Kikwete sio wewe uliowaleta real madrid

Kikwete sio wewe uliowaleta real madrid

Sifaaaaaa za kijinga, aaaahhh sifa za kijinga, ha ha ha ha ha ha Rais umebukaje
 
Mkuu MSALANI rais katimiza ahadi yake
 
Last edited by a moderator:
Wakuu nadhani nyote mnakumbuka kua kwenye kampeni za uraisi Kikwete aliahidi kuwaleta real madrid, ni kweli veteran wa real madrid wamekuja, ila kinachonishangaza ni rais Kikwete kujivisha hizi sifa kua yeye ndo kawaleta, huu ni uongo wa mchana, real madrid wameletwa na mwarabu mwenye supermarket za tsn na wazo lilikuja baada ya jamaa kukutana na Luis Figo Dubai wala wazo halikutokana na ahadi za raisi.

Ombi: Kikwete na vyombo vya habari acheni kupotosha watu.

Labda nilipitwa,amepotoshea wapi na vyombo vipi vya habari?
 
Kikubwa ni kuwa na sera zinazotoa fursa kwa vitu kama hivyo kufanyika.

Mfano Alhaji Aliko Dangote (kutoka Nigeria) anajenga kiwanda cha simenti hapa nchini kinacho kadiriwa kugharimu takriban $600m. Je Rais Kikwete akienda kuweka jiwe la msingi itakuwa nongwa?
 
Back
Top Bottom