Nimesikitishwa na kauli ya Clouds FM

Nimesikitishwa na kauli ya Clouds FM

Nimesikitishwa kwamba unasikitishwa na Clouds FM.
 
katika radio ambayo program za vipindi vyao ni tatizo hao. clouds wanakipindi kimoja tu, njiapanda tena kilikuwa enzi hizo mtangazaji sebastiani ndege. lakini sasa hivi mhhhhhhh.
 
NIMESIKITISHWA SANA NA KAULI YA CLOUDS FM.

Nimeingiwa na shaka na watangazaji wa clouds fm leo katika kipindi cha power breakfast baada ya kutangaza kwamba hawatatangaza habari za UKAWA eti wanawapa umaarufu leo nimejua hawa jamaa ni CCM pure!

Poor clouds fm.
Hao ndo zao ukiwa na bifu nao hawachelewi kuwa na kinyongo, wao wanapenda kusifiwa na kunyonya wasiojiweza ukikosoa tu majanga
 
Katika list ya radio bora Africa iko ndani ya top 10 imeshika no 7 na radio pekee Tanzania ktk top 10 ya the best Radio station in Africa.

Africa kuna nchi zaidi ya 54 huku tukiwa na wakazi zaidi ya bilioni 1.1 (2013)

Vigezo vipi viliifanya kuwa miongoni mwa 10 best radio station in Africa???
#1 inasikilizwa na watu wangapi nje ya Tanzania maana tunaongelea 'African Best Radio Station'
(Livestream ya Clouds kwenye internet umeona ina count ngapi?? Nimekuuliza hili sababu nahisi ungeniambia kuna wanaosikiliza online)

#2 Wakati wanakusanya data za kuzitafuta hizo redio bora, ulikuwa miongoni mwa washiriki kwamba ulitoa maoni yako katika takwimu hizo??

Kuna vitu vingine tunashabikia tuu wakati hata wanaotoa hizo takwimu hatukuwahi kuwasikia kabla....


******


Hivi sifa na Mapokezi yale makubwa aliyofanyiwa Diamond kwa kushinda hiyo AFRIMMA ulikuwa unajua kwamba tuzo hiyo imeandaliwa na African Muzik Magazine website ambao waliandaa tuzo zile ili angalau wapate attention kama mliyowapa
 
NIMESIKITISHWA SANA NA KAULI YA CLOUDS FM.

Nimeingiwa na shaka na watangazaji wa clouds fm leo katika kipindi cha power breakfast baada ya kutangaza kwamba hawatatangaza habari za UKAWA eti wanawapa umaarufu leo nimejua hawa jamaa ni CCM pure!

Poor clouds fm.

Mbona mi siipendi Ukawa lakini Sio CCM
 
Eti ukawa??????ile ni radio ya watu ningeshangaa kama ingekuwa inatangaza mambo yasio na tija na yanayofanywa na wasio na mapenzi na nchi hii,Hongereni sana radio ya watu
 
NIMESIKITISHWA SANA NA KAULI YA CLOUDS FM.

Nimeingiwa na shaka na watangazaji wa clouds fm leo katika kipindi cha power breakfast baada ya kutangaza kwamba hawatatangaza habari za UKAWA eti wanawapa umaarufu leo nimejua hawa jamaa ni CCM pure!

Poor clouds fm.

Kama ni kweli basi Clouds FM wana uwezo mdogo sana wa kufikiri. Suala si wao kutangaza wanachopenda au wasichopenda, bali ni kuwafikishia Watanzania habari kulingana na matukio yanayotokea, bila kuwa na upandeleo binafsi wowote. Hiyo ndiyo professional journalism. Tatizo ni hizi radio na magazeti hapa Tanzania ambavyo mtu akipata hela kidogo anaanzisha bila kuwa na ujuzi wowote wa hizo taaluma.

Inanikumbusha wengi wanaotajirika kuwa na hela nyingi bila kuwa na hekima ya kielimu, wanaishia kujenga majumba makubwa ambayo hakuna mtu wa kukaa ndani yake. Taabu inakuja uzeeni wakati watoto wote wameondoka nyumbani!
 
Kwani clous ndio nini/nani? Na ukawa je? Mana sielewielewi.
 
Clouds fm, Kibonde wamesemwa sana humu Jf, UKAWA wanasifiwa sana humu, Ila mtaani mambo ni kinyume chake. Over.....!
 
NIMESIKITISHWA SANA NA KAULI YA CLOUDS FM.

Nimeingiwa na shaka na watangazaji wa clouds fm leo katika kipindi cha power breakfast baada ya kutangaza kwamba hawatatangaza habari za UKAWA eti wanawapa umaarufu leo nimejua hawa jamaa ni CCM pure!

Poor clouds fm.


hivi wewe bado unasikilizaga tu hicho kituo cha redio? hicho kituo mbona huwa kina paa kama katwa!
 
Ivi hyo cloudz ni kituo cha kelelea mbwa au!!!!!!!!!! manake cjajua, wasalimien huko Tanzania
 
Ivi hyo cloudz ni kituo cha kelelea mbwa au!!!!!!!!!! manake cjajua, wasalimien huko Tanzania, kam ni kituo cha radio, Watz hamko makin, kunamtangazaji mmoja cjui ni kahaba!!!!!!!!!!, na watangazaji wake na mmiliki ni vibao vya jamii
 
Tanzania Kuna Radio Stations Ngapi?? Hata Wasipotangaza Nyingine Zitatangaza tuu
 
Duuh clauz mko sawa ntaanza kuwasikiliza,,huo ndo ukweli hasa
 
Back
Top Bottom