Recent content by oldonyosambu

  1. O

    Yaliyojiri Bunge la Bajeti Dodoma Mei 14, 2015

    Mimi nimemuelewa vizuri saana Mary Chatanda na tegemeeni mengi zaidi yatakayoibuliwa na Mh.Mary Chatanda pamoja na yule Mh.aliyetowa takwimu za miradi ya maji alikuwa amevaa miwani,blouse ya yellow na kijacket cha green na ni mwanamke.
  2. O

    Kikwete amkemea DC Makonda

    Kwani DC Makonda alikwenda Disco na White Party.....sio vizuri ndugu zangu kumpaka matope Mh.Makonda.
  3. O

    Tuwachore Shilingi haipandi itazidi kushuka.............

    Mama Madabida yuko bungeni, kiwanda, chake cha dawa ARUSHA kinazalisha madawa chini ya kiwango,namshauri awachane na siasa asimamie kiwanda aokoe maisha yetu na akuze uchumi wetu.atapata baraka za Mungu kuliko huko kwenye siasa
  4. O

    Ikulu sio wodi ya wagonjwa, Lusinde amnanga Dk. Slaa

    Huwa naangalia BUNGE la Kenya..naona tofauti kubwa saana kati ya bunge lao na la kwetu.Nadhani wale wachache ambao wameishia darasa la saba wamewaharibu wale wenye elimu ya kuongoza.
  5. O

    Yaliyojiri Bunge la Bajeti Dodoma Mei 14, 2015

    Kwa nini anamnyima Halima Mdee nafasi..
  6. O

    Daraja maarufu Tanzania

    Kabla ya daraja palikuwa na nini...
  7. O

    Bahati Bukuku amuimbia Lowassa wimbo

    All in all, mimi na wenzangu wengi tunampenda EL awe Rais
  8. O

    Rais Kikwete alipotoa taarifa ya kupinga ''Mapinduzi'' Burundi

    Kwani wananchi wanammaindi ....(MIND)
  9. O

    Hamad Rashid Mbunge wa CUF, aaga Bunge na kutangaza kugombea urais kupitia chama cha ADC

    Angekuwa shujaa mzuri saana kama angeondoka Dom leoleo
  10. O

    Kigwangalla afunika Bungeni

    Lakini alovyoongea leo kabadilisha kabisa hotuba yake ya jana na si ajabu uchangiaji wake wa leo ukamgharimu.Yule wa Kigoma leo amesema ukweli kuhusu kusafishwa watuhumiwa wa Escrow sasa sijui na yeye kesho atabadilisha mchango wake...????
  11. O

    CCM Arusha yampigia magoti mfanyabiashara Thomasi Munis, Mbio za Ubunge

    Kwa ARA labda apatikane mchungaji au padre mwenye asili ya ARA, na akubalike waislamu au awekwe Mwanamke mchagga mwenye asili ya ARA ndiyo CCM inaweza jaribu.Lakini Ccm ARA iko na EL sijui naye ataoendekeza nani.Asilimia kubwa ya wakazi wa ARA ni wachagga na ni wafanyabiashara kwa hiyo CCM...
  12. O

    Serikali kumtuma Dk Bana TBC kulaani mapinduzi ya Burundi inaashiria nini?

    Jamani UFALME nomaa..sasa anakuwa mkimbizi.Nazidi kuamini Mkaidi hafaidi mpaka siku ya Iddi
  13. O

    Nimelamba mchepuko wa dingi, hautaki tuachane

    Siyo adabu nzuri....kikwetu hiyo ni laana,inahitajika kuchinjwa kondoo mweusi.
Back
Top Bottom