Wewe kijana mdogo? Bado miaka 10 ufike 45 ukose vigezo vya kupata ajira serikalini.
Ni umri ambao unatakiwa uwe na mchumba au mke, uwe na kazi ya kukuingizia kipato na ikiwezekana uwe na kiwanja ama asset ya aina yeyote maana mwanaume maisha yanaanza ukiwa na miaka 40
Ndiyo maana Tanzania Mkristo thehebu la Protestant haruhusiwi kuwa rais. Sasa ninaona logic. Protestant is too religious hata kwa vitu vya kawaida na kaishasimamia jambo walau kwa hisia tu basi ni hapohapo
Maombi yote ya leseni yanafanywa kupitia mfumo wa tausi.tamisemi.go.tz na hakuna kufika ofisi za Halmashauri.
Kila kitu kipo humo ikiwemo control number.
Huko Halmashauri wanaweza kukusaidia tu namna ya kutuma maombi basi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.