Omari Issa
Senior Member
- Jul 26, 2012
- 168
- 45
Habari wana jukwaa?
Tafadhali, kama uzi unavyojieleza, naomba msaada mwenye syllabus ya kozi zifuatazo zinazotolewa na vyuo vya VETA hapa nchini.
1. English language
2. ICT
3. Enterpreneurship
4. Life skillls
PM itapendeza zaidi
Ahsante
Tafadhali, kama uzi unavyojieleza, naomba msaada mwenye syllabus ya kozi zifuatazo zinazotolewa na vyuo vya VETA hapa nchini.
1. English language
2. ICT
3. Enterpreneurship
4. Life skillls
PM itapendeza zaidi
Ahsante