Recent content by Oloisusuki

  1. Oloisusuki

    Natafuta kazi

    Habar zenu wadau, mimi ni kijana wakiume elimu yangu ni diploma ya ualimu wa secondary history and geography. Natafuta ajira yoyote ile kwa malipo yoyote yale, nipo arusha.
  2. Oloisusuki

    Nani anafahamu kuhusu Twitter follow

    Anaeelewa hii kitu anijuze. wanakupa task za kufollow unaingiza dola moja per day. Pia Kuna levels. VIP 0 ni bure na ndio unaingiza dola moja per day na huwezi withdraw mpaka zifike 148 usd VIP 1 unalipia usd 147 kujisajili na unakuwa unaingiza usd 3 per day. Kuregister ni bure na unapewa usd...
  3. Oloisusuki

    Kutumiwa nywila kwenye email baada ya kutuma maombi

    Nimejaza sijatumiwa email Leo cku ya 4
  4. Oloisusuki

    Kutumiwa nywila kwenye email baada ya kutuma maombi

    Wakuu Kuna tangazo la maombi ya kazi ya sensa sasa vikorombwezo viiingi baada ya kutuma maombi unaambiwa utatumiwa nywila kwenye email ulojaza ili uweze kupata access ya kupakua fomu namba moja vipi kuna aliefanikiwa kutumiwa nywila kwa wale walioomba?majibu tafadhali
  5. Oloisusuki

    Rais Samia amteua Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu kupangiwa kazi nyingine

    Pro kabooooodi alituaminisha zuhura yunus anatumika na mabeberu
  6. Oloisusuki

    Ukweli mchungu: Chama kafeli ligi ya Morocco

    Ukweli mtamu.fiston abdulrazack alifeli yanga
  7. Oloisusuki

    Napinga Askofu Gwajima kukamatwa

    Kwahyo unaunga mkono madai ya gwajima kwamba 1:viongoz waliochanja wamefake. 2:serikali imehongwa ili wakubali chanjo iingie nchini. 3:ukichanja unakufa baada ya miaka miwili
  8. Oloisusuki

    Wabunge ndiyo wanastahili kulipa kodi ya uzalendo

    Wabunge ndio wanastahili kulipa hiii Kodi manake wanapata pesa bila jasho. Ingependeza kwenye milioni 12 wanazopokea kwa mwezi kila mmoja akatwe milioni moja ya Kodi ya uzalendo.
  9. Oloisusuki

    Yanga yaingia mkataba wa Tsh Bilioni 34.8 na Azam Media

    Yanga watueleze ukishaondoa VAT wao watabaki na shilingi ngapi
  10. Oloisusuki

    Rais Samia, Wana-CCM kuumia kuondolewa kwa Ole Sabaya siyo ishara njema kwako

    Mwemweee mweee eti sabaya alipambana na lema arusha Aksshinda acha kutudanganya
Back
Top Bottom