Hivi karibuni kuna msanii wa kike wa bongo fleva, alifungiwa kufanya au kushiriki shughuli yoyote ya mziki kwa mwaka mmoja na Baraza la Muziki la Taifa, kwa kile kilochosemekana eti alidhalilisha umma wa Watanzania alipokuwa akitumbuiza nchini Sweden, lakini cha kushangaza msanii huyo amekuwa...