Nahisi maumivu ya tumbo na gesi upande wa chini wa korodani ya kushoto kama inavuta Baada ya muda maumivu yana toweka lakini wakati mwengine napata hali ya kuharisha .nilifanya kipimo mara ya mwisho Nika onekana na ulcers. Sielewi hii ishu inatokea Mara mbili Sasa na kutoweka
Msaada jamani...
Kiukweli nimevutiwa na utendaji kazi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha ila kitu ninachojiuliza kwanini ana ubunifu katika maendeleo ya Mkoa juzi nimetoka hospital mmoja mjini kitu cha kushangaza kuna miundombinu mibaya aina hadhi kulingana na mahitaji ya watu.
Kitu kingine kimenishangaza kota za polisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.