Samahan ndg si low , n LawSchool of low? Ahsante mkuu atasijui
HahahaWala asihangaike kama ni school of low, ila kama anataka kusoma school of law ajaribu kwenda kwenye chuo chao akaulize.
Mtu aliyesoma postgraduate diploma ya sheria open university anaeza pata nafas ya kusoma school of low?
Shule ya chini ni ipi hii?Mtu aliyesoma postgraduate diploma ya sheria open university anaeza pata nafas ya kusoma school of low?
ili uwe wakili lazima uwe na shahada ya kwanza ya sheria alafu umepitia shule ya sheria .Mtu aliyesoma postgraduate diploma ya sheria open university anaeza pata nafas ya kusoma school of low?