Nape ni mwanzilishi wa CCJ

Nape ni mwanzilishi wa CCJ

Hapo sasa nani atamfunga paka kengele !
 
Madai yaliyotolewa na kada wa CDM Fredrick Mpendazoea kwamba Samwel Sita,Mwakyembe,Porokwa, Nape Nauye na Victor Mwambalasa walishiri kuanzisha CCJ ,yamezidi kuwaumiza vichwa viongozi wa CCM kiasi cha kutetemeka

Kilichowafanya viongozi hao kutetemeka sio madai hayo ambayo wahusika walishatolea ufafanuzi,bali hatua ya kada wa CCM naye kuthibitisha kwamba yaliyonenwa na MPendazoea kuhusu Samwel Sita na Mwakyembe na Nape na wengineyo kwamba walihusika kuasisi CCJ ni sahii
Kiongozi wa kwanza kuzungumza na ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM bara Capt John Chilagati ambaye alionekana kuhofia sakata hilo ,Chilagati amesema kwa mujibu wa umri wake na cheo chake ndani ya CCM Suala hilo ni kubwa mno amesema kwamba hana ubavu wa kuhoji wala kuhojiwa juu ya sakata hilo ambalo hivi sasa linavuma kila pembe ya Nchi" Jamani mimi yote nimeyasikia ,lakini mimi chilagati nasema hii isue ya sita,mwakyembe na Mkuu wa ya mawasiliano Nape Nauyo ndio waasisi wa CCJ,kwa kweli yamenizidi umri hayo mimi siyawezi labda wakubwa zangu"",alisema chilagati

Naye Bosi wa Chilagati Katibu mkuu wa CCM Bw Wilson Mukama amekwepa kulizungumzia jambo hilo,huku akidai ni hivi majuzi tu alikuwa kweny msiba wa mama yake mdogo ,hivyo akataka wana CCM wasimuongezee majonzi


Makamu mwenyekiti wa CCM Taifa Mzee Msekwa ameonekana kuogopeshwa na suala hilo hivyo kama ilivyo kwa wenzake naye akahofu kulitolea ufafanuzi,Msekwa amesema kutokana na sakata hili na mtindo uliotumika kutoa madai hayo ,yeye hausiki na wala hataki kabisa kulumbana na Samwel Sita kwani anamfahamu ni mtu wa visasi na fitina

Unajua unapotoa habari kama hii na unapotaja majina ya watu ni vizuri pia ukamalizia chanzo cha habari yenyewe ,kwa mfano hayo maneno ya Msekwa si yataongeza libeneke la ugomvi kati yao
 
Unajua unapotoa habari kama hii na unapotaja majina ya watu ni vizuri pia ukamalizia chanzo cha habari yenyewe ,kwa mfano hayo maneno ya Msekwa si yataongeza libeneke la ugomvi kati yao
Florida
Chanzo (Source) ya hii thread ni Chilagati,Mukama na Msekwa,Kama unakataa wapigie simu nipo tayari kukupatia Contact zao throuhg Mail
 
Madai yaliyotolewa na kada wa CDM Fredrick Mpendazoea kwamba Samwel Sita,Mwakyembe,Porokwa, Nape Nauye na Victor Mwambalasa walishiri kuanzisha CCJ ,yamezidi kuwaumiza vichwa viongozi wa CCM kiasi cha kutetemeka

Kilichowafanya viongozi hao kutetemeka sio madai hayo ambayo wahusika walishatolea ufafanuzi,bali hatua ya kada wa CCM naye kuthibitisha kwamba yaliyonenwa na MPendazoea kuhusu Samwel Sita na Mwakyembe na Nape na wengineyo kwamba walihusika kuasisi CCJ ni sahii
Kiongozi wa kwanza kuzungumza na ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM bara Capt John Chilagati ambaye alionekana kuhofia sakata hilo ,Chilagati amesema kwa mujibu wa umri wake na cheo chake ndani ya CCM Suala hilo ni kubwa mno amesema kwamba hana ubavu wa kuhoji wala kuhojiwa juu ya sakata hilo ambalo hivi sasa linavuma kila pembe ya Nchi" Jamani mimi yote nimeyasikia ,lakini mimi chilagati nasema hii isue ya sita,mwakyembe na Mkuu wa ya mawasiliano Nape Nauyo ndio waasisi wa CCJ,kwa kweli yamenizidi umri hayo mimi siyawezi labda wakubwa zangu"",alisema chilagati

Naye Bosi wa Chilagati Katibu mkuu wa CCM Bw Wilson Mukama amekwepa kulizungumzia jambo hilo,huku akidai ni hivi majuzi tu alikuwa kweny msiba wa mama yake mdogo ,hivyo akataka wana CCM wasimuongezee majonzi


Makamu mwenyekiti wa CCM Taifa Mzee Msekwa ameonekana kuogopeshwa na suala hilo hivyo kama ilivyo kwa wenzake naye akahofu kulitolea ufafanuzi,Msekwa amesema kutokana na sakata hili na mtindo uliotumika kutoa madai hayo ,yeye hausiki na wala hataki kabisa kulumbana na Samwel Sita kwani anamfahamu ni mtu wa visasi na fitina

Huyu Mukama alipokubali kuwa Katibu mkuu wa CCM hakujua kuwa anaingi kwenye msiba mkubwa?
 
Madai yaliyotolewa na kada wa CDM Fredrick Mpendazoea kwamba Samwel Sita,Mwakyembe,Porokwa, Nape Nauye na Victor Mwambalasa walishiri kuanzisha CCJ ,yamezidi kuwaumiza vichwa viongozi wa CCM kiasi cha kutetemeka

Kilichowafanya viongozi hao kutetemeka sio madai hayo ambayo wahusika walishatolea ufafanuzi,bali hatua ya kada wa CCM naye kuthibitisha kwamba yaliyonenwa na MPendazoea kuhusu Samwel Sita na Mwakyembe na Nape na wengineyo kwamba walihusika kuasisi CCJ ni sahii
Kiongozi wa kwanza kuzungumza na ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM bara Capt John Chilagati ambaye alionekana kuhofia sakata hilo ,Chilagati amesema kwa mujibu wa umri wake na cheo chake ndani ya CCM Suala hilo ni kubwa mno amesema kwamba hana ubavu wa kuhoji wala kuhojiwa juu ya sakata hilo ambalo hivi sasa linavuma kila pembe ya Nchi" Jamani mimi yote nimeyasikia ,lakini mimi chilagati nasema hii isue ya sita,mwakyembe na Mkuu wa ya mawasiliano Nape Nauyo ndio waasisi wa CCJ,kwa kweli yamenizidi umri hayo mimi siyawezi labda wakubwa zangu"",alisema chilagati

Naye Bosi wa Chilagati Katibu mkuu wa CCM Bw Wilson Mukama amekwepa kulizungumzia jambo hilo,huku akidai ni hivi majuzi tu alikuwa kweny msiba wa mama yake mdogo ,hivyo akataka wana CCM wasimuongezee majonzi


Makamu mwenyekiti wa CCM Taifa Mzee Msekwa ameonekana kuogopeshwa na suala hilo hivyo kama ilivyo kwa wenzake naye akahofu kulitolea ufafanuzi,Msekwa amesema kutokana na sakata hili na mtindo uliotumika kutoa madai hayo ,yeye hausiki na wala hataki kabisa kulumbana na Samwel Sita kwani anamfahamu ni mtu wa visasi na fitina

Tujikumbushe chanzo chayote haya. NAPE alijifanya anaweza kumchafua Dr. Slaa kwa kumhusisha na ufisadi. BOM moja tu la Mpendazoe limetosha kumfunga mdomo. Mbaya zaidi imekivuruga CCM na serikali yake.

CHADEMA mnanifurahisha sana, tunasubiri kiherhere mwingine tumshughullikie.
 
yaelekea usalama wa taifa samahan usalama wa ccm ulifanyakaz ya kuhonga wahusika ili magamba isisambalatike,du mwaka 11 viufungun vyote vitafuka yaelekea pana meng yaja
 
Huyu Mukama alipokubali kuwa Katibu mkuu wa CCM hakujua kuwa anaingi kwenye msiba mkubwa?


hapao kwenye red kwa kweli kumenichekesha sanaaaaaa.yaani mukama anataka aaonewe huruma kwa kuwa kafiwa na mama yake mdogo..hahaaaaa ..
 
Ni kama unapomtemea koozi mtu likakuangukia mwenyewe
 
Huu mwaka wanalo, walifanya siri wakajua halitafumuka" Nape alirusha mawe akajificha knye nyumba ya vioo"
 
Nape nilikutahadharisha mapema, Acha kung'ang'ania kutaka kuvaa koti la Dr. Slaa hukunielewa. Oh Dr.slaa ni fisadi, Dr Slaa akakataa kukuvalisha Koti lake akaamua kukupatia koti jepesi kabisa kutoka kwa Mpendazoe. Looooh, unahema nalo karibia kuzimia, Je Docta wa Ukweli angekuvalisha la kwake si ungekufa?

Docta wa Ukweli alishawavalisha baba zako mpaka leo wanashindwa kulivua na ndilo lililosaidia hata wewe kupata nafasi uliyonayo. Sasa ndugu yangu, ukiweza kulivua la Mpendazoe, utapewa lingine na si la Dr. Slaa usije ukatufia bure.:A S 103:
 
Ben, ni kweli kabisa sina uwezo wa kujibu wala kuchangia jf wenye akili wanalijua hilo

Mh. Nape una matatizo ya kuelewa? Ukija ndani ya JF njoo na hoja nzito, huu ubishani wa kama unabishania yanga na simba achana nao,
kuna kero nyingi sana ambazo watanzania wanataka majibu yake, narudia hayo madaraka yamekuzidi umri, jaribu kukomaa kiakili na kimawazo, umeng'ang'ania kukanusha kujiunga CCJ cha ajabu kitu gani? Kuna la ajabu kama padre kukimbia kazi kiroho? Hayo ni maamuzi yako. Mpendazoe jina lenyewe linajihukumu kenda Chadema kukaganga njaa, mmeharibu CCM kwa ufisadi wenu tueleze ukiwa kama katibu mwenezi una mikakati gani ya kurudisha imani ya wanachama. Haya CCJ mwachie Ng`ihly, Kyabo na Mpendadezo watajijibu wenyewe.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Lingekuwa ni jambo la ajabu sana kwa mzee Sitta na busara zake ajihusishe na watu kama nyinyi, huna la kujibu nilishasema awali nafsi yako inakusuta, jifunzeni kusema ukweli hata kama unauma; tafuteni njia nyingine halali kujitafutia riziki, msitumie siasa kuganga njaa ni HATARI kwa jamii yetu.

Chama
Gongo la Mboto DSM

Ndg yangu..Niukweli gani mwingine unaoutaka zaid ya nilousema..Ndo maana na mimi nikasema kuwa labda wewe unajua zaid, kwa nini usiseme unachujua!Na ni bahati mbaya sana kuwa huyajui maisha yangu...Kaka mimi nina taaluma yangu na ninaishi kwa hiyo na sio siasa...Katika CDM mimi ni mwanachama wa kawaida tu na katika CCJ, tulikuwa tunafanya kazi on a voluntary basis...Sasa ungekuwa kweli unajua masha yangu ndo ungezungumza kama ulivyozungumza hapo kwa red...Niliamua kutoyajibu maswali yako coz hayajikiti katika hoja ya msingi ila yanalengo la kudhalilishana sasa mimi siasa za kudhalilishana siziwezi...Ndo kama ulivyosema hapo kwa red.Kaka me siishi kwa siasa, nina kazi yangu halali inanyoniingizia kipato kaka na wala sijawahi kuja kwako kukuomba msaada kaka....Wewe ndo nafsi yako inakusuta coz unataka kuupindisha ukweli kwa kuuliza mwaswali ya kudandia...Kwa nini tusizungumzie hoja moja mpaka ikaisha!
 
Sina shaka CDM wangekuwa na wanahoja za msingi ambazo zitakisaidia chama kuweza kujenga mikakati ya 2015 na siyo kuja na umbeya ambao mwisho msajili wa vyama ata conclude na kusema kuwa majina ya waliotuhumiwa hawako katika list yangu. Tafuta weakness za ccm na kuzifanya kazi na jaribu kutatua migogoro ndani CDM na CDM ijaribu kuepuka kutenda makosa au kupokea taarifa ambazo hazija chujwa mfano Dr Slaa anazungumzia habari za DCG Luoga kuwa alikuwa Commissioner wa Income Tax wakati siyo kweli sasa personally luoga anam-sue slaa na hiyo siyo nzuri kichama. Chama kijenge mikakati thabiti na kuepuka migogoro na ambayo chama kitalipa fidia na kudhoofisha chama kifedha.
 
Ndg yangu..Niukweli gani mwingine unaoutaka zaid ya nilousema..Ndo maana na mimi nikasema kuwa labda wewe unajua zaid, kwa nini usiseme unachujua!Na ni bahati mbaya sana kuwa huyajui maisha yangu...Kaka mimi nina taaluma yangu na ninaishi kwa hiyo na sio siasa...Katika CDM mimi ni mwanachama wa kawaida tu na katika CCJ, tulikuwa tunafanya kazi on a voluntary basis...Sasa ungekuwa kweli unajua masha yangu ndo ungezungumza kama ulivyozungumza hapo kwa red...Niliamua kutoyajibu maswali yako coz hayajikiti katika hoja ya msingi ila yanalengo la kudhalilishana sasa mimi siasa za kudhalilishana siziwezi...Ndo kama ulivyosema hapo kwa red.Kaka me siishi kwa siasa, nina kazi yangu halali inanyoniingizia kipato kaka na wala sijawahi kuja kwako kukuomba msaada kaka....Wewe ndo nafsi yako inakusuta coz unataka kuupindisha ukweli kwa kuuliza mwaswali ya kudandia...Kwa nini tusizungumzie hoja moja mpaka ikaisha!

Mh. Ng'hily samahani sama kama nakudhalilisha, ila ninachotaka uelewe unapotoa hoja unamwachia msomaji aichambue kwa kina zaidi na hii ndio maana halisi ya forum. Tuchukue fursa hii kuijadili hadi tuimalize:
1. Kwanza kabisas naomba ufute usemi ETI ULIKUWA UNAJITOLEA narudia sitaki kukuita muongo ila nasema husemi ukweli. Volunteer anajitolea kufanya kazi kwa mapenzi yake halipwi na wala hatarajii malipo/ wala ahadi ya namna yoyote ile. Kwa upande wako yalikuwapo matarajio jisute mwenyewe.
2. Wewe Chadema si mwanachama wa kawaida AVATAR yako inatosheleza kukujibu, wewe ni mwanasiasa kamili na tutakujadili kama ambavyo tunamjadili NAPE. Usiwe muoga kudhalilishwa ama kutukanwa huko ndio kukomaa kisiasa.
3. Ni kweli una kazi na unapata kipato halali je hilo pekee linakufanya usitumie mianya ya siasa usigange njaa? Unataka kunieleza katika kujitolea kwako CCJ hukupata chochote wala ahadi yoyote ile.; JISUTE mwenyewe wewe siyo messiah ni binadamu kama mimi na wote tanakiri mbele ya mungu wote tu dhaifu. Nitafutie mwanasiasa yeyote yule ambaye alikuwa hana shughuli inayoeleweka.
4. Turudi kwenye hoja ya msingi narudia kusema wewe, Kyabo na Kamanda wenu mpendazoe hamsemi ukweli; kauli zenu zinalinda maslahi yenu binafsi. Vitu viwili vya msingi ambavyo vinaleta mashaka ni TIMING na REASONABLE DOUBT. Kwa nini tangu awali msije na kauli za kuwahusisha kina Sitta, Nape na Mwakyembe? Kiliwazuia nini ukiitilia maanani kilikuwa ni kipindi cha kampeni na mngekuwa na nafasi nzuri sana ya kuimaliza CCM kisiasa. Nani aliziba midomo yenu? DOUBT nyingi zinajitokeza sasa hivi kwa hizi huyu kasema huyu hakusema inaeleweka ni kawaida ya mwanasiasa kujisaliti mwenyewe ili mradi tu achaguliwe. Kwa mantiki hiyo mnatumika kwa maslahi binafsi, sikushangaa kusikia kauli za Mpendazoe, Kyabo wala zako huu ndio wakati wa mavuno kwani Chadema na CCM vipo kwenye malumbano ya maneno.
Namalizia kwa kusema sina sababu hata moja ya kupindisha ukweli, kauli zenu ndizo zinazopindisha ukweli, sijui mnayafanya hayo kwa manufaa binafsi ama ya Taifa, mungu pekee ndiye anayejua.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Mh. Ng'hily samahani sama kama nakudhalilisha, ila ninachotaka uelewe unapotoa hoja unamwachia msomaji aichambue kwa kina zaidi na hii ndio maana halisi ya forum. Tuchukue fursa hii kuijadili hadi tuimalize:
1. Kwanza kabisas naomba ufute usemi ETI ULIKUWA UNAJITOLEA narudia sitaki kukuita muongo ila nasema husemi ukweli. Volunteer anajitolea kufanya kazi kwa mapenzi yake halipwi na wala hatarajii malipo/ wala ahadi ya namna yoyote ile. Kwa upande wako yalikuwapo matarajio jisute mwenyewe.
2. Wewe Chadema si mwanachama wa kawaida AVATAR yako inatosheleza kukujibu, wewe ni mwanasiasa kamili na tutakujadili kama ambavyo tunamjadili NAPE. Usiwe muoga kudhalilishwa ama kutukanwa huko ndio kukomaa kisiasa.
3. Ni kweli una kazi na unapata kipato halali je hilo pekee linakufanya usitumie mianya ya siasa usigange njaa? Unataka kunieleza katika kujitolea kwako CCJ hukupata chochote wala ahadi yoyote ile.; JISUTE mwenyewe wewe siyo messiah ni binadamu kama mimi na wote tanakiri mbele ya mungu wote tu dhaifu. Nitafutie mwanasiasa yeyote yule ambaye alikuwa hana shughuli inayoeleweka.
4. Turudi kwenye hoja ya msingi narudia kusema wewe, Kyabo na Kamanda wenu mpendazoe hamsemi ukweli; kauli zenu zinalinda maslahi yenu binafsi. Vitu viwili vya msingi ambavyo vinaleta mashaka ni TIMING na REASONABLE DOUBT. Kwa nini tangu awali msije na kauli za kuwahusisha kina Sitta, Nape na Mwakyembe? Kiliwazuia nini ukiitilia maanani kilikuwa ni kipindi cha kampeni na mngekuwa na nafasi nzuri sana ya kuimaliza CCM kisiasa. Nani aliziba midomo yenu? DOUBT nyingi zinajitokeza sasa hivi kwa hizi huyu kasema huyu hakusema inaeleweka ni kawaida ya mwanasiasa kujisaliti mwenyewe ili mradi tu achaguliwe. Kwa mantiki hiyo mnatumika kwa maslahi binafsi, sikushangaa kusikia kauli za Mpendazoe, Kyabo wala zako huu ndio wakati wa mavuno kwani Chadema na CCM vipo kwenye malumbano ya maneno.
Namalizia kwa kusema sina sababu hata moja ya kupindisha ukweli, kauli zenu ndizo zinazopindisha ukweli, sijui mnayafanya hayo kwa manufaa binafsi ama ya Taifa, mungu pekee ndiye anayejua.

Chama
Gongo la Mboto DSM


Asante sana kaka na nimeipenda hiyo yenye red..Japo umeweka m badala ya M...
 
First of all, I am sure this is not some Menckenian "Smart Set" forum or anything -great thinkers front and all-, but I still refuse to bow to the common denominator, especially if these political games are this shamelessly transparent. Unlike Johnny Nash, I can see clearly even before this rain is gone. So I will advise and spare some the cost of hindsight, hopefully.

Nape is most probably a fad with no substance. Lakini Mpendazoe ana point gani anapotaka ku imply kwamba political affiliations ziko permanent?

Hao CCM wenyewe si baba yao mwanzilishi Nyerere alishasema kwamba CCM si mama yake na siku kikim-bore anaweza kuki-diss?

I can see Mpendazoe's point if he is bent on Nape's sincerity about coming forward about his political history, but Mpendazoe misstepped by presenting this as if Nape was asked and denied before Mpendazoe's outing, which to gents sounds like a lowblow from a lowbrow. Not that Nape is not an insignificant overambitious social climbing tacky lowbrow himself. V.I Lenin talked about "useful fools". I am not sure if Nape is a Shakesperean fool, a serendipitously wise fool, or the Leninian "Useful fool" ( at least to reform minded Tanzanians, some of whom would argue the difference is negligible ). But ultimately these allegations elevate him in the reform camp without hurting him equally in the old guard top down CCM camps, the ones that really matter anyway. But can Mpendazoe dissect this at this depth? The fact that he outed him says he cannot, and this worries me. Has CHADEMA a coherent strategy ? Or is this about our common denominator "siasa za majitaka" zisizo itikadi wala falsafa ? Mi nilitegemea angalau kuambiwa Nape alivyokuwa anapanga mipango ya CCJ alipanga chama kiwe cha kibepari, na leo anatumikia chama cha kijamaa, which wouldn't be so damning either, because all intelligent people change their minds (it is actually a sign of intelligence and growth), but as non damning as this would have been, at least it would have had distinguished itself at the ideological level, labelling Nape a possible ideological drifter flip flopping at every opportunity (imagine that coming from none other than Mpendazoe himself!!!).

Lakini unaenda kutuambia mtu alikuwa anaangalia desa kwa ANC ? Sasa ANC na CCM wana tofauti gani ya kimsingi ? If anything, in paper at least, ANC is more sincere about "uzawa" and embracing reforms, as well as being further to the "left" in as much as there is a "left" in the African context where politics revolves around personality and not policies, to the point that Mpendazoe neglects policies and ideologies and focuses entirely on some self-caricaturing mispotrayal that should not interest the higher evolved rungs of clever earthworms.

I see a misguided sense of priority on Mpendazoe's part, if this is the worst he could wield about Nape, to me this says more about Mpendazoe's shallow reasoning than Nape's disloyalty. If Mpendazoe is so bent on loyalty, then why did he hop parties from CCM to CCJ to CHADEMA ?

Actually this, if true, elevates Nape's standing. As loyalty is overrated, and far from being a positive, is one of our country's problems.

So either way, whether Mpendazoe is telling the truth or just embracing the lower end of propaganda, in the final analysis he ends up elevating Nape to both CCM lovers and haters.

CCM lovers ( If at all they will take Mpendazoe seriously) will say Nape has better judgement by remaining in CCM. CCM haters will see that Nape is the new generation of CCM leaders who are not afraid to venture into the opposition camp.

Moreover, if Mpendazoe is so bent on sincerity, why does he say "Mimi na yeye na wana CCM wanne" walishiriki kuunda CCJ?

Anataka kutumia hili kama silaha ya kisiasa? Kama kweli anataka ukweli, na hana ajenda ya kisiasa, kwa nini asiwataje wote? Pamoja na hao wanne wengine?

Zaidi ya hayo, Mpendazoe anatoa ujumbe gani kwa wanachama na viongozi wa CCM wasiopenda muelekeo wa sasa wa CCM na walio tayari kuvujisha siri za chama chao kwa maslahi ya taifa? Anataka kuwaambia kwamba kutoa siri huku kutatumika katika "politicak blackmail" siku yoyote watakapoamua kubadili mawazo yao?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Back
Top Bottom