna uwezekano mkubwa akawa anajiadaa kwa movie moja matata. ZZK anaweza kuwa anajiandaa kwa movie ya “kujiteka” ili mwisho wa siku watu waseme kwamba, kwa sababu ZZK alikuwa na mgogoro na serikali basi serikali inahusika na utekaji huo; na pindi arudipo uraiani atakuwa ashapata kiki za kutosha zitakazo mwongezea “political mileage” lakini pia akiwa ameichafua serikali. Ni wakati wake Rais JPM kuwajibu watu wa aina ya ZZK kwa vitendo katika kufanya mambo makubwa yanayogusa maisha ya Watanzania wengi, kwani watu wote wenye nia njema na nchi yetu, hawawezi kubeza juhudi zake za kutaka kuleta maendeleo ya kweli kwa wananchi wote.

Benmpo
Hoja hujibiwa kwa hoja.

Na kukaa kimya kwa mtuhumiwa ni kukubali tuhuma.

Hizi ni kanuni za kweli zilizojulikana tangu enzi za kabla ya Kaizari wa Warumi.

Ulichofanya hapo katika kilatini kinaitwa shambulizi la "ad hominem". Hili ni shambulizi la kuacha kujibu hoja, na kuanza kumshambulia mtoa hoja.

Ukifanya shambulizi hili mara nyingi ni dalili ya kuishiwa hoja.
 
Siku za hivi karibuni tumeshuhudia hali isiyokuwa ya kawaida kwa Mbunge Zitto Kabwe. Amekuwa akiibuka na hoja za hapa na pale dhidi ya serikali ambazo mwisho wa siku vyombo mbalimbali vya serikali vimekuwa vikizikanusha kuwa hazina ukweli wowote bali ni uzushi tu unaolenga kuichafua serikali. Hata hivyo ZZK amekuwa akionesha hali kama ya kutaka “kutunishiana misuli” na serikali.

Kwa upande mwingine ZZK ni Kiongozi wa ngazi ya juu kabisa ndani ya chama cha ACT-Wazalendo. Tumeona chama hicho kikimeguka vipande vipande baada ya viongozi waandamizi ndani ya chama kukihama chama hicho, na wengine wakijiuzulu nafasi zao za uongozi kutokana sababu mbalimbali.

Katika hali hii ZZK hawezi kuwa salama kabisa kisakolojia, ni lazima tu atakuwa na muweweseko. Ni lazima tu atakuwa anamtafuta mchawi nje ya chama chake, bila kujitathmini ndani kwanza. Ni lazima ataibuka na hoja zinazovuta hisia za watu hata kama hazina ukweli ili mradi tu kukifanya chama hicho kiendelee kusikika masikioni mwa watu, licha ya kwamba kinaonekana kabisa kwamba kina-undogo “natural death”.

Hivyo ushauri wangu kwa Rais JPM ni kwamba ampotezee kabisa ZZK kwa hoja zake za uzushi, kwani kama ataonekana kubishana naye, ataendelea kumpa “kiki” na hivyo kumpa umaarufu asiostahili. Aidha, kwa kuwa ZZK anaoneka kabisa kwamba anataka ku-intensify mgogoro na serikali, kuna uwezekano mkubwa akawa anajiadaa kwa movie moja matata. ZZK anaweza kuwa anajiandaa kwa movie ya “kujiteka” ili mwisho wa siku watu waseme kwamba, kwa sababu ZZK alikuwa na mgogoro na serikali basi serikali inahusika na utekaji huo; na pindi arudipo uraiani atakuwa ashapata kiki za kutosha zitakazo mwongezea “political mileage” lakini pia akiwa ameichafua serikali. Ni wakati wake Rais JPM kuwajibu watu wa aina ya ZZK kwa vitendo katika kufanya mambo makubwa yanayogusa maisha ya Watanzania wengi, kwani watu wote wenye nia njema na nchi yetu, hawawezi kubeza juhudi zake za kutaka kuleta maendeleo ya kweli kwa wananchi wote.

Benmpo
kama maendeleo anayotaka kutuletea ni kama yale ya Ethiopia ambako pamoja na miundombinu mizuri na shirika imara la ndege lakini raia wake ni hohe hahe wa kutupwa kama walivyo leo.... maendeleo ya aina hii huku Tz hatuyataki!

falsafa ya Mwalimu JKN inatufundisha kuwa maendeleo yoyote ni lazima yawe people-centred na si vinginevyo.
 
Siku za hivi karibuni tumeshuhudia hali isiyokuwa ya kawaida kwa Mbunge Zitto Kabwe. Amekuwa akiibuka na hoja za hapa na pale dhidi ya serikali ambazo mwisho wa siku vyombo mbalimbali vya serikali vimekuwa vikizikanusha kuwa hazina ukweli wowote bali ni uzushi tu unaolenga kuichafua serikali. Hata hivyo ZZK amekuwa akionesha hali kama ya kutaka “kutunishiana misuli” na serikali.

Kwa upande mwingine ZZK ni Kiongozi wa ngazi ya juu kabisa ndani ya chama cha ACT-Wazalendo. Tumeona chama hicho kikimeguka vipande vipande baada ya viongozi waandamizi ndani ya chama kukihama chama hicho, na wengine wakijiuzulu nafasi zao za uongozi kutokana sababu mbalimbali.

Katika hali hii ZZK hawezi kuwa salama kabisa kisakolojia, ni lazima tu atakuwa na muweweseko. Ni lazima tu atakuwa anamtafuta mchawi nje ya chama chake, bila kujitathmini ndani kwanza. Ni lazima ataibuka na hoja zinazovuta hisia za watu hata kama hazina ukweli ili mradi tu kukifanya chama hicho kiendelee kusikika masikioni mwa watu, licha ya kwamba kinaonekana kabisa kwamba kina-undogo “natural death”.

Hivyo ushauri wangu kwa Rais JPM ni kwamba ampotezee kabisa ZZK kwa hoja zake za uzushi, kwani kama ataonekana kubishana naye, ataendelea kumpa “kiki” na hivyo kumpa umaarufu asiostahili. Aidha, kwa kuwa ZZK anaoneka kabisa kwamba anataka ku-intensify mgogoro na serikali, kuna uwezekano mkubwa akawa anajiadaa kwa movie moja matata. ZZK anaweza kuwa anajiandaa kwa movie ya “kujiteka” ili mwisho wa siku watu waseme kwamba, kwa sababu ZZK alikuwa na mgogoro na serikali basi serikali inahusika na utekaji huo; na pindi arudipo uraiani atakuwa ashapata kiki za kutosha zitakazo mwongezea “political mileage” lakini pia akiwa ameichafua serikali. Ni wakati wake Rais JPM kuwajibu watu wa aina ya ZZK kwa vitendo katika kufanya mambo makubwa yanayogusa maisha ya Watanzania wengi, kwani watu wote wenye nia njema na nchi yetu, hawawezi kubeza juhudi zake za kutaka kuleta maendeleo ya kweli kwa wananchi wote.

Benmpo


Huitendei haki signature yako, Duc in Altum. Wenye kujua maana ya hilo neno ni vichwa vinavyojua kujenga na kubomoa hoja. Ndiyo maana wanaojua kutumia lugha hiyo wamekufundisha neno ad hominem.

Hoja hujibiwa kwa hoja.

Na kukaa kimya kwa mtuhumiwa ni kukubali tuhuma.

Hizi ni kanuni za kweli zilizojulikana tangu enzi za kabla ya Kaizari wa Warumi.

Ulichofanya hapo katika kilatini kinaitwa shambulizi la "ad hominem". Hili ni shambulizi la kuacha kujibu hoja, na kuanza kumshambulia mtoa hoja.

Ukifanya shambulizi hili mara nyingi ni dalili ya kuishiwa hoja.
 
Zitto ni Buffer tu ndani ya upinzani? Umewahi kusikia Zitto kakamatwa kama wanasiasa wengine? Umeshawahi kusikia kalala sero? Au na wewe uliamini kipindi kile walimkosa wakamkamata dereva na tukashtukia yuko nje ya nchi? Au unaamini yale maneno kuwa wakitaka kumkamata wanakuta ziwa? Yeye ni Buffer tu kuhakikisha upinzani haupitilizi kuleta madhara kwa taifa?. Uliamini ACT ilifikia vigezo kuanzishwa na kushiriki Uchaguzi 2015 ndani ya mda mfupi? Pesa walitoa wapi kusimamisha wagombea sehemu nyingi namna ile? Angalia waliowahi kuwa viongozi ACT wakina Mghwira, Mkumbo, Msando wote wamekula teuzi. Mpaka leo hamumuelewi tu huyo Zitto?

Hayo ni maswali tu, sio majibu.
 
Siku za hivi karibuni tumeshuhudia hali isiyokuwa ya kawaida kwa Mbunge Zitto Kabwe. Amekuwa akiibuka na hoja za hapa na pale dhidi ya serikali ambazo mwisho wa siku vyombo mbalimbali vya serikali vimekuwa vikizikanusha kuwa hazina ukweli wowote bali ni uzushi tu unaolenga kuichafua serikali. Hata hivyo ZZK amekuwa akionesha hali kama ya kutaka “kutunishiana misuli” na serikali.

Kwa upande mwingine ZZK ni Kiongozi wa ngazi ya juu kabisa ndani ya chama cha ACT-Wazalendo. Tumeona chama hicho kikimeguka vipande vipande baada ya viongozi waandamizi ndani ya chama kukihama chama hicho, na wengine wakijiuzulu nafasi zao za uongozi kutokana sababu mbalimbali.

Katika hali hii ZZK hawezi kuwa salama kabisa kisakolojia, ni lazima tu atakuwa na muweweseko. Ni lazima tu atakuwa anamtafuta mchawi nje ya chama chake, bila kujitathmini ndani kwanza. Ni lazima ataibuka na hoja zinazovuta hisia za watu hata kama hazina ukweli ili mradi tu kukifanya chama hicho kiendelee kusikika masikioni mwa watu, licha ya kwamba kinaonekana kabisa kwamba kina-undogo “natural death”.

Hivyo ushauri wangu kwa Rais JPM ni kwamba ampotezee kabisa ZZK kwa hoja zake za uzushi, kwani kama ataonekana kubishana naye, ataendelea kumpa “kiki” na hivyo kumpa umaarufu asiostahili. Aidha, kwa kuwa ZZK anaoneka kabisa kwamba anataka ku-intensify mgogoro na serikali, kuna uwezekano mkubwa akawa anajiadaa kwa movie moja matata. ZZK anaweza kuwa anajiandaa kwa movie ya “kujiteka” ili mwisho wa siku watu waseme kwamba, kwa sababu ZZK alikuwa na mgogoro na serikali basi serikali inahusika na utekaji huo; na pindi arudipo uraiani atakuwa ashapata kiki za kutosha zitakazo mwongezea “political mileage” lakini pia akiwa ameichafua serikali. Ni wakati wake Rais JPM kuwajibu watu wa aina ya ZZK kwa vitendo katika kufanya mambo makubwa yanayogusa maisha ya Watanzania wengi, kwani watu wote wenye nia njema na nchi yetu, hawawezi kubeza juhudi zake za kutaka kuleta maendeleo ya kweli kwa wananchi wote.

Benmpo
Jibuni hoja za Zitto acheni poyoyo...Zitto amewapa changamoto kwamba Sizonje kama kweli anajiamini na kama kweli yeye ni mwanamme kama anavotaka tuamini aruhusu ukaguzi maalum wa CAG kuhusu mapato ya serikali kuliko kwendelea kuzoza tu na kutoa vitisho, then itajulikana pumba na mchele, jibuni hoja acheni ujinga!
 
Hoja hujibiwa kwa hoja.

Na kukaa kimya kwa mtuhumiwa ni kukubali tuhuma.

Hizi ni kanuni za kweli zilizojulikana tangu enzi za kabla ya Kaizari wa Warumi.

Ulichofanya hapo katika kilatini kinaitwa shambulizi la "ad hominem". Hili ni shambulizi la kuacha kujibu hoja, na kuanza kumshambulia mtoa hoja.

Ukifanya shambulizi hili mara nyingi ni dalili ya kuishiwa hoja.

Sometimes it's better kukaa kimya kuliko ku-argue na mjinga
 
Jibuni hoja za Zitto acheni poyoyo...Zitto amewapa changamoto kwamba Sizonje kama kweli anajiamini na kama kweli yeye ni mwanamme kama anavotaka tuamini aruhusu ukaguzi maalum wa CAG kuhusu mapato ya serikali kuliko kwendelea kuzoza tu na kutoa vitisho, then itajulikana pumba na mchele, jibuni hoja acheni ujinga!

Mara nyingi ukijibu hoja za mjinga, unakuwa part ya ujinga huo. Matendo ni bora kuliko maneno. Those with eyes and minds wanaona kinachotendeka chini ya serikali hii. But wanaotaka kuaminishwa na ZZK their minds are blinded
 
Zitto ni Buffer tu ndani ya upinzani? Umewahi kusikia Zitto kakamatwa kama wanasiasa wengine? Umeshawahi kusikia kalala sero? Au na wewe uliamini kipindi kile walimkosa wakamkamata dereva na tukashtukia yuko nje ya nchi? Au unaamini yale maneno kuwa wakitaka kumkamata wanakuta ziwa? Yeye ni Buffer tu kuhakikisha upinzani haupitilizi kuleta madhara kwa taifa?. Uliamini ACT ilifikia vigezo kuanzishwa na kushiriki Uchaguzi 2015 ndani ya mda mfupi? Pesa walitoa wapi kusimamisha wagombea sehemu nyingi namna ile? Angalia waliowahi kuwa viongozi ACT wakina Mghwira, Mkumbo, Msando wote wamekula teuzi. Mpaka leo hamumuelewi tu huyo Zitto?

Hayo ni maswali tu, sio majibu.

Hebu nikae kitako nitafakari maswali yako kuhusu ZZK "the buffer.
 
Sometimes it's better kukaa kimya kuliko ku-argue na mjinga
Lakini si kila mkaa kimya hataki ku argue na mjinga.

Serikali ina wajibu wa kujibu maswali ya wananchi.

Zitto ni muwakilishi wa wananchi na yeye ni mwananchi.

Serikali ina wajibu wa kujibu tuhuma za Zitto.

Kama za uongo, ijulikane wananchi wampuuze.

Kama za kweli, wananchi tujue serikali iwajibike.

Kukaa kimya hakuna tija. Ni chaka la maovu. Ni jumba la uzembe. Ni mbegu ya umasikini. Ni uongozi wa kiburi.

Wananchi tunaojielewa hatutaki serikali inayokalia kimya tuhuma.
 
kama maendeleo anayotaka kutuletea ni kama yale ya Ethiopia ambako pamoja na miundombinu mizuri na shirika imara la ndege lakini raia wake ni hohe hahe wa kutupwa kama walivyo leo.... maendeleo ya aina hii huku Tz hatuyataki!

falsafa ya Mwalimu JKN inatufundisha kuwa maendeleo yoyote ni lazima yawe people-centred na si vinginevyo.

Yeye mlengo wake ni kwa watu maskini, maana anajiita "Rais wa wanyonge", sidhani kama Rais wa nchi uliyoitaja naye aliingia madarakani kwa lengo la kuwainua wanyonge.
 
Mmepanga kumteka nini?? Mbona mnaanza kujihami mapema? Lolote mtakalolifanya mtalijibu

Hiyo Script anayotumia katika movie yake ni "Copy and Paste". Kwenye trela tu tushajua conclusion ya movie yenyewe, aache tu hiyo mission, no one will buy it.
 
Siku za hivi karibuni tumeshuhudia hali isiyokuwa ya kawaida kwa Mbunge Zitto Kabwe. Amekuwa akiibuka na hoja za hapa na pale dhidi ya serikali ambazo mwisho wa siku vyombo mbalimbali vya serikali vimekuwa vikizikanusha kuwa hazina ukweli wowote bali ni uzushi tu unaolenga kuichafua serikali. Hata hivyo ZZK amekuwa akionesha hali kama ya kutaka “kutunishiana misuli” na serikali.

Kwa upande mwingine ZZK ni Kiongozi wa ngazi ya juu kabisa ndani ya chama cha ACT-Wazalendo. Tumeona chama hicho kikimeguka vipande vipande baada ya viongozi waandamizi ndani ya chama kukihama chama hicho, na wengine wakijiuzulu nafasi zao za uongozi kutokana sababu mbalimbali.

Katika hali hii ZZK hawezi kuwa salama kabisa kisakolojia, ni lazima tu atakuwa na muweweseko. Ni lazima tu atakuwa anamtafuta mchawi nje ya chama chake, bila kujitathmini ndani kwanza. Ni lazima ataibuka na hoja zinazovuta hisia za watu hata kama hazina ukweli ili mradi tu kukifanya chama hicho kiendelee kusikika masikioni mwa watu, licha ya kwamba kinaonekana kabisa kwamba kina-undogo “natural death”.

Hivyo ushauri wangu kwa Rais JPM ni kwamba ampotezee kabisa ZZK kwa hoja zake za uzushi, kwani kama ataonekana kubishana naye, ataendelea kumpa “kiki” na hivyo kumpa umaarufu asiostahili. Aidha, kwa kuwa ZZK anaoneka kabisa kwamba anataka ku-intensify mgogoro na serikali, kuna uwezekano mkubwa akawa anajiadaa kwa movie moja matata. ZZK anaweza kuwa anajiandaa kwa movie ya “kujiteka” ili mwisho wa siku watu waseme kwamba, kwa sababu ZZK alikuwa na mgogoro na serikali basi serikali inahusika na utekaji huo; na pindi arudipo uraiani atakuwa ashapata kiki za kutosha zitakazo mwongezea “political mileage” lakini pia akiwa ameichafua serikali. Ni wakati wake Rais JPM kuwajibu watu wa aina ya ZZK kwa vitendo katika kufanya mambo makubwa yanayogusa maisha ya Watanzania wengi, kwani watu wote wenye nia njema na nchi yetu, hawawezi kubeza juhudi zake za kutaka kuleta maendeleo ya kweli kwa wananchi wote.

Benmpo
Zz kabwe anasema kama takwim mlizotoa hamjazipika mumruhusu CAG afanye kaz yake kama itathbika anaongopa huoni ndio itakua nafas nzur kumpoteza kabisa?
 
Lakini si kila mkaa kimya hataki ku argue na mjinga.

Serikali ina wajibu wa kujibu maswali ya wananchi.

Zitto ni muwakilishi wa wananchi na yeye ni mwananchi.

Serikali ina wajibu wa kujibu tuhuma za Zitto.

Kama za uongo, ijulikane wananchi wampuuze.

Kama za kweli, wananchi tujue serikali iwajibike.

Kukaa kimya hakuna tija. Ni chaka la maovu. Ni jumba la uzembe. Ni mbegu ya umasikini. Ni uongozi wa kiburi.

Wananchi tunaojielewa hatutaki serikali inayokalia kimya tuhuma.

Uki-argue sana na mjinga atakuchelewesha. Actions speak louder than words, hivyo hata Rais akimpotezea tutam-judge kwa matendo yake. Tuhuma hazijaanza sasa na zitaendelea tu kuwepo, hivyo kujibu kila tuhuma isiwe ndio kipaumbele chake Rais.
 
Back
Top Bottom