Recent content by Omari Issa

  1. Omari Issa

    Jakaya Kikwete alitumia hii mbinu kumzika Profesa Mwandosya kisiasa

    Tushachoka kauli zenu bwana. In fact yeye ndo Rais, anaweza fanya chochote. Akiamu anaweza kuwapa wizara, akiamua anaweza asiwape. Mwacheni Rais apige kazi na cabinet yake. Wanaofaa ni wengi. Hawawez wote kuingia kwenye cabinet
  2. Omari Issa

    Uchawi au Majini hayapo! Nani ameshawahi kukutana na jini

    Ki'english' chako kinahitaji 'finishing' ya kutosha.!!!
  3. Omari Issa

    Tanzania kuna jumla ya makabila mangapi?

    Habari zenu wadau? Nimeona nije na kauzi haka ili niweze kupambanua uelewa. Ninachokijua na ambacho kinaandikwa kwenye machapisho mbalimbali ni kwamba Tanzania kuna makabila zaidi ya 120. Sasa ukisema zaidi ya, huwa haioneshi idadi halisi ya makabila hayo. Naomba mwenye uelewa atujuze idadi...
  4. Omari Issa

    Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

    Future prospect 1. Does it mean 'expected benefit'? 2. Does it mean 'possible independent current factors' for the future development of something? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Omari Issa

    Top ten wonderful names from Tanzania

    Uvuvwevwevwe Onyetevyevwe Ugumugwen Osasi
  6. Omari Issa

    News Alert: PLEASE I ASK FOR THE LEGAL HELP

    MSAADA TUTANI Hello folk! I'm humble, asking for your legal help! I may be ignorant of the right path of legal procedure in handling this case! Mr X come to my shop one day and he asked for some goods for loan! Since he has been indebted to pay back the loan, the man changed his SIM line and...
  7. Omari Issa

    Naomba kueleweshwa mfumo wa trade test (VETA)

    Mkuu sorry na vipi kuhusu vyeti vya veta. Kozi zipi zinpaswa kusoma masomo hayo yaliyoongezwa?
  8. Omari Issa

    Syllabus za Vyuo vya VETA

    Habari wana jukwaa? Tafadhali, kama uzi unavyojieleza, naomba msaada mwenye syllabus ya kozi zifuatazo zinazotolewa na vyuo vya VETA hapa nchini. 1. English language 2. ICT 3. Enterpreneurship 4. Life skillls PM itapendeza zaidi Ahsante
  9. Omari Issa

    Nahitaji Korosho jamani

    Njoo PM
  10. Omari Issa

    Msaada wa Kitaaluma Unahitajika

    Naamanisha kwamba kuna njia mbalimbali zinazitumika mashuleni hata kitaifa kupanga matokeo baada ya kuwatahini wanafunzi. Njia hii hufanyika kwa kutumia program ya spreadsheet hususani Excel. Sasa shida yangu nipate muongozo wa upangaji (template) ili nitumie nami kupanga matokeo hayo.
  11. Omari Issa

    Msaada wa Kitaaluma Unahitajika

    ID na uhalisia wa mtu mwenyewe ni vitu viwili tofauti kabisa. By the way some things vinahitaji ujuzi kama huelewi its better ukatulia kupisha wajuzi waje wajibu.
  12. Omari Issa

    Msaada wa Kitaaluma Unahitajika

    Habari zenu wanajamvi! Tafadhali naomba mwenye TEMPLATE za kupanga matokeo kwa divisions, FORM TWO, FORM FOUR na FORM SIX anipatie please! Thanks!
Back
Top Bottom