Recent content by Ogwari

  1. O

    Mwanafunzi Afia kwenye Daladala ya Kawe -Karikaoo wakati mjada wa Budget wizara ya Afya Unaendelea

    Duhu!! Inauma sana ,the only solution ni kuondoa huu utawala dhalimu kwa maandamano,If posible tujipange weekend hii tuweke kambi Mnazi mmoja hope ndio sehemu nzuri ya kuanzia maandamano tukielekea Ikulu
  2. O

    Tupinge malipo ya rada kama tulivyopinga dowans(richimondi)

    Na. Lula wa Ndali (Raia Mwema) KAMA umefuatilia japo kwa juu juu kile ambacho kinachosemwa na Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe "fedha zetu za rada" unaweza kujikuta umeamini mambo yafuatayo. Kwamba, kampuni ya BAE Systems ambayo kutoka kwao tulinunua rada ya kuongozea ndege (Watchman...
  3. O

    January Makamba na Umeme na Siasa Tanzania

    MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, Januari Makamba, amesema siyo sahihi kumlaumu Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), kwa tatizo la umeme nchini. Akizungumza mjini Dodoma jana, Makamba alisema sekta ya umeme nchini imepita vipindi...
  4. O

    Membe sasa apania Kuvunja muungano

    waziri wa mambo ya Nje na usirikiano wa kimataifa Bernard membe sasa ameonyesha dhairi ana mikakati ya siri ya kuvunja muungano kwa kuinyima zanzibar fursa ya kutembelewa na viongozi wa kimataifa pindi wanapofanya ziara Nchini .Sisi wazanzibar tunasikitishwa na kitendo cha waziri membe...
  5. O

    Lowassa, Kibanda wafanya unyama kwa wafanyakazi wao

    Warofo Nina doubt about your reasoning capacity inakuwaje unahajiriwa haumfahamu mwajiri wako ni nani!! my friend hapa hatujadili majungu tunajadili hoja zenye mshiko
  6. O

    Ufisadi wa Kutisha EPZA

    Vincent Nakubaliana na wewe kabisa ni lazima Monitoring & Evaluation ya miradi yote mikubwa ifanywe,Na ianze na Ofisi za WAMA
  7. O

    Ufisadi wa Kutisha EPZA

    Suala la katibu mpya halina mjada ni lazima tuwe na katiba mpya, Hii issue ya Dr Mero ipo straight forward haitaji kusubiri katiba mpya sheria za rushwa zilizopo zinatosheleza kumfikisha mahakamani
  8. O

    Ufisadi wa Kutisha EPZA

    Zito Kabwe amemtoa nje Waziri Chami aliyeongozana na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Kukuza Mauzo nje (EPZ), Dk. Adelhelm Meru, na watendaji wa mamlaka hiyo kwa madai ya ufisadi wa sh bilioni 41 katika mradi wa Benjamin Mkapa ulioko Mabibo, jijini Dar es Salaam. Dk. Chami na watendaji hao...
  9. O

    UVCCM: Hussein Bashe amjibu Nape kiaina

    Mzito kabwela, kuna tofauti kubwa kati ya Kusamehe (Forgive) , na kusahau (Forget) .Bashe mimi ni mpiga kura wako wa Nzenga na ni mmoja wa wanachama wa CCM waliokupigia kura kilichofanywa na JK a.k.a Mbayuwayu si tu kilikuhumiza wewe hata sisi wananzega kilituhuzinisha sana ,na Ninakuhunga mkono...
  10. O

    Nape ni mwanzilishi wa CCJ

    Florida Chanzo (Source) ya hii thread ni Chilagati,Mukama na Msekwa,Kama unakataa wapigie simu nipo tayari kukupatia Contact zao throuhg Mail
  11. O

    Nape ni mwanzilishi wa CCJ

    Madai yaliyotolewa na kada wa CDM Fredrick Mpendazoea kwamba Samwel Sita,Mwakyembe,Porokwa, Nape Nauye na Victor Mwambalasa walishiri kuanzisha CCJ ,yamezidi kuwaumiza vichwa viongozi wa CCM kiasi cha kutetemeka Kilichowafanya viongozi hao kutetemeka sio madai hayo ambayo wahusika...
  12. O

    Taarifa ya Post motum mauaji ya North Mara-Tarime

    UfuATAO NI TAARIFA HALISI TULIYOTOKA NAYO BAADA YA UCHUNGUZI WA WETU, KWA KULINDA NA KUHESHIMU UADILIFU WA TAALUMA YETU YA KIAFYA. KIAPO NILICHOAPA HUKO CHUONI (MEDICAL ETHICS) 1. Kile kinachoonekana katika vipimo/uchunguzi, ndicho kinachotakiwa kuwekwa wazi kwa muhusika. 2...
  13. O

    CHADEMA kuwasha moto Arusha leo 25 May, 2011

    Report ya intelegencia inasemaje
  14. O

    Mahakama ya Kisutu yawahukumu wezi wa EPA, Maranda na Farijala miaka 22 jela

    Mwambene Hii safi sana ,By the way umerudi lini kutoka uturuki
Back
Top Bottom