Kikwete amkemea DC Makonda

Kikwete amkemea DC Makonda

Anajishaua tu Kikwete, kashindwa yeye sembuse DC tena wa juzi tu.
 
Konda alikuwa anawayawaya tu hajui aonge au asiongee anajing'ata ule ulimi wake na mdomo wa kishosti mbele ya Rais.

Nilimuonea huruma na Kaunda suti yake ya kulazimisha. Dogo bado wala hafananii huko yeye ni wa kule kwa Diamond
 
Aliekemewa ni muhandisi wa wilaya sio makonda.lakini sio ishu hata kama angekua makonda maana JK ni bosi.
 
Mmh.. ningekuwa kuwa mimi ndege anayenong'ona ningemnong'oneza Makonda amuulize "Kwani wewe umefanya nini?"
 
Mmh.. ningekuwa kuwa mimi ndege anayenong'ona ningemnong'oneza Makonda amuulize "Kwani wewe umefanya nini?"

wewe mzee ytushakuzoea ni mtu wa kulalamika na kutoridhika.tangu niko la tano unalalamika tu kuanzia kwenye RAI,hadi leo nina PHD bado tu.miaka 30?,pumzika bana
 
Hivi Kikwete anaweza kukemea....??? Anaweza kufokea kweli au ni kumtafsiri tofauti...???
 
Umeona eeh! Jamaa anachekesha sana. Yeye yupo madarakani miaka 10 hajawahi kuja na mipango ya muda mrefu kupambana na mafuriko pmoj na kuwa mafuriko yanatokea karibu kila mwaka, lakini huyu Makonda aliyemteua juzi ambaye hajatimiza hata miezi sita ya ukuu wa wilaya anataka awe na mikakati ya muda mrefu kuhusu mafuriko! Kwi kwi kwi kwi lol!

Mipango ya muda mrefu kwani mafuriko hayo yameanza leo??
 
Kwi kwi kwi kwi hahahahaha una Phd ya nini? Kama ya Muhongo, Mulugo au ya Ndullu? Phd ya buku 7 kutetea upuuzi ambao haustahili kutetewa.

wewe mzee ytushakuzoea ni mtu wa kulalamika na kutoridhika.tangu niko la tano unalalamika tu kuanzia kwenye RAI,hadi leo nina PHD bado tu.miaka 30?,pumzika bana
 
Ki Ukweli Ingetakiwa uongozi wa wilaya, madiwani , mbunge na wahandisi wa wilaya wawe wameshafanya tathmini nini kinahitajika na Kutoa mapendekezo nini kinahitajika kufanyika kwa mpango wa muda mfupi na muda mrefu. Udhaifu wa viongozi wa mccm ndiyo umemfanya jk atamke yote hayo.
 
haa haa yaani kutoa major mpaka mipango ya muda mrefu? binafsi jana kwa mara ya kwanza kanikosha saana. amewapa watu live eti kulikuwa na enginia pale anashindwa namna ya kutoa yale maji pale. ni aibu sana kwa watendaji wetu..
 
duuh nakumbuka aliwahi kumtoa show DC wa Korogwe
mwaka jana kwenye ziara akisoma taarifa ya maendeleo ya Wilaya
Hadi ilibidi nifiche sura yangu.

So kupigwa chini kwa yule bwamdogo nilitegemea

Duuh..safi sana..kumbe yule Dogo alipigwa chini..safi sana..alikuwa anajifanya yy ni Mungu mtu..lol!!
 
Kunawatu wajinga kweli sasa hapo kamkemea wapi akili za kibavicha bana shida sana.
 
Mimi nikajua amemkemea kwa kwenda disco na show za white party . !
 
Kwani DC Makonda alikwenda Disco na White Party.....sio vizuri ndugu zangu kumpaka matope Mh.Makonda.
 
Back
Top Bottom