Mimi nimemuelewa vizuri saana Mary Chatanda na tegemeeni mengi zaidi yatakayoibuliwa na Mh.Mary Chatanda pamoja na yule Mh.aliyetowa takwimu za miradi ya maji alikuwa amevaa miwani,blouse ya yellow na kijacket cha green na ni mwanamke.
Mama Madabida yuko bungeni, kiwanda, chake cha dawa ARUSHA kinazalisha madawa chini ya kiwango,namshauri awachane na siasa asimamie kiwanda aokoe maisha yetu na akuze uchumi wetu.atapata baraka za Mungu kuliko huko kwenye siasa
Huwa naangalia BUNGE la Kenya..naona tofauti kubwa saana kati ya bunge lao na la kwetu.Nadhani wale wachache ambao wameishia darasa la saba wamewaharibu wale wenye elimu ya kuongoza.
Lakini alovyoongea leo kabadilisha kabisa hotuba yake ya jana na si ajabu uchangiaji wake wa leo ukamgharimu.Yule wa Kigoma leo amesema ukweli kuhusu kusafishwa watuhumiwa wa Escrow sasa sijui na yeye kesho atabadilisha mchango wake...????
Kwa ARA labda apatikane mchungaji au padre mwenye asili ya ARA, na akubalike waislamu au awekwe Mwanamke mchagga mwenye asili ya ARA ndiyo CCM inaweza jaribu.Lakini Ccm ARA iko na EL sijui naye ataoendekeza nani.Asilimia kubwa ya wakazi wa ARA ni wachagga na ni wafanyabiashara kwa hiyo CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.