Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 10,775
- 18,651
Asallam Alleykum?
Imagine uko zamu mpakani usiku sana, unahitajika kukagua mambo mengi, muda huohuo unapewa rushwa ya pesa ndefu ambayo ukiikubali unauza taifa lako. Unaikataa halafu unawaweka kizuizini wahusika halafu baadae unasikia wameachiwa huru.
Upo kitaa unaenjoy na wana unaitwa haraka kikosini kwenda kwenye operation ya haraka kusaka majambazi yaliyowashinda wa upande wa pili.
Unaacha demu wako unaingia armory na kuingia ndani ya IVECO tayari ya kusafiri kuzama porini. Unapambana unawatia mbaroni wahalifu baadae mnawakabidhi polisi, baada ya wiki wanaachiwa.
Wapendeni wanajeshi, hao ndiyo wapambania nchi.
Wanadhibiti mengi sana, raia wa kawaida kazi yenu ni kupigania haki.
Nb: Niliachana na mambo ya jeshi na kuwa raia mwema.
Imagine uko zamu mpakani usiku sana, unahitajika kukagua mambo mengi, muda huohuo unapewa rushwa ya pesa ndefu ambayo ukiikubali unauza taifa lako. Unaikataa halafu unawaweka kizuizini wahusika halafu baadae unasikia wameachiwa huru.
Upo kitaa unaenjoy na wana unaitwa haraka kikosini kwenda kwenye operation ya haraka kusaka majambazi yaliyowashinda wa upande wa pili.
Unaacha demu wako unaingia armory na kuingia ndani ya IVECO tayari ya kusafiri kuzama porini. Unapambana unawatia mbaroni wahalifu baadae mnawakabidhi polisi, baada ya wiki wanaachiwa.
Wapendeni wanajeshi, hao ndiyo wapambania nchi.
Wanadhibiti mengi sana, raia wa kawaida kazi yenu ni kupigania haki.
Nb: Niliachana na mambo ya jeshi na kuwa raia mwema.