majebsmafuru
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 453
- 628
Wakina mama mnatisha kwa KUFICHA HELA CHUMBANI!
Kwa kweli wanaume wenzangu kila nikipata fursa ya kufanya usafi chumbani kwetu au kutafuta kitu fulani kwa makini, LAZIMA nitazifuma alfu 20,30 mpaka 50, zimefichwa sehemu na mama watoto! Tunazo akaunti za akiba za watoto wetu, wako sorted.
Ila kwanini bado anazificha hizi hela ndogo ndogo kule?! Na kwanini anasahau?!
Nakubali nikizipata huwa zanisaidia sana kulipa bili kwenye local yangu (bar ya mtaani kwetu).
Nashea nanyi hiki kisa sababu nashangaa huwa haulizii wala kutahamaki! Labda anakuwa kazisahau aise! Au labda ni zangu zinazochomolewa usiku nikiwa tingasi..
Kwa kweli ule usafi wa master nilishatamka ni wangu yeye aweke mguu tu! Mnaelewa kwanini..
Kwa kweli wanaume wenzangu kila nikipata fursa ya kufanya usafi chumbani kwetu au kutafuta kitu fulani kwa makini, LAZIMA nitazifuma alfu 20,30 mpaka 50, zimefichwa sehemu na mama watoto! Tunazo akaunti za akiba za watoto wetu, wako sorted.
Ila kwanini bado anazificha hizi hela ndogo ndogo kule?! Na kwanini anasahau?!
Nakubali nikizipata huwa zanisaidia sana kulipa bili kwenye local yangu (bar ya mtaani kwetu).
Nashea nanyi hiki kisa sababu nashangaa huwa haulizii wala kutahamaki! Labda anakuwa kazisahau aise! Au labda ni zangu zinazochomolewa usiku nikiwa tingasi..
Kwa kweli ule usafi wa master nilishatamka ni wangu yeye aweke mguu tu! Mnaelewa kwanini..