Lorenzo Samike
JF-Expert Member
- Jun 18, 2021
- 1,188
- 1,912
Baba askofu hataki machanjo
Wewe ni kijani!Acha kunishambulia, Rudi kwenye hoja kada
Ni kweli wewe ni mzushi!Hapana, si kweli
Uzushi wangu upi kada?Ni kweli wewe ni mzushi!
Mimi ni kamanda kindakindaki, fuatilia michango yangu ya siasa hapa jukwaani.Wewe ni kijani!
Huo hapo.Uzushi wangu upi kada?
Wewe ni kijani.Mimi ni kamanda kindakindaki, fuatilia michango yangu ya siasa hapa jukwaani.
Hakuna uhuru wa maoni wa kusingizia mkuu wa nchi na viongozi wengine kuwa mara wamehongwa...mara wamechoma chanjo za maji...uongouongo tu!Kwanini usiite ni uhuru wa kutoa maoni ambao kipindi cha Magufuli haukuwepo? usiite dharau bali huo ni uhuru wa kutoa maoni.
Huo hapo.
Naona umeamua kuzingua Kada.Wewe ni kijani.
Wewe ni kijani!Naona umeamua kuzingua Kada.
HahahqhaaaNdo maana hata polisi hawajamkamata, mpumbavu ni wewe mwenyewe
I better be as stupid as they are. ..
Askofu Gwajima should not be arrested and here is why:
His anti- COVID-19 vaccine stance is stupid.
Stupid people are entitled to their stupid ideas and opinions.
They have the right to be stupid and to be wrong.
Stupidity can’t be legislated. It can’t be fixed.
He and his stupid flock should be left alone to wallow in their stupidity.
Badala yake, vyombo vya dola vijikite kupambana na uhalifu na viachane na mambo ya kipumbavu.
Anti-vaxxers wapo duniani kote.
Tusitumie nguvu kuwaziba midomo hawa wa kwetu.
Napinga kukamatwa kwa Askofu Gwajima endapo atakamatwa.
Halafu angeweza kukataa na akabaki kimya kwa kuwa ni hiari. Lakini inaonekana anafanya kampeni ya kutochanja. Binafsi nashauri aitwe athibitishe yafuatayo:-Na huezi ukapingana na serikali Kama unapingana na wajinga flani kwa kupayuka payuka,na badala ya kuzungumzia neno la MUNGU unazungumzia Mambo ya kidoctor ambapo wewe si doctor
Askofu Gwajima should not be arrested and here is why:
His anti- COVID-19 vaccine stance is stupid.
Stupid people are entitled to their stupid ideas and opinions.
They have the right to be stupid and to be wrong.
Stupidity can’t be legislated. It can’t be fixed.
He and his stupid flock should be left alone to wallow in their stupidity.
Badala yake, vyombo vya dola vijikite kupambana na uhalifu na viachane na mambo ya kipumbavu.
Anti-vaxxers wapo duniani kote.
Tusitumie nguvu kuwaziba midomo hawa wa kwetu.
Napinga kukamatwa kwa Askofu Gwajima endapo atakamatwa.
Askofu Gwajima should not be arrested and here is why:
His anti- COVID-19 vaccine stance is stupid.
Stupid people are entitled to their stupid ideas and opinions.
They have the right to be stupid and to be wrong.
Stupidity can’t be legislated. It can’t be fixed.
He and his stupid flock should be left alone to wallow in their stupidity.
Badala yake, vyombo vya dola vijikite kupambana na uhalifu na viachane na mambo ya kipumbavu.
Anti-vaxxers wapo duniani kote.
Tusitumie nguvu kuwaziba midomo hawa wa kwetu.
Napinga kukamatwa kwa Askofu Gwajima endapo atakamatwa.
Pumba.Kuachwa Gwajima inategemea na culcalation ya madhara yatokanayo na propaganda zako. Kwa kiongozi ambae ni intolerant kashamshughulikia Gwajima mapema sana maana anachokifanya ni uasi. Kwa hiyo naamini securities wako makini sana wanafanya analysis why Rashid behave in that way
Kwahyo unaunga mkono madai ya gwajima kwambaNaunga mkono hoja
P